Mzee ambaye ni informer wa Lissu ambaye kumfata kwake ni safari ya siku mbili kwa gari, na siku moja kwa ndege ni yule Mzee wa Bunda?

Mzee ambaye ni informer wa Lissu ambaye kumfata kwake ni safari ya siku mbili kwa gari, na siku moja kwa ndege ni yule Mzee wa Bunda?

Tundu Antipas Mugway Lissu anasema kwamba kuna mtu mkubwa serikalini ambaye humpa siri mbalimbali kwa kupitia Mzee mmoja ambaye kusafiri kwenda kwake inachukua siku mbili kwa gari, na siku moja kwa ndege, ni wazi kwamba katika safari ndefu nchini, moja wapo ni ya kwenda mkoa wa Mara, na utapita Wilaya ya Bunda.

Mtu ambaye amekuwa akitoa milio kama ya Lissu kwa siku za karibuni, anatokea huko huko.

Connect dots utapata jibu na ni anamlisha Lissu taarifa za uchonganishi, japo kwa umri wake alitakiwa awe na busara na hekima. Na ukiwa na shughuli za hivyo unene utausikia tu.
Kizuri ni kuwa hamjafikia viwango vya kufanya ndege karandinga lisiloeleweka,na karandinga mlilozoea linachukua masaa ya kutosha kiasi cha siri za karandinga kuvuja.Ushauri wewe hangaika na yaliyo ndani ya uwezo wako yanayokuzidi achana nayo.
 
Kizuri ni kuwa hamjafikia viwango vya kufanya ndege karandinga lisiloeleweka,na karandinga mlilozoea linachukua masaa ya kutosha kiasi cha siri za karandinga kuvuja.Ushauri wewe hangaika na yaliyo ndani ya uwezo wako yanayokuzidi achana nayo.
Usinipangie
 
Tundu Antipas Mugway Lissu anasema kwamba kuna mtu mkubwa serikalini ambaye humpa siri mbalimbali kwa kupitia Mzee mmoja ambaye kusafiri kwenda kwake inachukua siku mbili kwa gari, na siku moja kwa ndege, ni wazi kwamba katika safari ndefu nchini, moja wapo ni ya kwenda mkoa wa Mara, na utapita Wilaya ya Bunda.

Mtu ambaye amekuwa akitoa milio kama ya Lissu kwa siku za karibuni, anatokea huko huko.

Connect dots utapata jibu na ni anamlisha Lissu taarifa za uchonganishi, japo kwa umri wake alitakiwa awe na busara na hekima. Na ukiwa na shughuli za hivyo unene utausikia tu.
wakiamua kumjua watamjua, coz watatrack number ya lisu kuona number zilizompigia hyo siku aliyosema!cyber unit watagundua ni number gani, unless alikua smart hakumpigia na number yake
 
Tundu Antipas Mugway Lissu anasema kwamba kuna mtu mkubwa serikalini ambaye humpa siri mbalimbali kwa kupitia Mzee mmoja ambaye kusafiri kwenda kwake inachukua siku mbili kwa gari, na siku moja kwa ndege, ni wazi kwamba katika safari ndefu nchini, moja wapo ni ya kwenda mkoa wa Mara, na utapita Wilaya ya Bunda.

Mtu ambaye amekuwa akitoa milio kama ya Lissu kwa siku za karibuni, anatokea huko huko.

Connect dots utapata jibu na ni anamlisha Lissu taarifa za uchonganishi, japo kwa umri wake alitakiwa awe na busara na hekima. Na ukiwa na shughuli za hivyo unene utausikia tu.
Sumbawanga ni siku ngapi kwa gari???
 
wakiamua kumjua watamjua, coz watatrack number ya lisu kuona number zilizompigia hyo siku aliyosema!cyber unit watagundua ni number gani, unless alikua smart hakumpigia na number yake
Classified info kama izo kweli mzee uzitoe kwa Kupiga simu na Namba yako tena normal calls? Hapo Mawasiliano itakuwa kwa Application kama Signal au Telegram ambayo yana offer end to end Encryption
Normal calls nikupigia Mashangazi na Wajomba Uko Mbwinde ila sio seriously Comms
 
Back
Top Bottom