EeehhhWala siyo huyo JSW, maana lisu na mbowe wanataka kumalizana na mbowe alivyo na uchu wa madaraka hatokubali lazima mmoja afe kama alivyomuua chacha wangwe. Na mbowe ana akili sana yaani aliona kabisa lisu ni tatizo akamkosa kosa 2017 sasa sijui safari hii kama atamshindwa
Mzee Pengo anaumwa sana siku hizi.Umeambiwa ni kiongozi wa dini. Hivi mzee. Pengo yuko wapi siku hizi?
Wauaji wakitafuta mtu wa kumzamisha ardhini huwa na maswali ya kijinga kama yakoTundu Antipas Mugway Lissu anasema kwamba kuna mtu mkubwa serikalini ambaye humpa siri mbalimbali kwa kupitia Mzee mmoja ambaye kusafiri kwenda kwake inachukua siku mbili kwa gari, na siku moja kwa ndege, ni wazi kwamba katika safari ndefu nchini, moja wapo ni ya kwenda mkoa wa Mara, na utapita Wilaya ya Bunda.
Mtu ambaye amekuwa akitoa milio kama ya Lissu kwa siku za karibuni, anatokea huko huko.
Connect dots utapata jibu na ni anamlisha Lissu taarifa za uchonganishi, japo kwa umri wake alitakiwa awe na busara na hekima. Na ukiwa na shughuli za hivyo unene utausikia tu.
Huyo alopiga msamba atakuwa nani?Ccm wakidemka na mirindimo ya lissuView attachment 3178803
Kwani Hawa ni WA samia? (ref: 'chawa wa Mama's)BAVICHA, BAWACHA na BAZECHA, hii ya mwisho "CHA" ni kifupi cha neno "CHAWA"
Hongera kwa utambuzi wakoJf bana,mnajionaga mna akili kuliko wengine,huko kitengo kuna watu,ni kitengo wenyewe wanamlisha hizo shudu
Hayo mawazo yako ya kichawi umeyatoa wapi why utukane maumbile ya watu umetumie video gani kuhitimisha unene ni ujinga
Vipi bibi wewe uko kwa nani? Kwa DJ Mbowe au kwa Msaliti/Mhaini Lissu? 😀😀Mnataka kumuua?
Ila we jamaa dahh 😂😂😂😂😂Ukiwa na uchungu na hii nchi huwezi kuwa na jimwili la ajabu ajabu kama duara,
Mke wa Lisu anatokea huko mkoa wa MaraTundu Antipas Mugway Lissu anasema kwamba kuna mtu mkubwa serikalini ambaye humpa siri mbalimbali kwa kupitia Mzee mmoja ambaye kusafiri kwenda kwake inachukua siku mbili kwa gari, na siku moja kwa ndege, ni wazi kwamba katika safari ndefu nchini, moja wapo ni ya kwenda mkoa wa Mara, na utapita Wilaya ya Bunda.
Mtu ambaye amekuwa akitoa milio kama ya Lissu kwa siku za karibuni, anatokea huko huko.
Connect dots utapata jibu na ni anamlisha Lissu taarifa za uchonganishi, japo kwa umri wake alitakiwa awe na busara na hekima. Na ukiwa na shughuli za hivyo unene utausikia tu.
Kwanza hapa Kuna uongo mwingi hawezi mtaja mtu ambae ana mpa info za kiusalama Ili iwaje? Hapo anawapoteza maboya.Tundu Antipas Mugway Lissu anasema kwamba kuna mtu mkubwa serikalini ambaye humpa siri mbalimbali kwa kupitia Mzee mmoja ambaye kusafiri kwenda kwake inachukua siku mbili kwa gari, na siku moja kwa ndege, ni wazi kwamba katika safari ndefu nchini, moja wapo ni ya kwenda mkoa wa Mara, na utapita Wilaya ya Bunda.
Mtu ambaye amekuwa akitoa milio kama ya Lissu kwa siku za karibuni, anatokea huko huko.
Connect dots utapata jibu na ni anamlisha Lissu taarifa za uchonganishi, japo kwa umri wake alitakiwa awe na busara na hekima. Na ukiwa na shughuli za hivyo unene utausikia tu.
Mbowe kwani kishachukua fomu?Vipi bibi wewe uko kwa nani? Kwa DJ Mbowe au kwa Msaliti/Mhaini Lissu? 😀😀
Nasikia eti wewe ni Chawa wa DJ Mbowe? Ni kweli bibi?Mbowe kwani kishachukua fomu?
Basi haya endelea kusikiaNasikia eti wewe ni Chawa wa DJ Mbowe? Ni kweli bibi?
Mlimshindwa 2017 na waziwazi akasema ni njama zilipangwa na Jiwe huku Bashite akiongoza kikosi, kwanini hafunguliwi mashtaka kwa kuipaka serikali matope? What are you scared of?Mzee Pengo anaumwa sana siku hizi.
Hawezi kuwa na muda wa kufanya upuuzi kama huu .
Chadema imesambaratka wanashikana mashati eti mtu wa Serikali atake kumuua Tundu Lissu?
Tupe ukweli basi Bibi Erythrocyte ?Basi haya endelea kusikia
Mnataka kuniteka?Tupe ukweli basi Bibi Erythrocyte ?
Utekwe na nani? Wewe una impact gani ndani ya Chagadomo?Mnataka kuniteka?