ngoshakolya
Senior Member
- Feb 23, 2023
- 118
- 98
Huenda anampiga mavituz Maza huoni anavyorembuaI hope Kikwete nae alitoa mchango wake kwenye zile milioni 120 alizochangiwa Samia za kuchukua form, uwepo wa Samia ikulu unamsuuza sana nafsi, ni kama vile anaogopa asije Rais mwingine akamuweka tena roho juu.
• Ni vitu gani vinavyomkosesha amani endapo 2025 atakuja Rais mwingine tofauti?
• Anaficha nini kupitia uwepo wa Samia madarakani?
• Kwanini anaonekana kuwa huru sana kutokana na uwepo wa Samia ikulu?
Ni kama vile anaongoza nchi kutokea Msoga, ndio maana hataki Samia aondoke ikulu.
Baba yako labda ,hivi na wewe umerithi ule upuuzi wa kwenu?Mbowe alikuinamisha!
Kwani Kabla ya hapo Mpango alikua ni Nani? Kwani Rais Samia hakua na uwezo wa kumteua mtu mwingine kuwa makamu?Nimenukuu alicho sema mzee kikwete kwenye hayo maandishi yaliyo kolezwa kwa mlalo. Wewe unaelewa nini anaposema "atatafuta mtu wa kwenda nae?"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu jamaa hana msaada wowote kwa Taifa.
Bila katiba mpya na kuleta utawala wa sheria wa uwajibikani hata kuwa tofauti na hap wengine ambao hujawataja hapoJK ni mwanadiplomasia bora zaidi kuwahi kutokea hapa Tanzania. JK, Salim Ahmed Salim na JK Nyerere ndo wanadiplomasia makini zaidi. Mama Samia naye anafuata nyendo za hao nguli ndo maana uongozi wake ni bora.
Huo utanaduni haupo ,sisi tunataratibu zetu ambazo LAZIMA ZIFUATWE,ni kifo pekee kitamyima makamu kumaliza miaka 10,akitoka Rais mkiristo[mkatoliki] anafuata mwisilamu .Ujumbe kwa Dr. Isdori Mpango kuwa umakamu wake unaweza kuishia hapo.
2025 atapata mandate yake yeye akiwa yeye sasa ndiyo Rais, nayeye atatutafutia mtu mwingine atakayekwenda naye
Akili zake bado zinawaza ccm tu!hovyo kabisaMzee kikwete akiulizwa kuhusu Mtazamo wake wa Uchaguzi wa Mwaka huu na nafasi ya CCM amesema:
"Mimi naamini chama kipo kwenye mazingira mazuri, lakini watu wanasema Politics is local, kuelekea Uchaguzi huu wa Serikali za Mitaa na uchaguzi wa Mkuu mwakani sina hofu na CCM, itaendelea kushinda na Rais atapata mandate yake sasa Rasmi. Coz Mandate hii anayo ndiyo maana ya Mgombea mwenza.
Maana watu wanasema Samia hakuchaguliwa, hapana tulichagua watu wawili Rais na Makamu wa Rais. 2025 atapata mandate yake yeye akiwa yeye sasa ndiyo Rais, nayeye atatutafutia mtu mwingine atakayekwenda naye. Mimi sina hofu ya CCM kushindwa na vyama vya upinzani. Unless kutokee mambo ya ajabu maana hakuna dalili zilizo wazi."
Ndio inampa ulaji
Kwa wizi na necccm sisiem itashindwaje?Wa kuishinda CCM hayupo, wa kumshinda Samia pia hayupo.
Samia mpaka 2030 na CCM kushindwa labda baada ya miaka 100 ijayo.
Watanzania wana imani kubwa na CCM.Kwa wizi na necccm sisiem itashindwaje?
Hata mimi nilikuwa naitafakari hiyo kauli.Mambo ya ajabu yanaweza kuwa kama yapi?
Kukatokea kikundi cha walafi na walaghai ndani ya CCM, kikasaliiti na kuungana na wahuni wengine kuteteresha ushindi wa CCM.Hata mimi nilikuwa naitafakari hiyo kauli.
Kwahiyo Mzee Kikwete anampinga Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Juliasi Kambarage Nyerere aliyesema Wapinzani watatoka CCM?Kukatokea kikundi cha walafi na walaghai ndani ya CCM, kikasaliiti na kuungana na wahuni wengine kuteteresha ushindi wa CCM.
Labda hilo litokee, lakini CCM iko imara sana na ingali na uwezo wa kunusa na kubaini harufu ya wasaliti na kuwashughulikia haraka.
Kwa hiyo hamna mtanzania mzalendo zaidi ya mzairoisUjumbe kwa Dr. Isdori Mpango kuwa umakamu wake unaweza kuishia hapo.
2025 atapata mandate yake yeye akiwa yeye sasa ndiyo Rais, nayeye atatutafutia mtu mwingine atakayekwenda naye
Huyo ni takataka wenyewe wanajiita wema wasiokufa ila nionavyo mimi mwisho wake naye ukaribu sanaHuyu jamaa hana msaada wowote kwa Taifa.