Mzee Kikwete: Sina hofu ya CCM kushindwa na Upinzani Uchaguzi Mkuu labda kutokee mambo ya ajabu

Mzee Kikwete: Sina hofu ya CCM kushindwa na Upinzani Uchaguzi Mkuu labda kutokee mambo ya ajabu

Nyuzi za ki puuzi zinafunguka, nyuzi za akili kubwa hazifunguki, shida nin ?
 
Ujumbe kwa Dr. Isdori Mpango kuwa umakamu wake unaweza kuishia hapo.
2025 atapata mandate yake yeye akiwa yeye sasa ndiyo Rais, nayeye atatutafutia mtu mwingine atakayekwenda naye
Itakuwa kosa kwa Samia kumuacha Dr Mpango sbb ni mzuri technically latika masuala ya uchumu kuliko Hawa tiliwazoea
 
Mzee kikwete akiulizwa kuhusu Mtazamo wake wa Uchaguzi wa Mwaka huu na nafasi ya CCM amesema:

"Mimi naamini chama kipo kwenye mazingira mazuri, lakini watu wanasema Politics is local, kuelekea Uchaguzi huu wa Serikali za Mitaa na uchaguzi wa Mkuu mwakani sina hofu na CCM, itaendelea kushinda na Rais atapata mandate yake sasa Rasmi. Coz Mandate hii anayo ndiyo maana ya Mgombea mwenza.

Maana watu wanasema Samia hakuchaguliwa, hapana tulichagua watu wawili Rais na Makamu wa Rais. 2025 atapata mandate yake yeye akiwa yeye sasa ndiyo Rais, nayeye atatutafutia mtu mwingine atakayekwenda naye. Mimi sina hofu ya CCM kushindwa na vyama vya upinzani. Unless kutokee mambo ya ajabu maana hakuna dalili zilizo wazi."
Ila JK amejitahidi sana kujiwekavizuri kiafya. Nadhani kwasababu anajali sana kula kwa afya na mazoezi. Halafu maisha yake easy going umpinge umtukane anapotezea na kupuuza. Kingine kikubwa yuko karibu sana na tge national treasure professor Janabi kuna msemo wa kiswahili unasema ukikaa karibu na ua la waridi utanukia tu.
 
Nimejaribu kufikiria 2025 upinzani ukashinda uchaguzi mkuu, inamaana kuwa CCM itakuwa upinzani.

JK Kikwete, Warioba, Makonda, Wasira, Malecela, Msekwa, Getrude Mongela, Sophia Simba na wengineo watakuwa ni wanachama wa upinzani.

Fikira zangu haziwezi kutimia🤣🤣.

Inawezekanaje kuitoa CCM madarakani wakati wananchi wanasema hawataki kujiandikisha kwasababu matokeo ni lazima CCM ishinde?? Wanaojiandikisha ni wanaCCM wao huwa hawasusii uchaguzi.
 
Back
Top Bottom