Waandishi hawawezi kuuliza hivyo kwa sababu wanapangiwa cha kuulizaWaandishi wangekuwa na akili kama wenzetu wangemuulizi ni katika uchaguzi upi CCM iliwahi kushinda bila wizi wa kura?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waandishi hawawezi kuuliza hivyo kwa sababu wanapangiwa cha kuulizaWaandishi wangekuwa na akili kama wenzetu wangemuulizi ni katika uchaguzi upi CCM iliwahi kushinda bila wizi wa kura?
Sio udini. !Watu wanachuki kali dhidi ya JK. Chuki yao it seems inachagizwa na udini zaidi kuliko hoja
KARMA !!!!!!!!!!!!Hizi kauli mbona tata sana?
Mambo ya ajabu ni yepi zaidi ya yaliyotokea Mtwara kura za udiwani?
Itakuwa kosa kwa Samia kumuacha Dr Mpango sbb ni mzuri technically latika masuala ya uchumu kuliko Hawa tiliwazoeaUjumbe kwa Dr. Isdori Mpango kuwa umakamu wake unaweza kuishia hapo.
2025 atapata mandate yake yeye akiwa yeye sasa ndiyo Rais, nayeye atatutafutia mtu mwingine atakayekwenda naye
Ila JK amejitahidi sana kujiwekavizuri kiafya. Nadhani kwasababu anajali sana kula kwa afya na mazoezi. Halafu maisha yake easy going umpinge umtukane anapotezea na kupuuza. Kingine kikubwa yuko karibu sana na tge national treasure professor Janabi kuna msemo wa kiswahili unasema ukikaa karibu na ua la waridi utanukia tu.Mzee kikwete akiulizwa kuhusu Mtazamo wake wa Uchaguzi wa Mwaka huu na nafasi ya CCM amesema:
"Mimi naamini chama kipo kwenye mazingira mazuri, lakini watu wanasema Politics is local, kuelekea Uchaguzi huu wa Serikali za Mitaa na uchaguzi wa Mkuu mwakani sina hofu na CCM, itaendelea kushinda na Rais atapata mandate yake sasa Rasmi. Coz Mandate hii anayo ndiyo maana ya Mgombea mwenza.
Maana watu wanasema Samia hakuchaguliwa, hapana tulichagua watu wawili Rais na Makamu wa Rais. 2025 atapata mandate yake yeye akiwa yeye sasa ndiyo Rais, nayeye atatutafutia mtu mwingine atakayekwenda naye. Mimi sina hofu ya CCM kushindwa na vyama vya upinzani. Unless kutokee mambo ya ajabu maana hakuna dalili zilizo wazi."
Itapendeza kama atakwenda na Mzee MgayaWa kwenda naye
Ni Paul Makonda [emoji1]
Anaamini mambo ya ajabu yatasaidia yake kufanikiwa!!?kuna watu wanaamini ukiwa Rais mstaafu huna haki ya kutoa maoni yako hadharani