Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 18,046
- 38,598
Ngoja samia aje atwambie kama hakuwa na uwezo huoKwani Kabla ya hapo Mpango alikua ni Nani? Kwani Rais Samia hakua na uwezo wa kumteua mtu mwingine kuwa makamu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja samia aje atwambie kama hakuwa na uwezo huoKwani Kabla ya hapo Mpango alikua ni Nani? Kwani Rais Samia hakua na uwezo wa kumteua mtu mwingine kuwa makamu?
Kikwete kama anaamini CCM ina nguvu kwanini wanakataa tume huru? he is stupid!Mzee kikwete akiulizwa kuhusu Mtazamo wake wa Uchaguzi wa Mwaka huu na nafasi ya CCM amesema...
Hizi kauli mbona tata sana?Mzee kikwete akiulizwa kuhusu Mtazamo wake wa Uchaguzi wa Mwaka huu na nafasi ya CCM amesema...
Kwanini asikae kimyaa aenderee kura alivyovichuma au anawashwaMzee kikwete akiulizwa kuhusu Mtazamo wake wa Uchaguzi wa Mwaka huu na nafasi ya CCM amesema...
ni vigumu mno kwa CCM kushindwa na watu wenye mihemko na wanao wabeza na kuwadhihaki wananchi wasio waelewa au kuwaunga mkono. Ni ngumu sana 🐒Mzee kikwete akiulizwa kuhusu Mtazamo wake wa Uchaguzi wa Mwaka huu na nafasi ya CCM amesema...
Mrundi huyo wa nnUjumbe kwa Dr. Isdori Mpango kuwa umakamu wake unaweza kuishia hapo.
2025 atapata mandate yake yeye akiwa yeye sasa ndiyo Rais, nayeye atatutafutia mtu mwingine atakayekwenda naye
Ulitaka akuletee ugali mezani?Huyu jamaa hana msaada wowote kwa Taifa.
Duu kweli unamlinganisha na Mwijaku na Baba LevoHana tofauti yoyote na Mwijaku.
Raisi ana asili ya wapi? Bashe ana asili ya wapi? Obama alikuwa na asiki ya wapi? Angekuwa mrundi vyombo visinge mpitisha. Na hata mkuu wa majeshi jina lake lina asili ya wapi?Mrundi huyo wa nn
Hatuwataki warundi kwenye nchi yetu kwani hukumsukia CDF ndo maana hatakiwi kurudiRaisi ana asili ya wapi? Bashe ana asili ya wapi? Obama alikuwa na asiki ya wapi? Angekuwa mrundi vyombo visinge mpitisha. Na hata mkuu wa majeshi jina lake lina asili ya wapi?
Kuna maswali hapo hujajibuHatuwataki warundi kwenye nchi yetu kwani hukumsukia CDF ndo maana hatakiwi kurudi
Unawaza chakula tu.Ulitaka akuletee ugali mezani?