Mzee Makamba: Watu wazuri huwa hawafi ndio sababu Kinana yupo na Jakaya yupo!

Mzee Makamba: Watu wazuri huwa hawafi ndio sababu Kinana yupo na Jakaya yupo!

Nimeongelea Rais Mkristo mwenye roho ya kiibilisi. Kuhusu Karume waislamu wenzake walimshugulikia ipasavyo, walimlima Risasi za kutosha.
Mpumbavu mmoja wewe roho mbaya kwako nikufukuzwa kazi kisa chet feki..
Leo vijana wangapi wamefung saloon zao na office znazotegemea umeme.
Kama sio chet feki wew ni mvaa kobaz
 
Wachawi na wauaji huwa wanaishi muda mrefu sana.

Ila watu wema Mungu huwa anawachukua mapema ili wasiharibike.
 
Yule mwamba aliwanyoosha wengi sana alikuwa anataka kuondoa ufalume kwa wale wanaojiona wana hati miliki ya hi nchi

Halafu yeye akataka kujenga hatimiliki ya ufalme wake. Tit for tat. Aliwazuia wenzake na wao wakamzuia yeye.
 
Wachawi na wauaji huwa wanaishi muda mrefu sana.

Ila watu wema Mungu huwa anawachukua mapema ili wasiharibike.

Hata watu wabaya huondoka mapema. Vibaka wanaochomwa Moto majambazi wanaolimwa Risasi na polisi, madikteta uchwara wanaopindukia.. ujumbe wa makamba umefika palivyo.
 
Hongereni kwa kumuua
Ngoja tusubiri kama mtaishi milele

Acha kuropoka waliomuua ni nyie wenywe wanafiki wa CCM . Halfu yeye alipomlamba Lissu Risasi?. Nani alimuonea huruma Lissu?. Azory na Saanane wamepotea kwenye utawala wake , naani anawazungumzia. Tuache unafki
 
Hata watu wabaya huondoka mapema. Vibaka wanaochomwa Moto majambazi wanaolimwa Risasi na polisi, madikteta uchwara wanaopindukia.. ujumbe wa makamba umefika palivyo.
Sasa huyo mzee mpumbavu kuna jambo lolote la maana analo kichwani??
 
Na Mtume Mohamed alikufa savabu alikuwa na madhambi kibao ndio maana alikufa

Akina kinana na kikwete watakatifu kuliko mtume Mohamed ndio maana wako hai

Waislamu hongereni kupata watu wazuri kuliko.mtume Mohamed aliyekufa akina Mzee Makamba, kinana na Kikwete ambao hawafi kwa sababu ni wazuri kuliko Mtume Mohamed mumepata mitume wapya Mzee Makamba,Kikwete na Kinana anzeni kuwaabudu
Hizo kufuru sasa
 
Anataka kumaanisha nini? haya maisha haya ukifa ndio utajua nani mwema kwako na nani adui kwako tuishini vizuri tu tukiwa hai.
Huyo mzee ni mmoja wspo wa watuhumiwa namba moja juu ya kifo cha mzalendo wetu no1 hivyo yupo tayari taifa liteketee kuliko kuja kutiwa hatiani kuhusu uhaini .
 
Back
Top Bottom