Ikitokea mwanazuoni wa Kikristu akawa na historia kama ya Mzee Mwinyi Lumumba mtasema mfumo KristuMzee Mwinyi anasema baba yake aliyeishi Mkuranga alimpeleka Zanzibar ili akajifunze dini ya kiislamu na aweze kuja kuwa sheikh maarufu.
Mzee Mwinyi anasema akiwa Zanzibar alipata mafunzo ya Quran kutoka kwa mashehe mbalimbali maarufu na kuwa mwanazuoni wa dini ya kiislamu.
Mzee Mwinyi anasema lakini ndoto ya baba yake ya kumuona anakuwa shehe haikutimia kwa sababu alisombwa na upepo wa kisiasa. Lakini Mwinyi anasema yeye ni mwanazuoni.
Kazi Iendelee!
Hivi kipindi cha mkapa na magufuli waliokuwa wanalalamika kuwa nchi inaendeshwa kikristo na kuwa teuzi nyingi zinaenda kwa wakristo walikuwa wagalatia?Pia amesema kwenye kitabu chake kuwa wengine walikuwa wanamtizama kwa jicho la udini,eti KWA kuwa yeye ni Muislam basi alikuwa anateua viongoz wake kwa upendeleo wa kidini, jambo hilo lilimkwaza Sana, Galatians hawajaanza leo chuki za udini,hata mama samia kaa nao KWA tahadhari,wameshaanza na kwako pia
Mara ya nyingi hayo ni mawazo tu mkuuPia amesema kwenye kitabu chake kuwa wengine walikuwa wanamtizama kwa jicho la udini,eti KWA kuwa yeye ni Muislam basi alikuwa anateua viongoz wake kwa upendeleo wa kidini, jambo hilo lilimkwaza Sana, Galatians hawajaanza leo chuki za udini,hata mama samia kaa nao KWA tahadhari,wameshaanza na kwako pia
Babu ubinadam kazi watu wangeweza kupuzia haya mambo ya udini haya malalamiko wala usingeyasikiaUmekaa udini kivip, kwenye kitabu chake mzee mwinyi kasema alikuwa anakwazika kwa kuambiwa alikuwa anateua KWA kuwapendelea waislam kwa kuwa tuh yeye ni Muislam,kwani uongo hajasema??
Na kwani ni uongo kuwa nyinyi Tabia hiyo ya kutoa lawama kama hizo mnayo?hapa juzi hata kwa mama samia si mumeanza pia??kumbe Tabia hiyo mmerithi nyinyi kutoka kwa mababu zenu,na mnataka kurithisha kwa wajukuu zenu,muache Tabia ya hovyo hivyo,had mzee kaandika kwenye kitabu,mbadilikeee
Wakristo wenyewe ndio hawa akina Mchungaji Msigwa!Ikitokea mwanazuoni wa Kikristu akawa na historia kama ya Mzee Mwinyi Lumumba mtasema mfumo Kristu
Dar amekuwa akiishi siku miaka yake yoteHivi mzee Mwinyi anaishi wapi now? Dar au zenji?
Dar es salaam!Hivi mzee Mwinyi anaishi wapi now? Dar au zenji?
Asilimia kubwa ya wakristo siyo watu wa kulalamikaWakristo wenyewe ndio hawa akina Mchungaji Msigwa!
Nakazia.... Umbea ulio halalishwa.Kwamba ulipie elfu 70 ili ujue maisha ya mtu!?
Huo ni umbea uliochangamka π π π
Muda utaongea bwashee!Asilimia kubwa ya wakristo siyo watu wa kulalamika
Ova
masaki sio?Dar es salaam!
Mikocheni karibu na kwa mwalimu!masaki sio?
Asilimia kubwa ya wakristo siyo watu wa kulalamika
Ova
Kwa hio kiufupi Mwinyi ni mtu wa baraMzee Mwinyi anasema baba yake aliyeishi Mkuranga alimpeleka Zanzibar ili akajifunze dini ya kiislamu na aweze kuja kuwa sheikh maarufu.
Mzee Mwinyi anasema akiwa Zanzibar alipata mafunzo ya Quran kutoka kwa mashehe mbalimbali maarufu na kuwa mwanazuoni wa dini ya kiislamu.
Mzee Mwinyi anasema lakini ndoto ya baba yake ya kumuona anakuwa shehe haikutimia kwa sababu alisombwa na upepo wa kisiasa. Lakini Mwinyi anasema yeye ni mwanazuoni.
Kazi Iendelee!
Mzee Mwinyi anasema baba yake aliyeishi Mkuranga alimpeleka Zanzibar ili akajifunze dini ya kiislamu na aweze kuja kuwa sheikh maarufu.
Mzee Mwinyi anasema akiwa Zanzibar alipata mafunzo ya Quran kutoka kwa mashehe mbalimbali maarufu na kuwa mwanazuoni wa dini ya kiislamu.
Mzee Mwinyi anasema lakini ndoto ya baba yake ya kumuona anakuwa shehe haikutimia kwa sababu alisombwa na upepo wa kisiasa. Lakini Mwinyi anasema yeye ni mwanazuoni.
Kazi Iendelee!
Mimi ningependa uwekezaji wa ardhi ufanyike upande mwingine ambao kuna baadhi wanasema umesahaulika.
Aaah sawa mkuu, nimepakumbuka [emoji848]Mikocheni karibu na kwa mwalimu!
Ukiwa kwenye daladala unaomba " msaada kwa Mwinyi "
Wapuuzie vip sasa Ili hali mnaongea??Babu ubinadam kazi watu wangeweza kupuzia haya mambo ya udini haya malalamiko wala usingeyasikia
Ova
Umepigia jawabu mstari!Kwa hio kiufupi Mwinyi ni mtu wa bara