Mzee Mwinyi: Baba yangu alinipeleka Zanzibar ili nikajifunze dini (Q'uran) ili niwe Sheikh maarufu, nilitokea Mkuranga

Mzee Mwinyi: Baba yangu alinipeleka Zanzibar ili nikajifunze dini (Q'uran) ili niwe Sheikh maarufu, nilitokea Mkuranga

Mzee Mwinyi anasema baba yake aliyeishi Mkuranga alimpeleka Zanzibar ili akajifunze dini ya kiislamu na aweze kuja kuwa sheikh maarufu.

Mzee Mwinyi anasema akiwa Zanzibar alipata mafunzo ya Quran kutoka kwa mashehe mbalimbali maarufu na kuwa mwanazuoni wa dini ya kiislamu.

Mzee Mwinyi anasema lakini ndoto ya baba yake ya kumuona anakuwa shehe haikutimia kwa sababu alisombwa na upepo wa kisiasa. Lakini Mwinyi anasema yeye ni mwanazuoni.

Kazi Iendelee!
Ikitokea mwanazuoni wa Kikristu akawa na historia kama ya Mzee Mwinyi Lumumba mtasema mfumo Kristu
 
Pia amesema kwenye kitabu chake kuwa wengine walikuwa wanamtizama kwa jicho la udini,eti KWA kuwa yeye ni Muislam basi alikuwa anateua viongoz wake kwa upendeleo wa kidini, jambo hilo lilimkwaza Sana, Galatians hawajaanza leo chuki za udini,hata mama samia kaa nao KWA tahadhari,wameshaanza na kwako pia
Hivi kipindi cha mkapa na magufuli waliokuwa wanalalamika kuwa nchi inaendeshwa kikristo na kuwa teuzi nyingi zinaenda kwa wakristo walikuwa wagalatia?
 
Pia amesema kwenye kitabu chake kuwa wengine walikuwa wanamtizama kwa jicho la udini,eti KWA kuwa yeye ni Muislam basi alikuwa anateua viongoz wake kwa upendeleo wa kidini, jambo hilo lilimkwaza Sana, Galatians hawajaanza leo chuki za udini,hata mama samia kaa nao KWA tahadhari,wameshaanza na kwako pia
Mara ya nyingi hayo ni mawazo tu mkuu
Mbona wengine sisi wakristo lakini bim mkubwa rais samia tunamfurahia!

Ova
 
Umekaa udini kivip, kwenye kitabu chake mzee mwinyi kasema alikuwa anakwazika kwa kuambiwa alikuwa anateua KWA kuwapendelea waislam kwa kuwa tuh yeye ni Muislam,kwani uongo hajasema??

Na kwani ni uongo kuwa nyinyi Tabia hiyo ya kutoa lawama kama hizo mnayo?hapa juzi hata kwa mama samia si mumeanza pia??kumbe Tabia hiyo mmerithi nyinyi kutoka kwa mababu zenu,na mnataka kurithisha kwa wajukuu zenu,muache Tabia ya hovyo hivyo,had mzee kaandika kwenye kitabu,mbadilikeee
Babu ubinadam kazi watu wangeweza kupuzia haya mambo ya udini haya malalamiko wala usingeyasikia

Ova
 
Hivi mzee Mwinyi anaishi wapi now? Dar au zenji?
 
Asilimia kubwa ya wakristo siyo watu wa kulalamika

Ova

Siyo watu wa kulalamika??

Aliowasema Mzee mwinyi kuwa eti alikuwa anawapendelea waislam kwenye uteuzi wake ni waislam?si ni hawa Galatians,waliokuwa wanampigia kiwwte kuwa alikua anateua waislam wenzake ni kina nan,na hao wa hapa juz waliokawa wanampigia kelele mama kwenye uteuzi wake ni kina nani??

mmesahau miwaraka yenu ya malalamiko enz za utawala wa Kikwete??we una umri gan kwan
 
Mzee Mwinyi anasema baba yake aliyeishi Mkuranga alimpeleka Zanzibar ili akajifunze dini ya kiislamu na aweze kuja kuwa sheikh maarufu.

Mzee Mwinyi anasema akiwa Zanzibar alipata mafunzo ya Quran kutoka kwa mashehe mbalimbali maarufu na kuwa mwanazuoni wa dini ya kiislamu.

Mzee Mwinyi anasema lakini ndoto ya baba yake ya kumuona anakuwa shehe haikutimia kwa sababu alisombwa na upepo wa kisiasa. Lakini Mwinyi anasema yeye ni mwanazuoni.

Kazi Iendelee!
Kwa hio kiufupi Mwinyi ni mtu wa bara
 
,,y
Mzee Mwinyi anasema baba yake aliyeishi Mkuranga alimpeleka Zanzibar ili akajifunze dini ya kiislamu na aweze kuja kuwa sheikh maarufu.

Mzee Mwinyi anasema akiwa Zanzibar alipata mafunzo ya Quran kutoka kwa mashehe mbalimbali maarufu na kuwa mwanazuoni wa dini ya kiislamu.

Mzee Mwinyi anasema lakini ndoto ya baba yake ya kumuona anakuwa shehe haikutimia kwa sababu alisombwa na upepo wa kisiasa. Lakini Mwinyi anasema yeye ni mwanazuoni.

Kazi Iendelee!
 
Babu ubinadam kazi watu wangeweza kupuzia haya mambo ya udini haya malalamiko wala usingeyasikia

Ova
Wapuuzie vip sasa Ili hali mnaongea??

Unapuuzia vip kitu mnachopigia kelele Tena hata kama hakipo?

Wakupuuza basi angekuwa mzee mwinyi,Ila mbona kakiandika,we hujiulizi??
 
Back
Top Bottom