Kenya 2022 Mzee Odinga Kaamua: Kwa hizi Evidence Ruto Atapona kweli?

Kenya 2022 General Election
Basi iachie Mahakama ifanye kazi yake.Tunachokukatalia ni wewe ku crush kila kitu as if RAO hana haki ya kwenda kulalamika Mahakamani
 
Huyu mzee japo nampenda ila kama hana ushahidi asitupotezee muda na taharuki zisizokua na tija, Ruto kesha anza kujichimbia tayari kwa kushawishi wanasiasa ambao wanahamia kwake, kwamba hata tukirudia uchaguzi atashinda tu, keshakaa mkao wa urais.
Na mazee wa "organs" zote tatu tayari wampatia raisi mteule "security briefings" kila asubuhi.

DS wameishaamua Raila awe raisi kinofuata ni taratibu za kawaida kabisa ili kutimiliza lile neno la demokrasia imetimizwa.

Nchi kama Marekani yaja na kauli kuwa uchaguzi ulikuwa fair na kazi eindelee watu hawaelewi tu?
 
Sorry, hivi mchanganuo wa matokeo yote ya urais yapoje? Asilimia walizopata wagombea wengine na zilizoharibika?
 
Sorry, hivi mchanganuo wa matokeo yote ya urais yapoje? Asilimia walizopata wagombea wengine na zilizoharibika?
Hukuwepo kwenye kufuatilia kwenye redio zenu huko au umejiunga JF juzi ?.
 
Jaribu kufanya hivyo... Kuna kosa na kosa.. kuua MTU mmoja litahesabika kosa la jinai la kawaida, ua WaTu hamsini Kama hujahesabika Gaidi na USA wakupeleke Guantanamo ukapate Dozi yako
Katika sharia hamna kinachoitwa evidance ndogo, killing 1 person is equal to killing 50persons, thats law adhabu ni moja tu wote
 
Ya kwetu Hayajadiliki mpendwa. Ni utekelezaji tu
Watanzania tuko vizuri sana na kujua mifumo ya kimahakama,tume za uchaguzi nchi jirani na hukumu pia👏👏👏 pongezi sana kwetu juu ya hili

Ila ya kwetu sasa 🙄🙄
 
Watanzania tuko vizuri sana na kujua mifumo ya kimahakama,tume za uchaguzi nchi jirani na hukumu pia[emoji122][emoji122][emoji122] pongezi sana kwetu juu ya hili

Ila ya kwetu sasa [emoji849][emoji849]
Tena tunatokwa na mishipa ya shingo hadi kusema hapa hakuna kesi.Tunajua mambo ya jirani kuliko wanavyoyajua wao [emoji3]
 
1. Sio county 27 ni majimbo 27, yenye kura zaidi ya laki 5!! How can you say hayatoshi kubadili mshindi?

2. IEBC inakiri kulikua na hacks zaidi ya 200 ila haijataja kina nani walihusika na hatua zipi zilichukuliwa so hiyo itaibuliwa mahakamani.

3. Hujaongelea variation ya kura laki 5 kati ya kura za gavana,ubunge n.k VS za Urais. Yaani watu laki 5 wachague Rais ila wasichague wabunge au gavana? Sasa swali linakuja zike karatasi 5 zinawekwa wapi maana tayari zinakua na muhuri!! Kama zinahesabika zimeharibika je idadi hiyo mbona haiko reflected kwenye spoilt votes au stray votes?

4. Uchaguzi ni process so kama Kuna procedure imerukwa inaweza athiri final results mfano kuna waliopinga kura bila kusajiliwa na Kiems kit kwa hiyo kura zao zikiwa na variance na jumla ya kura zote hapo kuna walakini.

Uchaguzi ni process sio tukio, kama ambavyo 2017 kura haikuibiwa ila process ya verification ilirukwa na uchaguzi ukafutwa wotee!! Na kwa hali ilivyo tutegemee maamuzi yoyote ila kwa Kenya hata 0.1 inaweza sababisha uchaguzi ufutwe maana kama tallying ya national ikikosewa sembuse ya kituoni!! Yaani 0.1 ikosewe kwenye vituo 48,000 utasemaje ni minimal error in a larger scale??
 
Form za online hazikua verified, ndio maana kuna zilizofika kufanyiwa verification zikaenguliwa. Kwenye hiyo process kuna fomu kutoka majimbo 27 hazikuwa verified or at least matokeo yake hayakutangazwa pale Bomas sasa haraka ya nini kutangazwa Urais kabla ya kujiridhisha na hayo majimbo tajwa??

Ndio maana Mahakama zipo, zitatoa majibu ya maswali haya tuwe na subira tu
 
Huyu mzee japo nampenda ila kama hana ushahidi asitupotezee muda na taharuki zisizokua na tija, Ruto kesha anza kujichimbia tayari kwa kushawishi wanasiasa ambao wanahamia kwake, kwamba hata tukirudia uchaguzi atashinda tu, keshakaa mkao wa urais.
Uchaguzi wa 2017 ulipofutwa Munya alihamia NASA, ila uliporudiwa akarudi haraka kwa Jubilee!! Waliohamia kwake ni sababu kesi Bado ila wakisikia unarudiwa watapiga U turn maana wataona upepo utakavyokaa otherwise Odinga akianguka then tegemea vyama vingi hasa viduchu vitakimbilia Kenya Kwanza!!
 
Tofauti IPO Kwa idadi ya wapiga kura
 
Hakujapoa huko Kunyaland..Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi alisema watu wake walivamiwa na silaha za moto wakati wanaandaa ushahidi wa kwenda kujibu kina RAO..

Kanakwamba haitoshi,Raila alilalamika kwa maofisa waliotaka kumzuia kupeleka shauri Mahakamani..

Kunyaland bado ya moto 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220823-162624.png
    110.3 KB · Views: 2
49.997% = 50.00%.
 
Hiyo ni team raila inataka jamaa asiweze kutoa ushaidi vizuri
 
Ni bora ww ndio uwe wakili wa odinga...ule mfumo wa kura ukifanya wizi lazima ujulikane tu
 
Ni bora ww ndio uwe wakili wa odinga...ule mfumo wa kura ukifanya wizi lazima ujulikane tu
Kwenye petition wameweka form 34 A kutoka vituo random kama 37 na vyote vinakinzana na zilizopostiwa kwa portal.

Ndio maana nikasema tuachie mahakama iamue ila kuanza kusema sijui hakuna ushahidi sijui hakuna fomu imekosewa n.k naona tuna deviate kwenye uhalisia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…