Basi iachie Mahakama ifanye kazi yake.Tunachokukatalia ni wewe ku crush kila kitu as if RAO hana haki ya kwenda kulalamika MahakamaniHuo mfano ni tofauti na aina ya kesi inayozungumziwa hapa.
Ishu hapa ni kama hiyo tofauti ni kubwa kiasi gani kuweza kunullify matokeo..
Hakuna uchaguzi ambao hauna makosa madogo madogo.
Ukichukua huo mfano wako mshindi hata patikana milele.
Kila uchaguzi utakua unarudiwa.
Na mazee wa "organs" zote tatu tayari wampatia raisi mteule "security briefings" kila asubuhi.Huyu mzee japo nampenda ila kama hana ushahidi asitupotezee muda na taharuki zisizokua na tija, Ruto kesha anza kujichimbia tayari kwa kushawishi wanasiasa ambao wanahamia kwake, kwamba hata tukirudia uchaguzi atashinda tu, keshakaa mkao wa urais.
Katika sharia hamna kinachoitwa evidance ndogo, killing 1 person is equal to killing 50persons, thats law adhabu ni moja tu wote
Watanzania tuko vizuri sana na kujua mifumo ya kimahakama,tume za uchaguzi nchi jirani na hukumu pia👏👏👏 pongezi sana kwetu juu ya hili
Ila ya kwetu sasa 🙄🙄
Tena tunatokwa na mishipa ya shingo hadi kusema hapa hakuna kesi.Tunajua mambo ya jirani kuliko wanavyoyajua wao [emoji3]Watanzania tuko vizuri sana na kujua mifumo ya kimahakama,tume za uchaguzi nchi jirani na hukumu pia[emoji122][emoji122][emoji122] pongezi sana kwetu juu ya hili
Ila ya kwetu sasa [emoji849][emoji849]
1. Sio county 27 ni majimbo 27, yenye kura zaidi ya laki 5!! How can you say hayatoshi kubadili mshindi?Nimeiona hiyo petition ni ya kisiasa hakuna content ya maana.
Kwa mahesabu ya Raila anasema Ruto kapata 49.997% ya valid votes.
Kwanini kachagua three decimals na sio two decimals . Its Obvious anajua mwenyewe kuwa inampa faida yeye.
Kwa matokeo hayo ya Raila ukiweka kwenye two decimals Ruto anapata 50%.
Anadai matokeo ya counties 27 hayakujumuishwa kwenye matokeo ya jumla. Je matokeo haya yanaweza kuathiri matokeo ya jumla??
Anadai kuwa kuna raia wa kigeni walikamatwa na vifaa vyenye access ya network ya IEBC na vifaa hivyo vimekamatwa pia.
Sasa kama culprits wametiwa nguvuni na vifaa vyao, hii inaathiri vipi matokeo ya jumla??
Je kuna ushahidi wa mifumo ya IEBC kuingiliwa.
Anadai kura za Rais , gavana,wabunge na wawakilishi wa wanawake zinatofautiana.
Nani kasema ni lazima zote ziwe sawa. Mpiga kura halazimishwi kuchagua wagombea wa nafasi zote , anaweza chagua mtu anayemtaka. Akaondoka zake.
Variance nyingi ni human error tu hakuna makosa makubwa kiasi cha kusema kwamba hapa hawa watu wamedhamiria kupora uchaguzi.
Wala hakuna error kubwa za kuweza kuinvalidate the whole election.
Binafsi sioni Raila akishinda hii kesi kama jopo la majaji wakituliza akili.
Form za online hazikua verified, ndio maana kuna zilizofika kufanyiwa verification zikaenguliwa. Kwenye hiyo process kuna fomu kutoka majimbo 27 hazikuwa verified or at least matokeo yake hayakutangazwa pale Bomas sasa haraka ya nini kutangazwa Urais kabla ya kujiridhisha na hayo majimbo tajwa??Matakataka tu, hamna ushahidi wowote hapo, siasa za hovyo tu
Hao azimio ukiwauliza maswali ya msingi hawawezi kujibu
Moja ni fomu za matokeo kutoka vituo vyote vya kura 46,229 zote zipo online na wao pia walipewa nakala
Sasa kati ya fomu hizo zote, ni fomu zipi, za kituo gani ambazo zimeonyesha matokeo ya uwongo ?
Uchaguzi wa 2017 ulipofutwa Munya alihamia NASA, ila uliporudiwa akarudi haraka kwa Jubilee!! Waliohamia kwake ni sababu kesi Bado ila wakisikia unarudiwa watapiga U turn maana wataona upepo utakavyokaa otherwise Odinga akianguka then tegemea vyama vingi hasa viduchu vitakimbilia Kenya Kwanza!!Huyu mzee japo nampenda ila kama hana ushahidi asitupotezee muda na taharuki zisizokua na tija, Ruto kesha anza kujichimbia tayari kwa kushawishi wanasiasa ambao wanahamia kwake, kwamba hata tukirudia uchaguzi atashinda tu, keshakaa mkao wa urais.
Tofauti IPO Kwa idadi ya wapiga kuraNimeiona hiyo petition ni ya kisiasa hakuna content ya maana.
Kwa mahesabu ya Raila anasema Ruto kapata 49.997% ya valid votes.
Kwanini kachagua three decimals na sio two decimals . Its Obvious anajua mwenyewe kuwa inampa faida yeye.
Kwa matokeo hayo ya Raila ukiweka kwenye two decimals Ruto anapata 50%.
Anadai matokeo ya counties 27 hayakujumuishwa kwenye matokeo ya jumla. Je matokeo haya yanaweza kuathiri matokeo ya jumla??
Anadai kuwa kuna raia wa kigeni walikamatwa na vifaa vyenye access ya network ya IEBC na vifaa hivyo vimekamatwa pia.
Sasa kama culprits wametiwa nguvuni na vifaa vyao, hii inaathiri vipi matokeo ya jumla??
Je kuna ushahidi wa mifumo ya IEBC kuingiliwa.
Anadai kura za Rais , gavana,wabunge na wawakilishi wa wanawake zinatofautiana.
Nani kasema ni lazima zote ziwe sawa. Mpiga kura halazimishwi kuchagua wagombea wa nafasi zote , anaweza chagua mtu anayemtaka. Akaondoka zake.
Variance nyingi ni human error tu hakuna makosa makubwa kiasi cha kusema kwamba hapa hawa watu wamedhamiria kupora uchaguzi.
Wala hakuna error kubwa za kuweza kuinvalidate the whole election.
Binafsi sioni Raila akishinda hii kesi kama jopo la majaji wakituliza akili.
Raila kwa hapa duniani hawezi tena kuwa raisi hata akafungue mashtaka ICCHuyu mzee uchaguzi kila sikua analalamika tu, akubali kuwa uraisi sio zali kwake
49.997% = 50.00%.1. Sio county 27 ni majimbo 27, yenye kura zaidi ya laki 5!! How can you say hayatoshi kubadili mshindi?
2. IEBC inakiri kulikua na hacks zaidi ya 200 ila haijataja kina nani walihusika na hatua zipi zilichukuliwa so hiyo itaibuliwa mahakamani.
3. Hujaongelea variation ya kura laki 5 kati ya kura za gavana,ubunge n.k VS za Urais. Yaani watu laki 5 wachague Rais ila wasichague wabunge au gavana? Sasa swali linakuja zike karatasi 5 zinawekwa wapi maana tayari zinakua na muhuri!! Kama zinahesabika zimeharibika je idadi hiyo mbona haiko reflected kwenye spoilt votes au stray votes?
4. Uchaguzi ni process so kama Kuna procedure imerukwa inaweza athiri final results mfano kuna waliopinga kura bila kusajiliwa na Kiems kit kwa hiyo kura zao zikiwa na variance na jumla ya kura zote hapo kuna walakini.
Uchaguzi ni process sio tukio, kama ambavyo 2017 kura haikuibiwa ila process ya verification ilirukwa na uchaguzi ukafutwa wotee!! Na kwa hali ilivyo tutegemee maamuzi yoyote ila kwa Kenya hata 0.1 inaweza sababisha uchaguzi ufutwe maana kama tallying ya national ikikosewa sembuse ya kituoni!! Yaani 0.1 ikosewe kwenye vituo 48,000 utasemaje ni minimal error in a larger scale??
Hiyo ni team raila inataka jamaa asiweze kutoa ushaidi vizuriHakujapoa huko Kunyaland..Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi alisema watu wake walivamiwa na silaha za moto wakati wanaandaa ushahidi wa kwenda kujibu kina RAO..
Kanakwamba haitoshi,Raila alilalamika kwa maofisa waliotaka kumzuia kupeleka shauri Mahakamani..
Kunyaland bado ya moto [emoji116]
Ni bora ww ndio uwe wakili wa odinga...ule mfumo wa kura ukifanya wizi lazima ujulikane tu1. Sio county 27 ni majimbo 27, yenye kura zaidi ya laki 5!! How can you say hayatoshi kubadili mshindi?
2. IEBC inakiri kulikua na hacks zaidi ya 200 ila haijataja kina nani walihusika na hatua zipi zilichukuliwa so hiyo itaibuliwa mahakamani.
3. Hujaongelea variation ya kura laki 5 kati ya kura za gavana,ubunge n.k VS za Urais. Yaani watu laki 5 wachague Rais ila wasichague wabunge au gavana? Sasa swali linakuja zike karatasi 5 zinawekwa wapi maana tayari zinakua na muhuri!! Kama zinahesabika zimeharibika je idadi hiyo mbona haiko reflected kwenye spoilt votes au stray votes?
4. Uchaguzi ni process so kama Kuna procedure imerukwa inaweza athiri final results mfano kuna waliopinga kura bila kusajiliwa na Kiems kit kwa hiyo kura zao zikiwa na variance na jumla ya kura zote hapo kuna walakini.
Uchaguzi ni process sio tukio, kama ambavyo 2017 kura haikuibiwa ila process ya verification ilirukwa na uchaguzi ukafutwa wotee!! Na kwa hali ilivyo tutegemee maamuzi yoyote ila kwa Kenya hata 0.1 inaweza sababisha uchaguzi ufutwe maana kama tallying ya national ikikosewa sembuse ya kituoni!! Yaani 0.1 ikosewe kwenye vituo 48,000 utasemaje ni minimal error in a larger scale??
Kwenye petition wameweka form 34 A kutoka vituo random kama 37 na vyote vinakinzana na zilizopostiwa kwa portal.Ni bora ww ndio uwe wakili wa odinga...ule mfumo wa kura ukifanya wizi lazima ujulikane tu