Petition nimeisoma mkuu, kwenye petition hakuna ushahidi wowote kuwa kuna utofauti wa matokeo ya fomu 34A zilizopo kwenye server na zilw hardcopy, hakuna.!
Hiyo ya mount Kenya ulikosema, wanachodai wao ni kuna kaunti ya Kirinyaga ambapo matokeo ya kura za urais yalikuwa na total votes nyingi zaidi ya 22,000 kuliko total votes za ugavana, kitu ambacho nacho ni uwongo kura zimewekwa wazi, za urais na ugavana zinatofautiana kwa 900 pekee
Kutokuwa na mawakala hilo ni kosa lake mwenyewe na sio proof kuwa aliibiwa kura
Na hao wanaosema hawaku verify matoeo ya majimbo 27 ni wale makamishna 4 ambao ni famba wasiojua hata hesabu, kila kitu kilikuwa verified