zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Rounding off ya nini mkuu, rule ni 50%+1 kwa hiyo kama matokeo ya IEBC ndio yatatumika mahakamani then rounding off ni makosa. Sababu gap ya asilimia ya kufika 50+1 kwa Ruto ni 0.49 ikimaanisha uki round off the nearest zero matokeo yanakua tofauti kabisa na contradictions zitaongezeka.49.997% = 50.00%.
Hata wewe unajiandikia bila kuwa na uhakika. Ndiyo maana mahakama ikawepo kwa sababu itasikiliza pande zote na kulinganisha.Nimeiona hiyo petition ni ya kisiasa hakuna content ya maana.
Kwa mahesabu ya Raila anasema Ruto kapata 49.997% ya valid votes.
Kwanini kachagua three decimals na sio two decimals . Its Obvious anajua mwenyewe kuwa inampa faida yeye.
Kwa matokeo hayo ya Raila ukiweka kwenye two decimals Ruto anapata 50%.
Anadai matokeo ya counties 27 hayakujumuishwa kwenye matokeo ya jumla. Je matokeo haya yanaweza kuathiri matokeo ya jumla??
Anadai kuwa kuna raia wa kigeni walikamatwa na vifaa vyenye access ya network ya IEBC na vifaa hivyo vimekamatwa pia.
Sasa kama culprits wametiwa nguvuni na vifaa vyao, hii inaathiri vipi matokeo ya jumla??
Je kuna ushahidi wa mifumo ya IEBC kuingiliwa.
Anadai kura za Rais , gavana,wabunge na wawakilishi wa wanawake zinatofautiana.
Nani kasema ni lazima zote ziwe sawa. Mpiga kura halazimishwi kuchagua wagombea wa nafasi zote , anaweza chagua mtu anayemtaka. Akaondoka zake.
Variance nyingi ni human error tu hakuna makosa makubwa kiasi cha kusema kwamba hapa hawa watu wamedhamiria kupora uchaguzi.
Wala hakuna error kubwa za kuweza kuinvalidate the whole election.
Binafsi sioni Raila akishinda hii kesi kama jopo la majaji wakituliza akili.
You are right. Hakuna haja ya kulumbana kwani kesi imeshapelekwa mahakani na siku si nyingi uamuzi utatoka. Anayesema Raila atashindwa mahakamani hana uhakika kwa sababu hana ushahidi na anayesema atashinda naye hana uhakika kwani hana ushahidi.Kwenye petition wameweka form 34 A kutoka vituo random kama 37 na vyote vinakinzana na zilizopostiwa kwa portal.
Ndio maana nikasema tuachie mahakama iamue ila kuanza kusema sijui hakuna ushahidi sijui hakuna fomu imekosewa n.k naona tuna deviate kwenye uhalisia.
Anakupotezeaje muda wewe na anakupotozea muda wewe na nani? Mahakamani ni sehemu ya kutafuta haki na siyo sehemu ya kupoteza muda.Huyu mzee japo nampenda ila kama hana ushahidi asitupotezee muda na taharuki zisizokua na tija, Ruto kesha anza kujichimbia tayari kwa kushawishi wanasiasa ambao wanahamia kwake, kwamba hata tukirudia uchaguzi atashinda tu, keshakaa mkao wa urais.
Mi ambae sijui hesqbu...1. Sio county 27 ni majimbo 27, yenye kura zaidi ya laki 5!! How can you say hayatoshi kubadili mshindi?
2. IEBC inakiri kulikua na hacks zaidi ya 200 ila haijataja kina nani walihusika na hatua zipi zilichukuliwa so hiyo itaibuliwa mahakamani.
3. Hujaongelea variation ya kura laki 5 kati ya kura za gavana,ubunge n.k VS za Urais. Yaani watu laki 5 wachague Rais ila wasichague wabunge au gavana? Sasa swali linakuja zike karatasi 5 zinawekwa wapi maana tayari zinakua na muhuri!! Kama zinahesabika zimeharibika je idadi hiyo mbona haiko reflected kwenye spoilt votes au stray votes?
4. Uchaguzi ni process so kama Kuna procedure imerukwa inaweza athiri final results mfano kuna waliopinga kura bila kusajiliwa na Kiems kit kwa hiyo kura zao zikiwa na variance na jumla ya kura zote hapo kuna walakini.
Uchaguzi ni process sio tukio, kama ambavyo 2017 kura haikuibiwa ila process ya verification ilirukwa na uchaguzi ukafutwa wotee!! Na kwa hali ilivyo tutegemee maamuzi yoyote ila kwa Kenya hata 0.1 inaweza sababisha uchaguzi ufutwe maana kama tallying ya national ikikosewa sembuse ya kituoni!! Yaani 0.1 ikosewe kwenye vituo 48,000 utasemaje ni minimal error in a larger scale??
Hata yeye kafanya hivyo hivyo hapo lazima zilikuwepo zaidi ya hizo three decimals akaamua kuchagua hizo three decimals badala ya two decimals.Rounding off ya nini mkuu, rule ni 50%+1 kwa hiyo kama matokeo ya IEBC ndio yatatumika mahakamani then rounding off ni makosa. Sababu gap ya asilimia ya kufika 50+1 kwa Ruto ni 0.49 ikimaanisha uki round off the nearest zero matokeo yanakua tofauti kabisa na contradictions zitaongezeka.
Tatizo hapa gap ni ndogo so slightest mistake inaweza badili matokeo yaani katika kura million 14+ gap ni laki 2 pekee so rounding off bila umakini inaweza vuruga uchaguzi.
Kwani katiba inasema mtu akipata 46.5% iwe rounded off to 47%Nimeiona hiyo petition ni ya kisiasa hakuna content ya maana.
Kwa mahesabu ya Raila anasema Ruto kapata 49.997% ya valid votes.
Kwanini kachagua three decimals na sio two decimals . Its Obvious anajua mwenyewe kuwa inampa faida yeye.
Kwa matokeo hayo ya Raila ukiweka kwenye two decimals Ruto anapata 50%.
Anadai matokeo ya counties 27 hayakujumuishwa kwenye matokeo ya jumla. Je matokeo haya yanaweza kuathiri matokeo ya jumla??
Anadai kuwa kuna raia wa kigeni walikamatwa na vifaa vyenye access ya network ya IEBC na vifaa hivyo vimekamatwa pia.
Sasa kama culprits wametiwa nguvuni na vifaa vyao, hii inaathiri vipi matokeo ya jumla??
Je kuna ushahidi wa mifumo ya IEBC kuingiliwa.
Anadai kura za Rais , gavana,wabunge na wawakilishi wa wanawake zinatofautiana.
Nani kasema ni lazima zote ziwe sawa. Mpiga kura halazimishwi kuchagua wagombea wa nafasi zote , anaweza chagua mtu anayemtaka. Akaondoka zake.
Variance nyingi ni human error tu hakuna makosa makubwa kiasi cha kusema kwamba hapa hawa watu wamedhamiria kupora uchaguzi.
Wala hakuna error kubwa za kuweza kuinvalidate the whole election.
Binafsi sioni Raila akishinda hii kesi kama jopo la majaji wakituliza akili.
Katiba inasema 50% + 1 vote.Kwani katiba inasema mtu akipata 46.5% iwe rounded off to 47%
Kwahyo yeye na ww nani mjinga babu ahangaike bure bila uhakika?.Nimeiona hiyo petition ni ya kisiasa hakuna content ya maana.
Kwa mahesabu ya Raila anasema Ruto kapata 49.997% ya valid votes.
Kwanini kachagua three decimals na sio two decimals . Its Obvious anajua mwenyewe kuwa inampa faida yeye.
Kwa matokeo hayo ya Raila ukiweka kwenye two decimals Ruto anapata 50%.
Anadai matokeo ya counties 27 hayakujumuishwa kwenye matokeo ya jumla. Je matokeo haya yanaweza kuathiri matokeo ya jumla??
Anadai kuwa kuna raia wa kigeni walikamatwa na vifaa vyenye access ya network ya IEBC na vifaa hivyo vimekamatwa pia.
Sasa kama culprits wametiwa nguvuni na vifaa vyao, hii inaathiri vipi matokeo ya jumla??
Je kuna ushahidi wa mifumo ya IEBC kuingiliwa.
Anadai kura za Rais , gavana,wabunge na wawakilishi wa wanawake zinatofautiana.
Nani kasema ni lazima zote ziwe sawa. Mpiga kura halazimishwi kuchagua wagombea wa nafasi zote , anaweza chagua mtu anayemtaka. Akaondoka zake.
Variance nyingi ni human error tu hakuna makosa makubwa kiasi cha kusema kwamba hapa hawa watu wamedhamiria kupora uchaguzi.
Wala hakuna error kubwa za kuweza kuinvalidate the whole election.
Binafsi sioni Raila akishinda hii kesi kama jopo la majaji wakituliza akili.
haya maelezo yako ni kwa mujibu wa sheria ya uchaguzi ya kenya?Hakuna dosari kubwa hapo hata moja.
Zote zimekuwa coated tu.
Maamuzi huwa yanafanyika kwa errors kubwa ambazo haziwezi kuvumilika na zinazoweza epukika.
Hakuna uchaguzi ambao utakosa makosa madogo madogo wala hakuna uchaguzi perfect 100%.
Mkuu hizo evidence ndizo ana hakika anapeleka mahakamani au ni tayari amewasilisha?.Huyu Jamaa alie fariki. Ni msimazi mkuu wa Uchaguzi ktk Jimbo la Kirinyaga. Jimbo hili kuna kura zaidi 23,500. Zime piga katika nafasi ya Urais pekee ila ktk Nafasi ya Ugavana hazionekani. Hivyo kuna feki 23,500 aliongezewa Ruto. Ktk Jimbo hili, mshindi wa Ugavana ni wa UDA, ya Ruto. Huyo Returning Officer ali fariki gafla tu ktk office za IEBC alipo itwa. Ikumbukwe huu ni ushaidi wa Raila no 96.View attachment 2332674View attachment 2332676
Tiyari kapeleka. Na ktk Hoja za kesi page 72 ina onesha kila jimbo na wizi wote.Mkuu hizo evidence ndizo ana hakika anapeleka mahakamani au ni tayari amewasilisha?.
Nadhani kama ni kweli alifanyiwa hujuma hizo, naamini miaka yote amekuwa mshindi ila ndiyo hivyo hatakiwa na state kuishika hatamu.
Zaidi ya matusi ubongo wako hauna lolote la ziada.Hii nchi Ina watu wenye ujinga wa Hali ya juu, kina Odinga wamepeleka evidence mahakamani, nguchiro wa bongo huku ambao hata hawana hata uhakika wa Maisha yao na tozo kibao , wanapanua matako kumtukana Odinga , hii ndio bongo Ni makopo matupu vichwani
Jenga tabia ya kuheshimu mawazo ya watu hata kama huyapendi. Pita tu. Kutukana ina onesha uwezo wako kichwani.Hii nchi Ina watu wenye ujinga wa Hali ya juu, kina Odinga wamepeleka evidence mahakamani, nguchiro wa bongo huku ambao hata hawana hata uhakika wa Maisha yao na tozo kibao , wanapanua matako kumtukana Odinga , hii ndio bongo Ni makopo matupu vichwani