Magulumelafulu
JF-Expert Member
- Jul 8, 2021
- 495
- 602
Tena haswaa aache jipendekezaWadau hamjamboni nyote?
Taarifa kamili imeambatanishwa hapo juu.
MZEE wa Kanisa la Waadventista Wasabato la Muheza Central, wilayani hapa mkoani Tanga, John Mdoe, amewafuturisha waumini wa dini ya Kiislamu.
Mdoe kwa kushirikiana na familia yake, wametoa sadaka hiyo kwa zaidi ya Waislamu 100 nyumbani kwake, Mtaa wa Mdote. Mgeni rasmi alikuwa Shekhe wa Wilaya ya Muheza, Abdallah Seif na ilihudhuriwa pia na Katibu wa BAKWATA Wilaya hiyo, Shabani Nguzo.
Nipashe
Jina la Bwana lihimidiwe
View attachment 2950296
Hakuna Cha jambo jema hapo,ni unafiki na kutafuta attention tuh hao makafiri,if the had good intention for that why waalike waandishi wa habari waseme eti Mzee wa kanisa afuturisha,hiyo michezo ya kitoto na fikra za kimaskini za makafiriNi jambo jema, tukiacha hizi dini tulizoletewa ambazo kwa hakika zina manufaa na ni njema
Sisi ni waafrika tupendane na tusibaguane, upendo kwanza na tuendeleze udugu daima
Hakuna cha ajabu, familia yake ina waisilamu wengi huenda kuzidi wakiristu waliomo kwenye familia, na pia huenda alitoka uisilamu akaingia ukiristu, chukulia hili ni tukio la maisha yao ya kila siku.Wadau hamjamboni nyote?
Taarifa kamili imeambatanishwa hapo juu.
MZEE wa Kanisa la Waadventista Wasabato la Muheza Central, wilayani hapa mkoani Tanga, John Mdoe, amewafuturisha waumini wa dini ya Kiislamu.
Mdoe kwa kushirikiana na familia yake, wametoa sadaka hiyo kwa zaidi ya Waislamu 100 nyumbani kwake, Mtaa wa Mdote. Mgeni rasmi alikuwa Shekhe wa Wilaya ya Muheza, Abdallah Seif na ilihudhuriwa pia na Katibu wa BAKWATA Wilaya hiyo, Shabani Nguzo.
Nipashe
Jina la Bwana lihimidiwe
View attachment 2950296
InapendezaWadau hamjamboni nyote?
Taarifa kamili imeambatanishwa hapo juu.
MZEE wa Kanisa la Waadventista Wasabato la Muheza Central, wilayani hapa mkoani Tanga, John Mdoe, amewafuturisha waumini wa dini ya Kiislamu.
Mdoe kwa kushirikiana na familia yake, wametoa sadaka hiyo kwa zaidi ya Waislamu 100 nyumbani kwake, Mtaa wa Mdote. Mgeni rasmi alikuwa Shekhe wa Wilaya ya Muheza, Abdallah Seif na ilihudhuriwa pia na Katibu wa BAKWATA Wilaya hiyo, Shabani Nguzo.
Nipashe
Jina la Bwana lihimidiwe
View attachment 2950296
Nadhani ni ile spirit yao ya kupenda kutoa misaada na upendo ndi tatizo. Sisi hatujazoea haya. Ila nimeshangaa watu kwenda kweli kukaa na kuufinya. Kweli baniani mbaya kiatu chake dawa. Njaa mbaya sana.Makafiri waache kujipendekeza,wao Wana dini Yao na sisi tuna dini yetu,waache shobo.
Ukiishi kwa upanga utakufa kwa upanga, na ukifanya mazuri daima yatakurudiaHakuna Cha jambo jema hapo,ni unafiki na kutafuta attention tuh hao makafiri,if the had good intention for that why waalike waandishi wa habari waseme eti Mzee wa kanisa afuturisha,hiyo michezo ya kitoto na fikra za kimaskini za makafiri
Inashangaza sana, kuwa na nguvu gunia na Akili kijiko inatesa sana.Toka lini bakwata wakawa na akili?
Wenye shobo ni walioenda kula futari ya bureMakafiri waache kujipendekeza,wao Wana dini Yao na sisi tuna dini yetu,waache shobo.
Kati ya waislam na wakristo ni kina nani wanatoa misaada sana? Nazungumzia mtu mmoja mmoja kama alivyofanya huyo bwana kufuturisha watuNadhani ni ile spirit yao ya kupenda kutoa misaada na upendo ndi tatizo. Sisi hatujazoea haya. Ila nimeshangaa watu kwenda kweli kukaa na kuufinya. Kweli baniani mbaya kiatu chake dawa. Njaa mbaya sana.
Kwa hiyo Kaffir kawafuturisha watu wa mnyazi?Wadau hamjamboni nyote?
Taarifa kamili imeambatanishwa hapo juu.
MZEE wa Kanisa la Waadventista Wasabato la Muheza Central, wilayani hapa mkoani Tanga, John Mdoe, amewafuturisha waumini wa dini ya Kiislamu.
Mdoe kwa kushirikiana na familia yake, wametoa sadaka hiyo kwa zaidi ya Waislamu 100 nyumbani kwake, Mtaa wa Mdote. Mgeni rasmi alikuwa Shekhe wa Wilaya ya Muheza, Abdallah Seif na ilihudhuriwa pia na Katibu wa BAKWATA Wilaya hiyo, Shabani Nguzo.
Nipashe
Jina la Bwana lihimidiwe
View attachment 2950296
Kwahiyo wamekula chaula cha KAFIR?Wadau hamjamboni nyote?
Taarifa kamili imeambatanishwa hapo juu.
MZEE wa Kanisa la Waadventista Wasabato la Muheza Central, wilayani hapa mkoani Tanga, John Mdoe, amewafuturisha waumini wa dini ya Kiislamu.
Mdoe kwa kushirikiana na familia yake, wametoa sadaka hiyo kwa zaidi ya Waislamu 100 nyumbani kwake, Mtaa wa Mdote. Mgeni rasmi alikuwa Shekhe wa Wilaya ya Muheza, Abdallah Seif na ilihudhuriwa pia na Katibu wa BAKWATA Wilaya hiyo, Shabani Nguzo.
Nipashe
Jina la Bwana lihimidiwe
View attachment 2950296
Sio kuendana tu, tuwe na Interfaith harmony ili Dini za kuletwa kwenye Majahazi zisitumike kutugawa Waafrika.Wasabato na Waislam huwa wana endana sana,
Makafir toka lini mkawa na mapenz na waislam nyinyi,sisi tunawaelewa vizuri chuki zenu.Ukiishi kwa upanga utakufa kwa upanga, na ukifanya mazuri daima yatakurudia
Ukiwa na fikra mgando huwezi ona nje ya box
Sana
Ndiyo maana makafir wanaokula pekee yao mchana wanacharazwa bakora. Watusubiri jioni tule wote.Wadau hamjamboni nyote?
Taarifa kamili imeambatanishwa hapo juu.
MZEE wa Kanisa la Waadventista Wasabato la Muheza Central, wilayani hapa mkoani Tanga, John Mdoe, amewafuturisha waumini wa dini ya Kiislamu.
Mdoe kwa kushirikiana na familia yake, wametoa sadaka hiyo kwa zaidi ya Waislamu 100 nyumbani kwake, Mtaa wa Mdote. Mgeni rasmi alikuwa Shekhe wa Wilaya ya Muheza, Abdallah Seif na ilihudhuriwa pia na Katibu wa BAKWATA Wilaya hiyo, Shabani Nguzo.
Nipashe
Jina la Bwana lihimidiwe
View attachment 2950296