kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,746
asije tu akawa mpiga ramli.
tatizo la hawa wenzetu, akiwa mcha mungu sana huwa na nafasi kubwa ya kufuga majini au kuwa mganga wa kienyeji.
wakristo wao... akiwa mcha mungu sana kwa maana ya ulokole wa kupitiliza, anakuwa mjinga mjinga... hawana tofauti na mazombi.
tatizo la hawa wenzetu, akiwa mcha mungu sana huwa na nafasi kubwa ya kufuga majini au kuwa mganga wa kienyeji.
wakristo wao... akiwa mcha mungu sana kwa maana ya ulokole wa kupitiliza, anakuwa mjinga mjinga... hawana tofauti na mazombi.