Mtasema aisee hakuna takataka hapo middle east ya kumsumbua US au israel kwa sasa haipo. Labda wawe hawajaaamua. Sasa now wameamua kama mbwai iwe mbwai baridaBora hao Hizbollah tena Houthi Israel HAWAWEZI KABBISSA.
USA mwenyewe kawashindwa.
*Red sea USA ameweza kuwazuia Houthi kuteka meli!??Mtasema aisee hakuna takataka hapo middle east ya kumsumbua US au israel kwa sasa haipo. Labda wawe hawajaaamua. Sasa now wameamua kama mbwai iwe mbwai barida
Hawajaamua na muda hauja fika sibiria maslah yao yakizuiliwa utaelewa kuwa wapoje..?*Red sea USA ameweza kuwazuia Houthi kuteka meli!??
Nijibu hilo kwanza kesha mengine yatafuata.
Ukiona IDF wanaingia sehemu ujue tayari walishafanya Tathimini .Hezbollar naona ndiyo kitu walikuwa wanatafuta, IDF aingie kwa miguu Lebanon, wawashikishe adabu kama ule mwaka. Na Gaza wapumue kidogo.
Wahouthi ni Mateja ni jamii ambayo haitakuwepo miaka 10 ijayo, fatiltia kama Iran inaruhusu matumizi ya Miraa kama Yemen*Red sea USA ameweza kuwazuia Houthi kuteka meli!??
Nijibu hilo kwanza kesha mengine yatafuata.
Usiongee kama umelewa pombe ya mnazi.Hawajaamua na muda hauja fika sibiria maslah yao yakizuiliwa utaelewa kuwa wapoje..?
Hilo suala la Houthi kutumia miraa Iran wao haliwatatizi linalowahusu na kuwashughulisha ni Houthi kuwa na muunganiko nao.Wahouthi ni Mateja ni jamii ambayo haitakuwepo miaka 10 ijayo, fatiltia kama Iran inaruhusu matumizi ya Miraa kama Yemen
wakianza kupigwaSubiri uone kinachotokea! IDF sio Houth au Hamas bro. Lile ni elite Army sio kundi la panzi kama hayo makundi mengine
Kutii masharti ama kuzungumza kuhusu mapatano!??
View: https://x.com/Osint613/status/1840339628601077981
Serikali ya Lebanon haina shida na Israel kabisa na iko tayari kutii masharti
Maislamu hua majinga sana kwamba Hezbollah walikua wanataka viongozi wao wote wauliwe ili Israel waingie Lebanon ?! Shame to this bitch silly brainHezbollar naona ndiyo kitu walikuwa wanatafuta, IDF aingie kwa miguu Lebanon, wawashikishe adabu kama ule mwaka. Na Gaza wapumue kidogo.
endelea kujifatiji tu. Maana muda ukifika hutakaa uamini. Hivi mnatumia akili zipi kuwazua haya mambo. Eti US atishiwe na kagenge ka kigaidi. Ni maslahi yake tu hayajaguswa directUsiongee kama umelewa pombe ya mnazi.
Unajua bandari ya Eilat imeathirika kiasi gani kwa mashambulizi ya Houthi red sea!?
Unajua shipping cost zilipanda kiasi gani ulimwenguni!??
We jamaa hunaga hoja kabisa.
Meli wanateka hata wasomali acha pombe*Red sea USA ameweza kuwazuia Houthi kuteka meli!??
Nijibu hilo kwanza kesha mengine yatafuata.
Makosa ni wakati wa kwenda tu.Hezbollar naona ndiyo kitu walikuwa wanatafuta, IDF aingie kwa miguu Lebanon, wawashikishe adabu kama ule mwaka. Na Gaza wapumue kidogo.
Nina wasi wasi na hili pia, inawezekana wana intel za kutosha na mikakati ya hatari.Ukiona IDF wanaingia sehemu ujue tayari walishafanya Tathimini .