Mzigo wa wazazi kulea mabinti na watoto wa binti zao

Duh, wanne wote wamezalia nyumbani?
Dada wa Kwanzaa anawatoto wanne ,,wa pili wapo watoto wawili wa Tatu 3,,wa nne Ivo Ivo nilisha wahi wafukiza wamerudi tena wazazi wapo kimya so naona ntagombana na ndugu Kuna mdau kasema nihame ,,japo siishi nao Mimi Nina kwangu
 
Dada wa Kwanzaa anawatoto wanne ,,wa pili wapo watoto wawili wa Tatu 3,,wa nne Ivo Ivo nilisha wahi wafukiza wamerudi tena wazazi wapo kimya so naona ntagombana na ndugu Kuna mdau kasema nihame ,,japo siishi nao Mimi Nina kwangu

Yaani wazee wako wanaelea wajukuu 12? Pheeew! Hilo ni balaa kubwa asee, sina la kuongeza hapo.
 
Ni muhimu zaidi pia kuzuia makosa yasiendelee kufanyika, inasikitisha sana watoto kuzaa na kulea watoto wenzao. Hili ni jambo linalozidi kuongeza utegemezi na umaskini mkubwa katika nchi.
😟😟Unakuta vitoto kwa bibi wala hazina matunzo mazuri zaidi ya kula tu ...Shule haviendi na mavazi ndo tafarani kabisa
 
Aisee hii isikie kwa watu tu isikukute inauma sana basi tu ni wazazi hawana jinsi ila inauma na inaleta fedheha mnoo. Ifikie kipindi mabinti jamani wajielewe, muwapunguzie wazazi hii kitu, usomeshwe, utunzwe bado ulete mimba nyumbani aisee! 😡 !
 
Tema Mate Chini Mkuu.
 
Tatizo sio mtoto mmoja tuseme bahati mbaya.
Unakuta Mdada ana watoto wawili mpk watatu hapo kwao..
Familia Iko kimya
 
Kwa binti asiyejielewa lazima hili limkute au lisipo mkuta basi kachomoa mimba
 
Alafu maisha jinsi yalivyo ya ajabu,hao mabinti wakiwa ndani ya ndoa kushika mimba inakuwa kasheshe ila hawa ambao hawajaolewa hawa basi inakuwa ni shida balaa ukigusa tu basi walete.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…