Dada wa Kwanzaa anawatoto wanne ,,wa pili wapo watoto wawili wa Tatu 3,,wa nne Ivo Ivo nilisha wahi wafukiza wamerudi tena wazazi wapo kimya so naona ntagombana na ndugu Kuna mdau kasema nihame ,,japo siishi nao Mimi Nina kwanguDuh, wanne wote wamezalia nyumbani?
Dada wa Kwanzaa anawatoto wanne ,,wa pili wapo watoto wawili wa Tatu 3,,wa nne Ivo Ivo nilisha wahi wafukiza wamerudi tena wazazi wapo kimya so naona ntagombana na ndugu Kuna mdau kasema nihame ,,japo siishi nao Mimi Nina kwangu
😟😟Unakuta vitoto kwa bibi wala hazina matunzo mazuri zaidi ya kula tu ...Shule haviendi na mavazi ndo tafarani kabisaNi muhimu zaidi pia kuzuia makosa yasiendelee kufanyika, inasikitisha sana watoto kuzaa na kulea watoto wenzao. Hili ni jambo linalozidi kuongeza utegemezi na umaskini mkubwa katika nchi.
Ni zaidi ya hatariYaani wazee wako wanaelea wajukuu 12? Pheeew! Hilo ni balaa kubwa asee, sina la kuongeza hapo.
Haiwezi, Serikali haitoi huduma inauza hudumaSerikali itaelemewa katika kutoa huduma
Ushauri wa kipumbavuMi nadhan tukubali mapema watoto wa kike kuwa na boyfriend mmoja kama wazungu
Mtoto wa kike akienda hata sokon unapata mawazo
Walienda kufanya nini?Juzi wamekutana pale Afrikana kwa hisani ya EFM, wale wamama wote mule hawajaolewa.
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Yeah tunakula afu tunakaacha, tunachukua chuma piruMabint waruhusiwe kuwa na boyfriend tatizo vijana wa kiume uwiii Ndio itakuwa umemkabidhi chakula
Wanamfanyia nani hiyo kitchen party? Kuna mwenzao anakuwa anaolewa?
Kwa hiyo solution nin?
Tema Mate Chini Mkuu.Binti yangu hawezi kuzalia nyumbani wakati baba yake nipo! Hiyo haiwezekani! Na yeye anajua hilo. Nawaombeni wazee wenzangu kataeni ujinga huo wa mabinti kuzalia nyumbani, ni aibu! Wewe baba ambaye binti Yako anazalia nyumbani jitathimini, unapaswa kuwa mkali
Kheeeeeeh makubwaaa duuuh.Si mpaka awe na hiyo akili...Kuna binti kazaa watoto nane nyumbani..na wote 80% analea Mama ake mzazi.
Hahahahaha,Mama yake Obama nae alikuwa kiruka njia,maana nae alikuwa na wanaume 3-4 tofauti.Ila uzuri wake yeye alikuwa na kipato.
Alafu maisha jinsi yalivyo ya ajabu,hao mabinti wakiwa ndani ya ndoa kushika mimba inakuwa kasheshe ila hawa ambao hawajaolewa hawa basi inakuwa ni shida balaa ukigusa tu basi walete.Nimehamasika kuanzisha Uzi huu baada ya kusoma Uzi wa mdau analalamika dada zake wote wamezalia nyumbani.
Bila shaka atakuwa na uchungu juu ya Jambo hili na ndivyo ilivyo kwa wazazi wengi wanaolea binti zao na mwisho kupewa majukumu mengine ya kulea wajukuu.
Hili ni tatizo kubwa kwasasa wanawake wanapaswa kujitambua na kujua nyakati zimebadilika na suala la malezi ni jukumu zito. Msichana usipo jitambua ni mzigo kwa wazazi wako.
Naandika haya nikiwa Kama mzazi wakiume. Ninyi mabinti ninani aliyewaloga? Hata hivyo serikali inalojukumu la kuanzisha kampeni za uzazi wa mpango kunusuru mabinti na uchumi wao na wazazi wao