Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,155
- 34,303
Goodnight too ChaliiSorry for being nosy. Have a good night.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Goodnight too ChaliiSorry for being nosy. Have a good night.
[emoji846][emoji846][emoji846][emoji846] naomba mrejeshoNimekuwa mnywaji nisiye na kiasi, hivyo naona pombe siyo salama tena kwangu, hivyo kuanzia leo Jumatano tarehe 25 August 21 nimeamua kuacha pombe bye bye Safari lager
Mi nimeskia chanzo Cha wewe kuacha pombe Ni ulivunjiwa yai huko nyuma ile siku ulipofretiNimekuwa mnywaji nisiye na kiasi, hivyo naona pombe siyo salama tena kwangu, hivyo kuanzia leo Jumatano tarehe 25 August 21 nimeamua kuacha pombe bye bye Safari lager
Huo ndy mfano gani sasa mkuu??[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mimi nashukuru niliacha punyeto mwaka 1992 pindi tu nilipopata my first bornNi sawa na punyeto ukimaliza kupiga unajisemea hii ndo yamwisho sipigi tena..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kweli hata me nikiamua zangu nijipumzikie nisinywe nakaa kwa mda sinywi na sitamani ngoja sasa uanze kuwatangazia wananzengo hata mwezi hauishi koo linawasha
Ila beer tamu jamani
Nasambaza Ciroc vodka ukitaka nishtue kwenye pm, email, S.L.P mzigo unafikia hadi mlangoni 🧔🏼♂️🧔🏼♂️Nikiachaga kimya kimya huwa nadumu hata miezi miwili[emoji854]
sababu nyingi sana
kurudi home asubuhi
matumizi makubwa ya pesa
safari ni matapu tapu kuwa na adabu
Nimeyapiga chini mapombe daah[emoji481][emoji481]Nasambaza Ciroc vodka ukitaka nishtue kwenye pm, email, S.L.P mzigo unafikia hadi mlangoni [emoji3187][emoji3603][emoji3187][emoji3603]
Hata mzee yusuph alisema anaacha taarab na kumrudia Allah ila baaye Sheitwani alimzidi nguvuNimekuwa mnywaji nisiye na kiasi, hivyo naona pombe siyo salama tena kwangu, hivyo kuanzia leo Jumatano tarehe 25 August 21 nimeamua kuacha pombe bye bye Safari lager
Basi karibu tuanze kupica cappucino na machiato na americano na juice tamu tamu 😎😎Nimeyapiga chini mapombe daah[emoji481][emoji481]
Nimeyapiga chini mapombe daah[emoji481][emoji481]
Kuna wenzako wanasemaWANYWA BEER MNA 💰 ZA KUMWAGA KULIKO WANAYWA SODA, Je hayo maneno ni ya kweli mkuu?sababu nyingi sana
matumizi makubwa ya pesa
Kila kitu kinawezekana.Huwezi acha amini hivoo
Teh tehPole kwa Hangover[emoji23][emoji23][emoji23]
TanteeBasi karibu tuanze kupica cappucino na machiato na americano na juice tamu tamu [emoji41][emoji41]