Naamini kwa dhati kabisa nguvu ya Makonda haitokani na kuwa kwake katibu mwenezi wa CCM, lazima kuna chanzo kingine kinampa kujiamini kiasi hiki

Naamini kwa dhati kabisa nguvu ya Makonda haitokani na kuwa kwake katibu mwenezi wa CCM, lazima kuna chanzo kingine kinampa kujiamini kiasi hiki

Leo hii katibu mwenyezi apewe bajeti, misafara ya magari, kuliko inavyokuwa kwa makamu mwenyekiti wa CCM au katibu mkuu wa CCM, kwa sababu gani? Kwamba katiba ya CCM imebadilishwa kisiri na hawa wote wameambiwa kuanzia sasa bosi wenu ni katibu mwenezi wa CCM? Pamoja na mawaziri? Wakuu wa mikoa? Mwanasheria Mkuu? Wenyeviti wa CCM wa mikoa?
Naona ha KM wake amepigwa ganzi kali
 
hakuna kitu kiitwacho "nguvu za kilokole". Kuna nguvu za Mungu Aliye hai, Yehova.

KWA BWANA YESU KILA GOTI LITAPIGWA!
Wafilipi 2 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
⁹ Kwa hiyo tena Mungu alimwadhimisha mno, akamkirimia Jina lile lipitalo kila jina;
¹⁰ ili kwa jina la Yesu kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya nchi;
¹¹ na kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO NI Bwana, kwa utukufu wa Mungu Baba.
 
Kwa wewe unayetegemea watu ill maisha yako yaende kulamba makalio sawa! Makonda anamtegemea Mungu!
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Makonda katumwa na Samia ili kulaghai watu waone kuwa kumbe raia ni kiongozi mzuri sana ila tu watu aliowachagua ndiyo wabaya. Kwa kifupi anajaribu kutenganisha failures za serikali na rais ili ionekane kwamba tuna rais mzuri sana ila wateule wake siyo wazuri. Anatumia zile technique za Magufuli baada ya kuona kuwa watu walizipenda sana. Tatizo lililojitokeza ni kwamba Samia kama rais, hana uwezo na stamina ya kuzunguka huko na huko huku akifanya ghilba za aina hiyo. Akaona njia rahisi ni kumchukuwa mjinga mjinga fulani ili amtumie kama ''mbwa''. Nakuhakikishia hiyo kazi angepewa mtu mwenye akili na busara zake, asingekubali kufanya maigizo ya kijinga namna hii. Kwanza anatengeza uadui na watu wengi sana ambao hajui kesho wanaweza kuja kuwa na vyeo na uwezo wa kumshughulikia. Samia ni binadamu, wiki ijayo anaweza asiwepo, Makonda ataweka wapi uso wake? Si watagawana nyama wamle?
Hata kabla ya kuupata huo ukatibu mwenezi watu walisema mengi sana mabaya kuhusu huyu jamaa !
Lakini wapiii !
Yote yaliyosemwa mabaya yangemtokea hayakutokea, badala yake ameula !
Hii inaonyesha huyu jamaa nyota imewaka haizuiliki tena 😅
Ngoja tuone !
 
Hiyo Nguvu Imeonekana Wazi Wazi Ila Ndiyo Itakayokipasua Chama Vipande Viwili
Kwasasa Wote Wapo Kimya Ila Wanangoja 2025 Ndiyo Watatoa Kucha Zot
Kugombea Fito Za Nafasi Ya Rais Wa JMT, Subirini Muda Utaongea Yote
Mnayoyajua /Msiyoyajua Yatawekwa Hadharani Na Mtashangaa Sana
Ngoja tusubiri tuone !
Lakini jamaa amewashika pabaya. !
Na hawana namna ya kufanya !
Mwenyekiti ni Alfa na Omega kwenye Chama nani ana ubavu wa kumtingisha Mwenyekiti ambaye pia ndiye Mkuu wa Nchi na Amiri Jeshi Mkuu ??!
Na ndiye amempa kazi Makonda !!
Hii ni ngoma nzito kuliko inavyodhaniwa !!
Ngoja tuone 🙏🙏🙏😅
 
Niite jina lolote, lakini mimi ni mojawapo ya watu ambao huwezi hata kabisa kunishawishi kwamba hii nguvu na mbwembwe ambazo Makonda amekuwa akizionyesha zinatokana na kuwa kwake na cheo cha katibu mwenezi wa CCM. Tusidanganyane hapa.

Makonda sio katibu mwenezi wa kwanza CCM, na wamekuwapo wengine huko nyuma, lakini ni mara ya kwanza tunapata katibu mwenezi wa CCM ambae anaonyesha kujiamini kupita mamlaka yanayostahili ya katibu mwenezi wa CCM.

Leo hii katibu mwenezi awapigie simu mawaziri, amkebehi mwanasheria mkuu wa serikali, awaamrishe wakuu wa mikoa, ma-RPC, eti kwa sababu yeye ndie msemaji mkuu wa chama, hilo tu? Haiwezekani.

Leo hii katibu mwenyezi apewe bajeti, misafara ya magari, kuliko inavyokuwa kwa makamu mwenyekiti wa CCM au katibu mkuu wa CCM, kwa sababu gani? Kwamba katiba ya CCM imebadilishwa kisiri na hawa wote wameambiwa kuanzia sasa bosi wenu ni katibu mwenezi wa CCM? Pamoja na mawaziri? Wakuu wa mikoa? Mwanasheria Mkuu? Wenyeviti wa CCM wa mikoa?

Sote tunajua msemaji mkuu wa chama chochote anasema yale chama kilichoamua katika vikao vyake rasmi. Kuwa msemaji wa chama haina maana wewe ndio unakuwa unakisemea chama, hata siku moja. Kuwa katibu mwenyezi sio katika mpangilio wa vyeo vya chama, ni nafasi tu. Huwezi hata kusema katibu mwenezi wa CCM ni mkubwa kuliko mwenyekiti wa CCM wa mkoa. Lakini sio hivyo kwa Makonda. Yeye amejipa madaraka ambayo nadhani yanazidi hata ya kuwa makamu mwenyekiti wa CCM, au katibu mkuu wa CCM. Kujiamini huko kunatoka wapi? Mamlaka haya yanatoka wapi? Kwamba siku zote hatukujua kuwa katibu mwenezi wa chama ni mtu mkubwa namna hii? Ni kweli?

Nyie watu wa CCM, nyie mawaziri, nyie wakuu wa mikoa, tuambieni ukweli. Kinachowafanya muufyate Makonda akiunguruma ni nini hasa, Ukatibu mwenezi wa CCM? Na kwa nini sasa wenye akili tukiwauliza mbona mambo yako hivi, mnaishia kutabasamu tu bila kusema lolote? Kuna kitu gani msichotuambia?

Na niwaambie wazi nyie watu wa CCM. Kama nguvu ya Makonda sio ya kikatiba ndani ya CCM, kama kuna chanzo kingine kisicho rasmi kinampa nguvu na kujiamini kiasi hiki, basi anguko la CCM liko karibu sana!
Hiyo ni tabia ya wasukuma,anaweza kujipa mamlaka zaidi hata ya bosi wake
 
Hata kabla ya kuupata huo ukatibu mwenezi watu walisema mengi sana mabaya kuhusu huyu jamaa !
Lakini wapiii !
Yote yaliyosemwa mabaya yangemtokea hayakutokea, badala yake ameula !
Hii inaonyesha huyu jamaa nyota imewaka haizuiliki tena 😅
Ngoja tuone !
Pengine tu hujui details. Mara baada ya kufariki kwa Magufuli na Samia kuapishwa, watu tunaojua habari za upande wa pili tulikuwa tunajua kuwa bado 40 yake haijafika. Waliokuwa wanasema siku zake zimefika ni watu wa mtaani wasiojua mambo mengi. Kwa taarifa yako ni kuwa hata baada ya kifo cha Magufuli, Makonda alikuwa analindwa na hii ni kwa maagizo ya Samia. Tulijua kabisa ni jambo la muda tu, atateuliwa tena. Ila Samia kama hayupo basi itakula kwake.
 
Ngoja tusubiri tuone !
Lakini jamaa amewashika pabaya. !
Na hawana namna ya kufanya !
Mwenyekiti ni Alfa na Omega kwenye Chama nani ana ubavu wa kumtingisha Mwenyekiti ambaye pia ndiye Mkuu wa Nchi na Amiri Jeshi Mkuu ??!
Na ndiye amempa kazi Makonda !!
Hii ni ngoma nzito kuliko inavyodhaniwa !!
Ngoja tuone 🙏🙏🙏😅
Mkuu
Usiwe Msahaurifu Haraka Hivyo Umesahau Wakati Wa JK Chama Kilipasuka Na Kikawa Kinamfia Hadharani Mpaka Fitna, Zilipotumika Ndiyo Nafuu Ikapatikana
Tena Mwenyewe Alikiri Wazi Wazi
 
Ngoja tusubiri tuone !
Lakini jamaa amewashika pabaya. !
Na hawana namna ya kufanya !
Mwenyekiti ni Alfa na Omega kwenye Chama nani ana ubavu wa kumtingisha Mwenyekiti ambaye pia ndiye Mkuu wa Nchi na Amiri Jeshi Mkuu ??!
Na ndiye amempa kazi Makonda !!
Hii ni ngoma nzito kuliko inavyodhaniwa !!
Ngoja tuone 🙏🙏🙏😅
As long as Samia is there, Makonda is safe. Lakini..... ina maana hujajifunza tu kuwa siasa, siku moja inaweza kuleta mabadiliko makubwa? Yuko wapi yule mpwa wa Magufuli aliyekuwa anajitapa utadhani yeye ndiye mwenye faili la maisha ya watanzania?
 
Ataweza kuwafikia na kutatua matatizo ya masikini wangapi? Nchi ina watu >60 million. Halafu, atatatua matatizo kwa kutumia watendaji hao hao “walioshindwa kazi” kwenye mfumo rasmi chini ya uongozi wa CCM? Halafu pia kwa gharama gani? Misafara yote hiyo?

Au ni kuwapa faraja ya kisaikolojia tu kama ile wanayotoa waganga wa kienyeji, mitume na manabii baada ya mifumo rasmi kushindwa kuwaponya/kuwafanikisha kama ilivyotarajiwa?

Kwa kweli huwa nastaajabu sana kuona kumbe kweli kuna watu wengi nchini wanaoamini kuwa kiongozi bora ni yule ambaye muda mwingi anazunguka kusikiliza matatizo ya mtu mmoja mmoja kwenye mikutano ya hadhara kisha kuagiza kupitia media watendaji husika wayatatue! Ukiondoa shere iliyomo katika hilo tukio-kituko, sijui Watanzania wangapi wanajiuliza gharama za hiyo misafara, tija yake, na hasara inayopatikana kwenye uchumi hasa ukifikiria suala la opportunity cost. Yaani yote hiyo ni ili kuwazuga na kuwapa faraja “wajinga”! Very sad!

Yaani kama vile hatukwenda shule wala kuelimika? Hatujui kabisa serikali ni kitu gani na inatakiwa kufanya kazi vipi? Kweli tunahitaji hizi exorbitant charades za kina Makonda?
Hayo Mambo mengine ni Ujinga wa Watanzania wenyewe....!

Lakini haiondoi ukweli kuwa Mikutano ya Makonda kuna watu inawasaidia, na hiyo ndo Muhimu......!

Mkuu mimi sio Mpiga Debe wa CCM kama wengi wao hapa, Binafsi siwapendi CCM mpaka naingia Kaburini, ila kama CCM ikiendelea kuongoza, hakuna siku hata moja, System ya Uongozi chni ya CCM itakuja kutatua matatizo ya Watu wa hari ya chini kwa kusubiri Viongozi wa Umma, kila siku zinavyokwenda ndo matatizo yanazidi....!

Ni bora akitokea Mtu kama Makonda akafanya anachokifanya angalau kuna watu wanasaidika, japo anapigwa Vita mpaka na Viongozi wa CCM...!
 
Niite jina lolote, lakini mimi ni mojawapo ya watu ambao huwezi hata kabisa kunishawishi kwamba hii nguvu na mbwembwe ambazo Makonda amekuwa akizionyesha zinatokana na kuwa kwake na cheo cha katibu mwenezi wa CCM. Tusidanganyane hapa.

Makonda sio katibu mwenezi wa kwanza CCM, na wamekuwapo wengine huko nyuma, lakini ni mara ya kwanza tunapata katibu mwenezi wa CCM ambae anaonyesha kujiamini kupita mamlaka yanayostahili ya katibu mwenezi wa CCM.

Leo hii katibu mwenezi awapigie simu mawaziri, amkebehi mwanasheria mkuu wa serikali, awaamrishe wakuu wa mikoa, ma-RPC, eti kwa sababu yeye ndie msemaji mkuu wa chama, hilo tu? Haiwezekani.

Leo hii katibu mwenyezi apewe bajeti, misafara ya magari, kuliko inavyokuwa kwa makamu mwenyekiti wa CCM au katibu mkuu wa CCM, kwa sababu gani? Kwamba katiba ya CCM imebadilishwa kisiri na hawa wote wameambiwa kuanzia sasa bosi wenu ni katibu mwenezi wa CCM? Pamoja na mawaziri? Wakuu wa mikoa? Mwanasheria Mkuu? Wenyeviti wa CCM wa mikoa?

Sote tunajua msemaji mkuu wa chama chochote anasema yale chama kilichoamua katika vikao vyake rasmi. Kuwa msemaji wa chama haina maana wewe ndio unakuwa unakisemea chama, hata siku moja. Kuwa katibu mwenyezi sio katika mpangilio wa vyeo vya chama, ni nafasi tu. Huwezi hata kusema katibu mwenezi wa CCM ni mkubwa kuliko mwenyekiti wa CCM wa mkoa. Lakini sio hivyo kwa Makonda. Yeye amejipa madaraka ambayo nadhani yanazidi hata ya kuwa makamu mwenyekiti wa CCM, au katibu mkuu wa CCM. Kujiamini huko kunatoka wapi? Mamlaka haya yanatoka wapi? Kwamba siku zote hatukujua kuwa katibu mwenezi wa chama ni mtu mkubwa namna hii? Ni kweli?

Nyie watu wa CCM, nyie mawaziri, nyie wakuu wa mikoa, tuambieni ukweli. Kinachowafanya muufyate Makonda akiunguruma ni nini hasa, Ukatibu mwenezi wa CCM? Na kwa nini sasa wenye akili tukiwauliza mbona mambo yako hivi, mnaishia kutabasamu tu bila kusema lolote? Kuna kitu gani msichotuambia?

Na niwaambie wazi nyie watu wa CCM. Kama nguvu ya Makonda sio ya kikatiba ndani ya CCM, kama kuna chanzo kingine kisicho rasmi kinampa nguvu na kujiamini kiasi hiki, basi anguko la CCM liko karibu sana!
Mm nadhani CCM Kama wanajiamini au wana viongozi wanaojua taratibu na kanuni au katiba ya CCM waje hapa watuambie kama Paulo Makonda anakiuka katiba ya CCM au yuko sahihi,na ikiwezekana watoe tamko hadharani kukemea ukiukwaji mkubwa na utovu wa nidhamu dhidi ya katiba ya CCM ,Na kama hawatafanya hivyo basi tunaolalamika tujue kwamba CCM ilisha badilisha katiba yake zamani na tunaolalamika tumeachwa na wakati na tuko nyuma sana hivyo tubadilike na kutambua kwamba kinacho endelea kufanywa na MWENEZI Paulo Makonda ni sahihi na hakina makosa yoyote.
 
Mkuu
Usiwe Msahaurifu Haraka Hivyo Umesahau Wakati Wa JK Chama Kilipasuka Na Kikawa Kinamfia Hadharani Mpaka Fitna, Zilipotumika Ndiyo Nafuu Ikapatikana
Tena Mwenyewe Alikiri Wazi Wazi
Alipokuwepo Mwalimu kama Mstaafu na alipokuwepo Mkapa baadaye kama mstaafu pia kulikuwepo na huo uzito kwamba wanaweza wakaingilia mchakato wowote ndani ya Chama na watu wakawasikiliza !
Lakini kwa sasa Naona kama mambo yamebadilika sana !!
Lakini huenda mimi sina ufahamu mzuri wa kinachoendelea huko Chamani !
Ngoja Tusubiri tuone. 🙏🙏🙏
 
Mm nadhani CCM Kama wanajiamini au wana viongozi wanaojua taratibu na kanuni au katiba ya CCM waje hapa watuambie kama Paulo Makonda anakiuka katiba ya CCM au yuko sahihi,na ikiwezekana watoe tamko hadharani kukemea ukiukwaji mkubwa na utovu wa nidhamu dhidi ya katiba ya CCM ,Na kama hawatafanya hivyo basi tunaolalamika tujue kwamba CCM ilisha badilisha katiba yake zamani na tunaolalamika tumeachwa na wakati na tuko nyuma sana hivyo tubadilike na kutambua kwamba kinacho endelea kufanywa na MWENEZI Paulo Makonda ni sahihi na hakina makosa yoyote.
Hii ni point kubwa sana !!
 
Ataweza kuwafikia na kutatua matatizo ya masikini wangapi? Nchi ina watu >60 million. Halafu, atatatua matatizo kwa kutumia watendaji hao hao “walioshindwa kazi” kwenye mfumo rasmi chini ya uongozi wa CCM? Halafu pia kwa gharama gani? Misafara yote hiyo?

Au ni kuwapa faraja ya kisaikolojia tu kama ile wanayotoa waganga wa kienyeji, mitume na manabii baada ya mifumo rasmi kushindwa kuwaponya/kuwafanikisha kama ilivyotarajiwa?

Kwa kweli huwa nastaajabu sana kuona kumbe kweli kuna watu wengi nchini wanaoamini kuwa kiongozi bora ni yule ambaye muda mwingi anazunguka kusikiliza matatizo ya mtu mmoja mmoja kwenye mikutano ya hadhara kisha kuagiza kupitia media watendaji husika wayatatue! Ukiondoa shere iliyomo katika hilo tukio-kituko, sijui Watanzania wangapi wanajiuliza gharama za hiyo misafara, tija yake, na hasara inayopatikana kwenye uchumi hasa ukifikiria suala la opportunity cost. Yaani yote hiyo ni ili kuwazuga na kuwapa faraja “wajinga”! Very sad!

Yaani kama vile hatukwenda shule wala kuelimika? Hatujui kabisa serikali ni kitu gani na inatakiwa kufanya kazi vipi? Kweli tunahitaji hizi exorbitant charades za kina Makonda?
Wachache tutakuelewa
 
Niite jina lolote, lakini mimi ni mojawapo ya watu ambao huwezi hata kabisa kunishawishi kwamba hii nguvu na mbwembwe ambazo Makonda amekuwa akizionyesha zinatokana na kuwa kwake na cheo cha katibu mwenezi wa CCM. Tusidanganyane hapa.

Makonda sio katibu mwenezi wa kwanza CCM, na wamekuwapo wengine huko nyuma, lakini ni mara ya kwanza tunapata katibu mwenezi wa CCM ambae anaonyesha kujiamini kupita mamlaka yanayostahili ya katibu mwenezi wa CCM.

Leo hii katibu mwenezi awapigie simu mawaziri, amkebehi mwanasheria mkuu wa serikali, awaamrishe wakuu wa mikoa, ma-RPC, eti kwa sababu yeye ndie msemaji mkuu wa chama, hilo tu? Haiwezekani.

Leo hii katibu mwenyezi apewe bajeti, misafara ya magari, kuliko inavyokuwa kwa makamu mwenyekiti wa CCM au katibu mkuu wa CCM, kwa sababu gani? Kwamba katiba ya CCM imebadilishwa kisiri na hawa wote wameambiwa kuanzia sasa bosi wenu ni katibu mwenezi wa CCM? Pamoja na mawaziri? Wakuu wa mikoa? Mwanasheria Mkuu? Wenyeviti wa CCM wa mikoa?

Sote tunajua msemaji mkuu wa chama chochote anasema yale chama kilichoamua katika vikao vyake rasmi. Kuwa msemaji wa chama haina maana wewe ndio unakuwa unakisemea chama, hata siku moja. Kuwa katibu mwenyezi sio katika mpangilio wa vyeo vya chama, ni nafasi tu. Huwezi hata kusema katibu mwenezi wa CCM ni mkubwa kuliko mwenyekiti wa CCM wa mkoa. Lakini sio hivyo kwa Makonda. Yeye amejipa madaraka ambayo nadhani yanazidi hata ya kuwa makamu mwenyekiti wa CCM, au katibu mkuu wa CCM. Kujiamini huko kunatoka wapi? Mamlaka haya yanatoka wapi? Kwamba siku zote hatukujua kuwa katibu mwenezi wa chama ni mtu mkubwa namna hii? Ni kweli?

Nyie watu wa CCM, nyie mawaziri, nyie wakuu wa mikoa, tuambieni ukweli. Kinachowafanya muufyate Makonda akiunguruma ni nini hasa, Ukatibu mwenezi wa CCM? Na kwa nini sasa wenye akili tukiwauliza mbona mambo yako hivi, mnaishia kutabasamu tu bila kusema lolote? Kuna kitu gani msichotuambia?

Na niwaambie wazi nyie watu wa CCM. Kama nguvu ya Makonda sio ya kikatiba ndani ya CCM, kama kuna chanzo kingine kisicho rasmi kinampa nguvu na kujiamini kiasi hiki, basi anguko la CCM liko karibu sana!
Unateseka ukiwa wapi mamaeee
 
Inawezekana. Mara nyingine naamini walokole wanatumia nguvu fulani zilizojificha kufanya mambo yao! Lakini chama chenye mchanganyiko wa dini mbalimbali, haikiwezi kudumu kwa kuendeshwa na nguvu za kilokole!
Sikweli ,dogo mama akiwa makamo alijichanga vizuri


Leo waziri mkuu wa ufaransa sibwege kumweka mume wake wazamani kwenye nafasi ya minister of foreigner

Dogo enzi za makamo mama ,inawezekana alikuwa mkarimu Kwa mama sana ukizingatia mkuu wa mkoa
 
Kama Samia alitaka mtu wa kusukuma utendaji wa kiserikali, angemteua katika cheo cha kiserikali kinachosimamia mawaziri, wakuu wa mikoa nk, kama Biteko. Hili la Makonda kujipa nguvu na kujiamini nakuhakikishia halikupangwa, huenda hata Samia anashangaa lakini hana la kusema
Tunaelekea huko
 
Back
Top Bottom