Searching for the truth
JF-Expert Member
- Mar 22, 2022
- 903
- 1,851
- Thread starter
-
- #81
Kama huna hoja tulia.NYIE WARUSI WA BUZA MNAWAFUATISHA WARUSI WENZENU WASHENZI WA URUSI KUTOKUAMINI UWEPO WA MUNGU
Real kabisaHivi Ni visingizio vya dini... Kama kitu hakieleweki hakieleweki tu..hamna Cha kusema huwezi elewa, mbona vingine vinaeleweka. Walioandika hivyo vitabu wameandika hisia zao ndo maana kwa elimu na Sayansi ya saa hivi unaona mapungufu.
Inaonekana unamuamini Mungu wa Spinoza, ambaye aliumba ila hajishughulishi na kilichomo ndani ya ulimwengu.Mungu kaanzisha ulimwengu... Kaweka kanuni zake na mazingira yakajiendeleza. Nimezaliwa kwa wazazi. Ila hao majini Kama unayo Ni wewe tu na wenzako. Mi Sina jini, hamna ushahidi kuonyesha Kuna majini so sijui kwa Nini unaamini. Ni sawa na kuamini ma vampire, ma zombie, ma dragon, zote Ni fikra za binadamu.
Bro mbona unachanganya habari nani aliyekuambia wewe una Majini?Mungu kaanzisha ulimwengu... Kaweka kanuni zake na mazingira yakajiendeleza. Nimezaliwa kwa wazazi. Ila hao majini Kama unayo Ni wewe tu na wenzako. Mi Sina jini, hamna ushahidi kuonyesha Kuna majini so sijui kwa Nini unaamini. Ni sawa na kuamini ma vampire, ma zombie, ma dragon, zote Ni fikra za binadamu.
Mkuu kuna hoja nimepata kwako.Ndo maana nakuambia kwamba zote Ni story. Hukumu ya motoni haipo kwenye agano la kale. Imeanzishwa kwenye agano jipya, kwa Nini. Ili kutishia watu katika kuamini dini ya kikristo. We kwanini aumbe viumbe ambavyo anajua hatima Yao Ni kuungua milele, hizi Ni mbinu tu za kudaka akili za watu ndo maana kila dini duniani Ina mbingu na Moto jiulize kwa Nini.
Unapinga hayo kwa hoja zipiHebu ingia Google uzisearch afu uone zipo ngapi.. hayo mabaki Wanayosema sio ya ukweli na hio nguzo Ni ndefu Kama mnazi haiwezi ikawa mtu. Hizi Ni Sayansi feki za dini. We ingia Wikipedia uone Kama hizo sehemu Ni halisi.. Ni vivutio tu vya utalii bac.
Kwenye kuchagua vitu vya kusoma naungana na wewe, Wakristo wanachagua vitabu vya kujifunza zaidi huku vingine vinavyoonekana kuwa vigumu kufundishika wakivitelekeza.Kitabu Cha ufunuo, wakristo wanakiita mafumbo kwa sababu hawataki kuamini kimeandikwa vitu vya uongo kuhusu nyota kuangushwa angani na mkia wa Dragon, viumbe vya ajabu na hivyo. Ndo maana wakristo wanakikimbia kile kitabu. We Nani kakuambia aliyeandika alisema Ni mafumbo. Basi mi nasema kitabu kizima mafumbo. Wakristo wanachagua wanachoamini na wasichoamini wanaita mafumbo ili watered dini Yao
Ila brother naona we unahitajika kuzingatiwa.Bro, ndo maana nakuambia hizi zote Ni story tu za kujaribu kuelewa dunia. Zimeandikwa na makabila miaka elfu 3 iliyopita ambayo hata haikujua kwamba dunia Ni ndogo kuliko jua. So usitegemee watu Hawa ndo wawe na majibu ya maswali yako wakati hata we saa hivi umewazidi akili wote walioandika hizi story.
Exactly ni yote mizimu, ila ya kwao eti wanaiita mitakatifu.Watakatifu wetu wanawaita mizimu/mashetani wakati huo huo wakaja na mizimu/mashetani yao wakatuambia ni watakatifu wakina yesu,,, mtume Mohamed,,,wakina petro,,paulo,,yakobo nk nk hao wote ni mizimu tu tunayoiomba kwa kuwa ni wafu tuu kama mababu zetu!!
Swali langu kwako.Malaika hajawahi kupinga amri ya Mungu na aliwaumba hivyo wanafanya wanachomrishwa na Mungu
Aliyepinga kumsujudia Adam ni Jini na Majini wamepewa Freewill kama alivyo Kwa binaadam na Kwa sababu binaadam na Majini wamepewa Freewill ndio maana wamewekewa moto na pepo
Quran 15:26
Na tulimuumba mtu kwa udongo unao toa sauti, unao tokana na matope yaliyo tiwa sura.
15:27
Na majini tuliwaumba kabla kwa moto wa upepo umoto.
Na sababu ya Ibilisi kukataa kumsujudia Adam ni majivuni yake tu anasema yeye ni Bora Kwa kuwa yeye ameumbwa Kwa moto
Quran 7:12
Mwenyezi Mungu akasema: Nini kilicho kuzuia kumsujudia nilipo kuamrisha? Akasema: Mimi ni bora kuliko yeye. Umeniumba kwa moto, naye umemuumba kwa udongo
Kuhusu Adam na hawa kula tunda waliikazwa pia ni sababu Wana freewill Yani Wana uwezo wa kufanya chocho hata kile ambacho wamekatazwa na Mungu
Binaadam ameumbwa Kwa udongo ana Nafsi na matamanio
Jini ameumbwa Kwa moto ana Nafsi na matamanio
Malaika wameumbwa Kwa Nuru Nafsi wanayo lakini hawana matamanio
Kusema kweli unaangalia na tabia za mataifa tajwa na wanyama/mafumbo yanayotajwa,Kwenye kuchagua vitu vya kusoma naungana na wewe, Wakristo wanachagua vitabu vya kujifunza zaidi huku vingine vinavyoonekana kuwa vigumu kufundishika wakivitelekeza.
Kitabu cha ufunuo wa yohana bhana, mimi nimefunzwa yale mafumbo nikayaelewa sawa kwa kiasi chake.
Lakini najiulizaga kwanini kitumie mafumbo kitabu kizima, na tafsi zake huwa wanazitoa wapi ? Maana kwenye Biblia hazijatafsiriwa.
Mfano UFUNUO ya yohana mla nilikuwa nafundishwa yule mnyama mwenye vichwa, vinne, sijui pembe kumi n.k.
Kwamba mle kuna Marekani, Roman Empire,Europian Union, Papa sijui ametwajwa ndiyo mpinga kristo.
Wewe haya yote tafsiri hizi umejuaje nawakati mle haijafafanuliwa ?
Sawa mkuu utanipa mrejesho... Tho ishu ya shetan n kwamba viumbe wenye akili malaika na wanadamu tuna utashi(free will) shetan na wazaz wetu wa kwanza waliamua kuasi...Mkuu asante sana, nitaki down load nikisome.
Lakini issue kama shetani alitoka wapi kwangu siyo issue labda kama atakuwa ameelezewa katika muktadha tofauti na Biblia.
Maana katika biblia inamwelezea shetani kuwa miongoni mwa malaika wa Mungu na kama ni miongoni mwa malaika wa Mungu maana yake ni kwamba Mungi ndiye aliyemuumba mana yeye (Mungu) ndiye muumbaji wa vyote kwa mujibu wa biblia.
Kwa hiyo mimi issue siyo shetani kutoka wapi, ila issue ni uasi wake kwa muumba wake ambao huo uasi labe hicho kitabu nitakisoma
Sijaingia deep sana kwenye uislam nijue, ndiyo maana nimekaa kukufatilia ili nijifunze kitu toka uislam, but kuna swali nimekuuliza ebu jaribu kupitiaBro mbona unachanganya habari nani aliyekuambia wewe una Majini?
Majini ni viumbe wa walioumbwa na Mungu kama wewe
Quran 15:26
Na tulimuumba mtu kwa udongo unao toa sauti, unao tokana na matope yaliyo tiwa sura.
15:27
Na majini tuliwaumba kabla kwa moto wa upepo umoto.
Wapo wachamungu wataenda peponi na wapo waovu wataenda Jahannam
Mungu anasema ameweka Jahannam Kwa ajili ya watu waovu na Majini waovu
Shida ni kwamba wewe ni mjinga Yani haujui kitu ila Kwa ujinga wako unajiona unajua Kila kitu
By the way haya ni maandiko ya kitabu Cha Mungu umezaliwa umeyakuta na utakufa utayaacha
Sasa kushindana na kitu kinachoishi milele alafu wewe ni mpita njia tu hapa duniani ni ujinga
Tufanye Binadamu tumweke pembeni maana yeye ana mwili.Kujiuliza swali la Mungu ni mkamilifu? Ni vizuri kuanza na wewe ni nini? Nini ni kinakufanya uwe kamili?
1. Mwili (The body) H.sapiens
2. Akili (Mind) Kipawa cha maamuzi.
3. Roho ( Spirit) Uhai
4. Utashi (The will) Shauku
Mwili ni kibebeo cha hivyo vitatu ambavyo kwa hali ya kawaida vyote havishikiki sio physical it an energy. Kila kimoja kibidamu kina udhaifu ambao bado hubebwa na mwili. Mungu hana mwili wa kibinadamu. Ukamifu wake upo kwenye Roho ambayo imeviongaza vingine vyote. Tuanzie hapo.
Nionyeshe evidence ya hao majini na sio kuleta kitabu Cha story.Bro mbona unachanganya habari nani aliyekuambia wewe una Majini?
Majini ni viumbe wa walioumbwa na Mungu kama wewe
Quran 15:26
Na tulimuumba mtu kwa udongo unao toa sauti, unao tokana na matope yaliyo tiwa sura.
15:27
Na majini tuliwaumba kabla kwa moto wa upepo umoto.
Wapo wachamungu wataenda peponi na wapo waovu wataenda Jahannam
Mungu anasema ameweka Jahannam Kwa ajili ya watu waovu na Majini waovu
Shida ni kwamba wewe ni mjinga Yani haujui kitu ila Kwa ujinga wako unajiona unajua Kila kitu
By the way haya ni maandiko ya kitabu Cha Mungu umezaliwa umeyakuta na utakufa utayaacha
Sasa kushindana na kitu kinachoishi milele alafu wewe ni mpita njia tu hapa duniani ni ujinga
Nieleze roho ni Nini na ikowapi. Maana wanasayansi wanasema hayo yote yapo kwenye ubongo Sasa we unayesema roho nielezee iko wapi.Kujiuliza swali la Mungu ni mkamilifu? Ni vizuri kuanza na wewe ni nini? Nini ni kinakufanya uwe kamili?
1. Mwili (The body) H.sapiens
2. Akili (Mind) Kipawa cha maamuzi.
3. Roho ( Spirit) Uhai
4. Utashi (The will) Shauku
Mwili ni kibebeo cha hivyo vitatu ambavyo kwa hali ya kawaida vyote havishikiki sio physical it an energy. Kila kimoja kibidamu kina udhaifu ambao bado hubebwa na mwili. Mungu hana mwili wa kibinadamu. Ukamifu wake upo kwenye Roho ambayo imeviongaza vingine vyote. Tuanzie hapo.
Hahaha kwa Nini Hilo taifa lisiwe Roman empire, au uingereza kipindi Cha ukoloni ambao walichukua robo tatu ya dunia. Na kingine hivyo vitu unaviita ushafu Ni kwako na mwanzilishi sio marekani ye mwenyewe kavikuta vipo katika historia ya binadamu. Soma historia za empire mbalimbali utaelewa.Kusema kweli unaangalia na tabia za mataifa tajwa na wanyama/mafumbo yanayotajwa,
Papa sio mpinga Kristo ila Yuko ndani ya Circle ya kuandaa A New World Order ya kuongozwa na Mtu mmoja.
Kuna sehemu ile ya Babiloni Mkuu, nikujaribu kuangalia ile napata picha ya Taifa la Marekani pamoja na Ulaya wakiwa ndani ya Babiloni Mkuu, wao ndo wafadhili wa uchafu kama ushoga, usagaji na kubadili jinsia, plastic surgery na pia wanafadhili vita mbalimbali duniani.
Pia kitabu Cha Ufunuo kinaelezea kuanguka kwa Babiloni Mkuu, naona nilichukua pattern mbalimbali naona Taifa la Marekani litaanguka kuwa world super power huko mbeleni kupitia Vita Moja kuu itakayotokea duniani kote huku Urusi ikifanikiwa kuingia kwenye borders za Marekani .
Ufunuo wa Yohana 17:17-18
[17]Maana Mungu ametia mioyoni mwao kufanya shauri lake, na kufanya shauri moja, na kumpa yule mnyama ufalme wao hata maneno ya Mungu yatimizwe.
For God hath put in their hearts to fulfil his will, and to agree, and give their kingdom unto the beast, until the words of God shall be fulfilled.
[18]Na yule mwanamke uliyemwona, ni mji ule mkubwa, wenye ufalme juu ya wafalme wa nchi.
And the woman which thou sawest is that great city, which reigneth over the kings of the earth.
NA ILI MNYAMA AJE INABIDI UNITED STATES OF AMERICA AANGUKE
Nije nikuchukue usiku nikuonyeshe roho zipo wapi???Nieleze roho ni Nini na ikowapi. Maana wanasayansi wanasema hayo yote yapo kwenye ubongo Sasa we unayesema roho nielezee iko wapi.