Naandika nikijua hasa nini kinaendelea. Makonda fanya haya usidhurike

Hapana asife mapema apelekwe mahakamani ili naye aone mateso aliyosababishia wenzake japo hayatakua makubwa Kama Yale...muda huu nadhani anayakumbuka maneno ya chidi benz
AnaweA enda jela na akaishi ki VIP huyu

Acha Raia wadili na kitaa kama yeye alivyodeal nao kitaa
 
Auliwe tu
 
Kwani ungemjibu kwa ID yako ile ile ya Erythrocyte tena kwa hekima bila matusi ndipo asingekuelewa?

Peace and Love, one TZ.
 
Asikubali kurudisha bastola, lazima aache alama kwenye ubongo wa bwege mmoja asije kukamatwa kizembe
 
Asikubali kurudisha bastola, lazima aache alama kwenye ubongo wa bwege mmoja asije kukamatwa kizembe
Mkuu unafikiri ni rahisi hivyo kuacha alama...
Ngoja nikupe info..
Juzi juzi alifuatwa na bwana mmoja akamwambia kama huwezi.. (kuna fix Bashite alimfanyia) nipe hata nusu ya hela.. Na hela yenyewe inakwenda around 140m.. Hatujui makubaliano yalikuwaje..
Ila Bashite anamkwepa sana na kuhama hama.. Na kumbe sio peke yake.. Watu wanaomtafuta hatujui idadi.. Bashite hana raha.. Sasa kuhusu bastola ni hivii

Wanaomtafuta wanazo.. tena wengine wanabeba mashine mabegani.. hicho kibastola hakifui dafu..
Simple aandae makubaliano ya namna ya kuweza kulipa baadhi ya mambo.. Sio kukimbia huku na huku..

Kama hawezi aombe awekwe ndani kwa muda hata miaka 4 wajuba watapunguza hasira
 
Duh
 
Lucky
 
Kilamtu atakunywa pombe aloitegenneza mwenyeweee.
Asiwe mwoga hvyooo akaze moyo maana hata wenzake walikaza moyonwakati wa madhila yote
 
πŸ˜‚πŸ˜‚ mtu wa mstaari na aseme sasaaa
 
Sijacipu popote ni mawazo yangu leta uzi huo hapan
 
Mie namshauri tu kwamba akubali kuyarudia yale maisha yake ya awali kabisa! Amrudishie kila mmoja alimdhulumu, awalipe fidia wote aliwaumiza na kuwamba radhi Watanzania na wote aliowatendea maovu hata kama kufanya hivyo atafilisika kila kitu lakini hiyo ndio njia pekee itakayomuacha salama na kumrudishia Amani ya mwili na Roho!
 
Jamaa hawataki Kwenda Mahakama wanataka bargain ya vichochoroni Kama ile alomfanyia Yule Tajiri anayetweet sana

Wakishirikiana na Mambosasa ,

Najua unajua mengi , ila umri wa kustaafu ndiyo huo tena.

Vipi bado upo Moscow ..? njoo nyumbani upumzike kupisha huo msukosuko na Ukraine.
 
Una miguu mizuri [emoji39][emoji39]
 
Binafsi namshauri asihame. Kama ni kufa kila mtu atakufa. Kama kufungwa, unaweza kufungwa lakini kweli uliyoisimamia. Deng Xiaoping aliwahi kupelekwa jela na "watu wachafu" lakini haikumzuia kuingia Ikulu ya China baadae. Just chill Makonda. They've power, you've people!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…