Naandika nikijua hasa nini kinaendelea. Makonda fanya haya usidhurike


Makonda ameua wengi, na kuharibu maisha ya watu wengi sana,

Hastahili huruma kwa yeyote,,
 
Nashauri haya yanayomtokea Makonda na yaliyompata Sabaya yawe ni case study katika vyuo vya uongozi wa taifa maana watanzania wote wameshuhudia before their naked eyes the quick rise and fall ya hawa ndugu kwa kulevya na madaraka. Personally , sina ushauri wa namna ambayo anaweza kukimbia maswahibu yanayomzunguka kwani jukumu la kujihakikishia usalama wake na familia yake liko mikononi mwake.
 


Kama mahakamani anaitwa na anatunisha misuli, wenye mamlaka hawachukui hatua wanamaanisha nn?

Ina maana watu wadeal naye moja kwa moja, yaani wamchane chane kwa hasira wamgawane kama mishikaki, yaaani wamle nyama kama mishikaki kabisa, ndo hasira zao zitaisha.

Kwa ujumla pona ya makonda ilikuwa akawekwe tu sehemu salama jela, nje ya hapo hana maisha,
 
Huyo ni msukule achana nae hajielewi
 
20k dollar nyingi sana, 50,000/- inatosha kummaliza. Police wenyewe wanataka aliyeuwawa atoe ushahidi so ukimuua TU basi
 
Visasi CYO POA hatujui siasa sitapindukaje mbeleni hili taifa tutaliaribu wenyewe kwa kuvisiana na kutengeneza visasi

Makonda ajaitaidi amalizane na wanaomdai na kuwaomba radh Kama alivyofanya mwenzio kheri james
Visasi havinaga mshindi tusiruhusu jamii yetu iingie kwenye visasi tutakuwa hatuna tofauti na mafioso.....
Kama Mako ana makosa ashtakiwe tu
 
Huyu Jibwa mwache ajifie mwenyewe!! Damu ya Ben Saa8 haimwachi popote atakapokwenda. Oh Nimesahau mwambie aende ulaya akutane na mkono wa Marekani huyu muuaji mkubwa! Ama kweli kufa kwa nyani miti yote huteleza!
 
Ww ni muhanga wa akili yako fupi usisingizie bana
 
Kwani yeye alimpeleka nani mahakamani si aliwatesa na kuwauwa wengine, kipimo umpimiacho mtu hicho ndicho utapimiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…