Bila shaka mratibu ni prince mwenyewe, huu upuuzi sasa naona unaendekezwa sana hapa nchini kisa ana backup.Jamaa hawataki Kwenda Mahakama wanataka bargain ya vichochoroni Kama ile alomfanyia Yule Tajiri anayetweet sana
Uzi wa yoga umekuumiza Sana my!!!?haupo peke yako njoo tujipoze kama vipi!!!Zamani nilikuwa napenda sana comments zako. Naona bado bado ukogo vile vile ni mwana democrasia haswa.
Nilivyoendelea kukuwa nikajua wapuuzi tunao wapigia kelele na kuwa pigani humu mitandaoni na mitaani kumbe wanakula sahani moja na upande wa pili. Staki tena haya mambo ni ya kujiumiza bure bora nibaki katikati.
Sisi tunapiga kelele wao wanajali matumbo yao na familiya yao.
Ukiendelea kukua kuna siku utajua hiki nilichokiandika.
Siamini kwamba haufahamu kanda iliyowekewa kinyonga na Jpm, ila tu unalo jambo lingine, hata hivyo nikukumbushe,Ni watu wa kanda gani waliumizwa na Magufuli? Na waliumizwaje? Naomba kufahamu kidogo
Umepata tiba ya hili tatizo linalokusibuABNORMAL UTERINE BLEEDING
Huyo hata akihama... atarudi kulilia mali zisizo zake. Make alishazoea kudhulumu watu kibabe!Ushauri kwako Makonda kunusuru maisha yako na familia yako!
Hama Nchi Kwa Muda watu uliowatesa ni wengi ila kwakuwa tumeambiwa samehe 7 mara 70 tumeshasamehe ila Kwa Usalama wako zaidi hamia Kwa Mkeo ukweni Rwanda Au Nenda Ulaya Kasome hata Miaka minne utarudi Tanzania hasira za wengi zikiwa zimetulia,
Kuna Mawili
- Kuna Kupoteza maisha kutoka Kwa hao watesi
- Au Kuna kufungwa Kabisa maana wapo wenye vielelezo vyote juu yako!
Najua a safari yako ya Kwenda ufaransa ilifeli Kwa kutokana na kigezo ulichoombea asylum haitafutwi hivyo!
Kuna mtu mmekaa wote kwenye gari Masaa 4 mbezi beach alitumwa Kwa kazi maalumu kukushauri baadhi ya mambo kuhusu wewe na Jamaa wa VX na wanachama wa mambo fulani ukaonekana kuogopa ila alivyoondoka ukashupaza shingo tena!
Mifumo Duniani kote ipo hata Kama Serikali ipo.
Nakusihi tena usisahau kufuatilia hayo mambo ama by December 2023 tutakuja kusema habari nyingine Mdogo wangu ! Anza maisha upya nchi yeyote
Ukifika huko wala usihangaike nao uwawezi tena kwakuwa huna cheo!
Pia salimisha ile bastora umiliki wake haujahakikiwa
Britanicca
Kwani hapo kasingizia wapi, wasanii na waandishi wengi waligeuzwa vituko kwa kumsifia jiwe na kunanga upinzani, je leo unawasikia? Hata Kitenge aliyekuwa anaimba mapambio ya Jiwe na wateule wake leo anamnanga Makonda. Jiulize.Ww ni muhanga wa akili yako fupi usisingizie bana
Paulo Albert Bashite... aka Paulo Makonda... ni kielelezo kizuri cha mada ya vijana na nguvu ya vyeo na madaraka.Huyu Msukuma mshamba sana halafu anajifanya bonge la much know wakati hata kuandika vizuri hajui, sijui kama atausikiliza ushauri wako na kuufanyia kazi.
Mhhhhjamaa wa vx wasiojulikana wanachama wa chama fulani unkown
Kama unajua haya yote sasa si wewe ndo unae muwinda sasa!!Ushauri kwako Makonda kunusuru maisha yako na familia yako!
Hama Nchi Kwa Muda watu uliowatesa ni wengi ila kwakuwa tumeambiwa samehe 7 mara 70 tumeshasamehe ila Kwa Usalama wako zaidi hamia Kwa Mkeo ukweni Rwanda Au Nenda Ulaya Kasome hata Miaka minne utarudi Tanzania hasira za wengi zikiwa zimetulia,
Kuna Mawili
- Kuna Kupoteza maisha kutoka Kwa hao watesi
- Au Kuna kufungwa Kabisa maana wapo wenye vielelezo vyote juu yako!
Najua a safari yako ya Kwenda ufaransa ilifeli Kwa kutokana na kigezo ulichoombea asylum haitafutwi hivyo!
Kuna mtu mmekaa wote kwenye gari Masaa 4 mbezi beach alitumwa Kwa kazi maalumu kukushauri baadhi ya mambo kuhusu wewe na Jamaa wa VX na wanachama wa mambo fulani ukaonekana kuogopa ila alivyoondoka ukashupaza shingo tena!
Mifumo Duniani kote ipo hata Kama Serikali ipo.
Nakusihi tena usisahau kufuatilia hayo mambo ama by December 2023 tutakuja kusema habari nyingine Mdogo wangu ! Anza maisha upya nchi yeyote
Ukifika huko wala usihangaike nao uwawezi tena kwakuwa huna cheo!
Pia salimisha ile bastora umiliki wake haujahakikiwa
Britanicca
Huyo jamaa anakopi na kupaste Sana..Hana lolote huyo buyobeMke wa Bashite ni mmeru na sasa wapo maeneo ya kwa msola njiro Arusha.
Eti rwanda 😂
By the way Bashite ameanza kupiga kelele kwasababu ameshapata taarifa kuwa file lake lipo kwenye final stage kabla halijafika kwa DPP.
NB: britanicca ungefanya citation kuwa huu uzi wako ni copy and paste kutoka Twitter kwa fbuyobe.
Acheni ukanda na ukabila,si shaka utakua mkaskazini maana hao ndo mabingwa wa ukabila,ukanda u Lutheran na ujuaji wa ajabu ajabuHuyu Msukuma mshamba sana halafu anajifanya bonge la much know wakati hata kuandika vizuri hajui, sijui kama atausikiliza ushauri wako na kuufanyia kazi.
Angalia tofaut ya mda..buyobe bingwa was pragialismWewe Ni fortunatus BUYOBE au umecopy na Kuna kupaste hapa from Twitter? britanicca
Hata kabla ya huo uzi vitu vingi nishajiwa mkuu, ndo hivyo hakuna namnaUzi wa yoga umekuumiza Sana my!!!?haupo peke yako njoo tujipoze kama vipi!!!
Yule mwenye jina kama mlio wa ng'ombe?Jamaa hawataki Kwenda Mahakama wanataka bargain ya vichochoroni Kama ile alomfanyia Yule Tajiri anayetweet sana
Mimi mwenyewe Msukuma wa kuzaliwa kabisa, na nina washing mkubwa yu kwenye jamii yangu. Bila mimi hamna tambiko linafanyikaAcheni ukanda na ukabila,si shaka utakua mkaskazini maana hao ndo mabingwa wa ukabila,ukanda u Lutheran na ujuaji wa ajabu ajabu
Ila kuna watu mna ujasiri wa kujifunika shuka na nyoka. Hivi utaanzaje kumtukana mtu ambaye humjui…?Ww ni mjinga, umejaza sumu ambazo hata huelewi umelishwaje. nakupa tu pole
Mwambie hivyo Makonda kama anataka kuuliwa yeye ndiye aende Polisi kutoa ripoti.Bila shaka mratibu ni prince mwenyewe, huu upuuzi sasa naona unaendekezwa sana hapa nchini kisa ana backup.
Kama ana makosa na mna ushahidi kwanini mnaogopa kumpeleka mahakani?