Hapana asife mapema apelekwe mahakamani ili naye aone mateso aliyosababishia wenzake japo hayatakua makubwa Kama Yale...muda huu nadhani anayakumbuka maneno ya chidi benzHuyu ni WA kufa mapema maana ndio alikuwa msimamizi mkuu was genge la wasiojulikana.
Pia ndiye aliyesimamia kupigwa risasi Tundu Lissu.
Hawezi kupona atamfuata shetani mwenzie kule kuzimu.
Jamaa hawataki Kwenda Mahakama wanataka bargain ya vichochoroni Kama ile alomfanyia Yule Tajiri anayetweet sana
Akihamia Ulaya hapa watamkamata na kumpeleka Amerika ambako anatafutwa kama mkiukwa haki za binadamuUshauri kwako Makonda kunusuru maisha yako na familia yako!
Hama Nchi Kwa Muda watu uliowatesa ni wengi ila kwakuwa tumeambiwa samehe 7 mara 70 tumeshasamehe ila Kwa Usalama wako zaidi hamia Kwa Mkeo ukweni Rwanda Au Nenda Ulaya Kasome hata Miaka minne utarudi Tanzania hasira za wengi zikiwa zimetulia,
Kuna Mawili
Kuna Kupoteza maisha kutoka Kwa hao watesi
Au Kuna kufungwa Kabisa maana wapo wenye vielelezo vyote juu yako!
Najua a safari yako ya Kwenda ufaransa ilifeli Kwa kutokana na kigezo ulichoombea asylum haitafutwi hivyo!
Kuna mtu mmekaa wote kwenye gari Masaa 4 mbezi beach alitumwa Kwa kazi maalumu kukushauri baadhi ya mambo kuhusu wewe na Jamaa wa VX na wanachama wa mambo fulani ukaonekana kuogopa ila alivyoondoka ukashupaza shingo tena!
Mifumo Duniani kote ipo hata Kama Serikali ipo ….
Nakusihi tena usisahau kufuatilia hayo mambo ama by December 2023 tutakuja kusema habari nyingine Mdogo wangu ! Anza maisha upya nchi yeyote
Ukifika huko wala usihangaike nao uwawezi tena kwakuwa huna cheo!
Pia salimisha ile bastora umiliki wake haujahakikiwa
Britanicca
Hivi mbona wamemchelewesha Sana huyu? Yaani ilitakiwa sasa hivi ni historia. Kama alivyotenda na atendewe. Mnyama mkubwa huyo. Ninajua kuna nchi zitamkataa pia hivyo akiwa anaomba ukimbizi kichwani ajue yuko blacklisted bàadhi ya nchi hata kama haijawekwa hadharani kama alivyofanya Marekani.Ushauri kwako Makonda kunusuru maisha yako na familia yako!
Hama Nchi Kwa Muda watu uliowatesa ni wengi ila kwakuwa tumeambiwa samehe 7 mara 70 tumeshasamehe ila Kwa Usalama wako zaidi hamia Kwa Mkeo ukweni Rwanda Au Nenda Ulaya Kasome hata Miaka minne utarudi Tanzania hasira za wengi zikiwa zimetulia,
Kuna Mawili
Kuna Kupoteza maisha kutoka Kwa hao watesi
Au Kuna kufungwa Kabisa maana wapo wenye vielelezo vyote juu yako!
Najua a safari yako ya Kwenda ufaransa ilifeli Kwa kutokana na kigezo ulichoombea asylum haitafutwi hivyo!
Kuna mtu mmekaa wote kwenye gari Masaa 4 mbezi beach alitumwa Kwa kazi maalumu kukushauri baadhi ya mambo kuhusu wewe na Jamaa wa VX na wanachama wa mambo fulani ukaonekana kuogopa ila alivyoondoka ukashupaza shingo tena!
Mifumo Duniani kote ipo hata Kama Serikali ipo ….
Nakusihi tena usisahau kufuatilia hayo mambo ama by December 2023 tutakuja kusema habari nyingine Mdogo wangu ! Anza maisha upya nchi yeyote
Ukifika huko wala usihangaike nao uwawezi tena kwakuwa huna cheo!
Pia salimisha ile bastora umiliki wake haujahakikiwa
Britanicca
Utawala wa dikteta ndio ulikuwa unateka watu na kuwadhulu, JK utawala wake haukuwa na mambo ya kishambaHapo ndipo tulipofikia kama nchi Mkuu !! Na tabia hizi za kijuha zimeshamiri zaidi kuanzia awamu ya NNE !! Hapo ndipo Nchi ilipoanza kupoteza dira na maadili yaliyokuwepo !! Kutesa watu kisaikolojia ndio ikawa silaha yao kuu kwa wale waliotofautiana nao kisiasa !! Kwahiyo huu ni muendelezo tu na sijui utaishaje !!!
Daah nikikumbuka hiki kifo na kile cha Ben Saanane basi Acha tu Karma ichukue mkondo wake. Halafu alijidai kuhudhuria msiba wa Wilson. Hekoo Sana kwa familia ilikataa kupoka mkono wake wa salamu. Makonda Bashite alijiona Mungu kumzidi hata Mungu.R.I.P Wilson Kabwe, former Mkurugenzi Wa Jiji la Dar...
tulia wewe sukuma gang, kipindi Cha dikteta mlikuwa mnataka atawale milele! Leo unataka chama upinzani imara,kwani hakukuwa na vyama imara wakat wa dikteta!?Hakika kikijitokeza chama kizuri cha Siasa chenye maono yanayogusa wengi kitajipatia wafuasi wa kutosha.
Bado kiu ya watanzania ni kubwa sana wengi wanakuja na kujinadi kwamba watakata kiu ya wananchi kumbe wanakata kiu yao binafsi na kufanya safari yetu Kuwa ndefu zaidi.
We umekua Nini, hivi mitanzania ilivyo mioga hivyo unataka upinzani wafanyejeZamani nilikuwa napenda sana comments zako. Naona bado bado ukogo vile vile ni mwana democrasia haswa.
Nilivyoendelea kukuwa nikajua wapuuzi tunao wapigia kelele na kuwa pigani humu mitandaoni na mitaani kumbe wanakula sahani moja na upande wa pili. Staki tena haya mambo ni ya kujiumiza bure bora nibaki katikati.
Sisi tunapiga kelele wao wanajali matumbo yao na familiya yao.
Ukiendelea kukua kuna siku utajua hiki nilichokiandika.
Duh....ushauri mzuri , je utafatwa.Ushauri kwako Makonda kunusuru maisha yako na familia yako!
Hama Nchi Kwa Muda watu uliowatesa ni wengi ila kwakuwa tumeambiwa samehe 7 mara 70 tumeshasamehe ila Kwa Usalama wako zaidi hamia Kwa Mkeo ukweni Rwanda Au Nenda Ulaya Kasome hata Miaka minne utarudi Tanzania hasira za wengi zikiwa zimetulia,
Kuna Mawili
- Kuna Kupoteza maisha kutoka Kwa hao watesi
- Au Kuna kufungwa Kabisa maana wapo wenye vielelezo vyote juu yako!
Najua a safari yako ya Kwenda ufaransa ilifeli Kwa kutokana na kigezo ulichoombea asylum haitafutwi hivyo!
Kuna mtu mmekaa wote kwenye gari Masaa 4 mbezi beach alitumwa Kwa kazi maalumu kukushauri baadhi ya mambo kuhusu wewe na Jamaa wa VX na wanachama wa mambo fulani ukaonekana kuogopa ila alivyoondoka ukashupaza shingo tena!
Mifumo Duniani kote ipo hata Kama Serikali ipo.
Nakusihi tena usisahau kufuatilia hayo mambo ama by December 2023 tutakuja kusema habari nyingine Mdogo wangu ! Anza maisha upya nchi yeyote
Ukifika huko wala usihangaike nao uwawezi tena kwakuwa huna cheo!
Pia salimisha ile bastora umiliki wake haujahakikiwa
Britanicca
What goes around comes around !! Tunaendelea kuwakumbusha watesi wetu wanaojiona wao ndio Alfa na Omega !! Siku hazigandi !
lile banda la watu alilotaka kutapeli ameshalirejesha? (HAKUNA MUHURI UNAKAAGA CHINI YA PICHA)
Kama sio upinzani halisi wewe anzisha upinzani halisi, yaani mpinzani Kama Lissu, amekuwa kilema, Mbowe amefilisiwa, wekwa jera 8 months, kina Ben washazikwa, Mawazo alikatwakatwa Kama kuku, kina mdude alimanusra azikwe, bado unawabeza, basi anzisha chama chako ambacho kitakuwa upinzani pure, mbuzi weweWanalipwa ndo maana kelele mingi, tunajuwa ukweli kuwa hao wapenda mabadiliko nao wana maboss ambao wako upande wa pili, hatuhangaiki tena.
Kwa ufupi upinzani ni ka genge ambako kqzi yake ni kuisaidia serikali kufanya mambo yake.
Lazima vikelele kelele viwepo.ndo nchi ibaenda.
Bure kabisa
Ni kweli akitoka hadhalani akawaomba radhi wantazania anaweza kusamehewa,changamoto iko kwa wale jamaa ambao kwao msamaha ni dhambi isiyosameheka.Mku huu ushauri ni mzuri sana.
Ila kubwa zaidi awaombe Watanzania Msamaha huu utamsaidia sana kwani tulio na huruma ni wengi.
Aombe msamaha kama aliowahi kuomba Rais Moi hili asipolifanya ninaamini atakuja kujutia wakati huo yuko Jela au la japokuwa simwombei hili limkute kabisa kwani ameshajifunza kuendana na mazingira au anayoyapitia aliyekuwa Mku wa Wilaya ya Hai
Makonda plz fata huu ushauriUshauri kwako Makonda kunusuru maisha yako na familia yako!
Hama Nchi Kwa Muda watu uliowatesa ni wengi ila kwakuwa tumeambiwa samehe 7 mara 70 tumeshasamehe ila Kwa Usalama wako zaidi hamia Kwa Mkeo ukweni Rwanda Au Nenda Ulaya Kasome hata Miaka minne utarudi Tanzania hasira za wengi zikiwa zimetulia,
Kuna Mawili
- Kuna Kupoteza maisha kutoka Kwa hao watesi
- Au Kuna kufungwa Kabisa maana wapo wenye vielelezo vyote juu yako!
Najua a safari yako ya Kwenda ufaransa ilifeli Kwa kutokana na kigezo ulichoombea asylum haitafutwi hivyo!
Kuna mtu mmekaa wote kwenye gari Masaa 4 mbezi beach alitumwa Kwa kazi maalumu kukushauri baadhi ya mambo kuhusu wewe na Jamaa wa VX na wanachama wa mambo fulani ukaonekana kuogopa ila alivyoondoka ukashupaza shingo tena!
Mifumo Duniani kote ipo hata Kama Serikali ipo.
Nakusihi tena usisahau kufuatilia hayo mambo ama by December 2023 tutakuja kusema habari nyingine Mdogo wangu ! Anza maisha upya nchi yeyote
Ukifika huko wala usihangaike nao uwawezi tena kwakuwa huna cheo!
Pia salimisha ile bastora umiliki wake haujahakikiwa
Britanicca
Alibebwa kama huyu! Afadhali huyu pichani aliwakomesha wazungu. (Binafsi nampendaga sana Idd amin)Anyongwe kabisa mpumbavu sana yule mtoto madaraka yalimlevya!
Hii swala ya kuchukia kanda moja haina maana. Na haya mambo ya kisasi usidhani yataisha au hao unaodhani wameshika maeneo nyeti wataendelea kuyashika. Ni heri Makonda akamatwe apelekwe katika vyombo vya sheria. Nakiri Makonda alijisahau, alidhani yeye ni yeye. Lakini kwa nimjuavyo Makonda ndivyo alivyo, ni mtu wa kupenda kutumia majina ya wakubwa ili kupata akitakacho.Kijana ameshachelewa, alikosa washauri na bado hana washauri.... Aliamini baada ya kifo cha mzee ndugu zake kutoka nyumbani wangeshika usukani, wakafeli na usukani ukaangukia kwa wenyewe...
Wakajaribu kumtisha mama awaogope na kuwasikiliza wakiamini atakuwa anawaogopa kwa uongo wa kumtishia kiti chake na influence ya ukanda, Mama chini ya Wasaigon na Chalinze akawa strong akilindwa na wenyewe...
Vijana wa mjini wameachiwa wamkung'utishe kimyakimya kimtaamtaa kama yeye alivyokuwa akideal nao gizani, nao sasa wanamalizana naye gizani.....kwa sasa yupo kizuizini Dar es salaam.
Kosa la ndugu zetu wa kanda ile, walijioverestimate na kushindwa kufanya proper calculation ya mifumo na mizizi yake....wenzao wanastrong hold maeneo nyeti na influence kubwa maeneo hayo, lakini ndugu zetu walivimbiwa na kuchokonoa kila mahala kiasi cha kufanya sasa isemwe, "No trust to them again"
🤣🤣Zamani nilikuwa napenda sana comments zako. Naona bado bado ukogo vile vile ni mwana democrasia haswa.
Nilivyoendelea kukuwa nikajua wapuuzi tunao wapigia kelele na kuwa pigani humu mitandaoni na mitaani kumbe wanakula sahani moja na upande wa pili. Staki tena haya mambo ni ya kujiumiza bure bora nibaki katikati.
Sisi tunapiga kelele wao wanajali matumbo yao na familiya yao.
Ukiendelea kukua kuna siku utajua hiki nilichokiandika.