Naandika nikijua hasa nini kinaendelea. Makonda fanya haya usidhurike

Naandika nikijua hasa nini kinaendelea. Makonda fanya haya usidhurike

Huyu ni WA kufa mapema maana ndio alikuwa msimamizi mkuu was genge la wasiojulikana.

Pia ndiye aliyesimamia kupigwa risasi Tundu Lissu.

Hawezi kupona atamfuata shetani mwenzie kule kuzimu.
Hapana asife mapema apelekwe mahakamani ili naye aone mateso aliyosababishia wenzake japo hayatakua makubwa Kama Yale...muda huu nadhani anayakumbuka maneno ya chidi benz
 
Kijana alishikwa mkono na wazee wa CCM kina Samwel Sitta, akaja kuonekana kwa JK akampa shavu, akaja pia akaonekana tena kwa homeboy wake JIWE akapewa shavu, kijana akaota mapembe...akasahau umaskini wote wa kule kwao Koromije alikotoka, akaanza kuwapangia watu wa Dar namna ya kuishi hadi na wake zao, akajifanya kijana wa mjini kuwazidi hata hawa hawa waliozaliwa Aghakhan hosp; vijana waliojaribu kupiga utawala wa babake wa kufikia wakaishia shimo la tewa.

Huyu mwacheni apitie anayoyapitia, maana aliyataka mwenyewe.
 
Ushauri kwako Makonda kunusuru maisha yako na familia yako!

Hama Nchi Kwa Muda watu uliowatesa ni wengi ila kwakuwa tumeambiwa samehe 7 mara 70 tumeshasamehe ila Kwa Usalama wako zaidi hamia Kwa Mkeo ukweni Rwanda Au Nenda Ulaya Kasome hata Miaka minne utarudi Tanzania hasira za wengi zikiwa zimetulia,


Kuna Mawili

Kuna Kupoteza maisha kutoka Kwa hao watesi

Au Kuna kufungwa Kabisa maana wapo wenye vielelezo vyote juu yako!

Najua a safari yako ya Kwenda ufaransa ilifeli Kwa kutokana na kigezo ulichoombea asylum haitafutwi hivyo!

Kuna mtu mmekaa wote kwenye gari Masaa 4 mbezi beach alitumwa Kwa kazi maalumu kukushauri baadhi ya mambo kuhusu wewe na Jamaa wa VX na wanachama wa mambo fulani ukaonekana kuogopa ila alivyoondoka ukashupaza shingo tena!

Mifumo Duniani kote ipo hata Kama Serikali ipo ….

Nakusihi tena usisahau kufuatilia hayo mambo ama by December 2023 tutakuja kusema habari nyingine Mdogo wangu ! Anza maisha upya nchi yeyote

Ukifika huko wala usihangaike nao uwawezi tena kwakuwa huna cheo!

Pia salimisha ile bastora umiliki wake haujahakikiwa


Britanicca
Akihamia Ulaya hapa watamkamata na kumpeleka Amerika ambako anatafutwa kama mkiukwa haki za binadamu
 
Ushauri kwako Makonda kunusuru maisha yako na familia yako!

Hama Nchi Kwa Muda watu uliowatesa ni wengi ila kwakuwa tumeambiwa samehe 7 mara 70 tumeshasamehe ila Kwa Usalama wako zaidi hamia Kwa Mkeo ukweni Rwanda Au Nenda Ulaya Kasome hata Miaka minne utarudi Tanzania hasira za wengi zikiwa zimetulia,


Kuna Mawili

Kuna Kupoteza maisha kutoka Kwa hao watesi

Au Kuna kufungwa Kabisa maana wapo wenye vielelezo vyote juu yako!

Najua a safari yako ya Kwenda ufaransa ilifeli Kwa kutokana na kigezo ulichoombea asylum haitafutwi hivyo!

Kuna mtu mmekaa wote kwenye gari Masaa 4 mbezi beach alitumwa Kwa kazi maalumu kukushauri baadhi ya mambo kuhusu wewe na Jamaa wa VX na wanachama wa mambo fulani ukaonekana kuogopa ila alivyoondoka ukashupaza shingo tena!

Mifumo Duniani kote ipo hata Kama Serikali ipo ….

Nakusihi tena usisahau kufuatilia hayo mambo ama by December 2023 tutakuja kusema habari nyingine Mdogo wangu ! Anza maisha upya nchi yeyote

Ukifika huko wala usihangaike nao uwawezi tena kwakuwa huna cheo!

Pia salimisha ile bastora umiliki wake haujahakikiwa


Britanicca
Hivi mbona wamemchelewesha Sana huyu? Yaani ilitakiwa sasa hivi ni historia. Kama alivyotenda na atendewe. Mnyama mkubwa huyo. Ninajua kuna nchi zitamkataa pia hivyo akiwa anaomba ukimbizi kichwani ajue yuko blacklisted bàadhi ya nchi hata kama haijawekwa hadharani kama alivyofanya Marekani.
 
Hapo ndipo tulipofikia kama nchi Mkuu !! Na tabia hizi za kijuha zimeshamiri zaidi kuanzia awamu ya NNE !! Hapo ndipo Nchi ilipoanza kupoteza dira na maadili yaliyokuwepo !! Kutesa watu kisaikolojia ndio ikawa silaha yao kuu kwa wale waliotofautiana nao kisiasa !! Kwahiyo huu ni muendelezo tu na sijui utaishaje !!!
Utawala wa dikteta ndio ulikuwa unateka watu na kuwadhulu, JK utawala wake haukuwa na mambo ya kishamba
 
R.I.P Wilson Kabwe, former Mkurugenzi Wa Jiji la Dar...
Daah nikikumbuka hiki kifo na kile cha Ben Saanane basi Acha tu Karma ichukue mkondo wake. Halafu alijidai kuhudhuria msiba wa Wilson. Hekoo Sana kwa familia ilikataa kupoka mkono wake wa salamu. Makonda Bashite alijiona Mungu kumzidi hata Mungu.
 
Hakika kikijitokeza chama kizuri cha Siasa chenye maono yanayogusa wengi kitajipatia wafuasi wa kutosha.

Bado kiu ya watanzania ni kubwa sana wengi wanakuja na kujinadi kwamba watakata kiu ya wananchi kumbe wanakata kiu yao binafsi na kufanya safari yetu Kuwa ndefu zaidi.
tulia wewe sukuma gang, kipindi Cha dikteta mlikuwa mnataka atawale milele! Leo unataka chama upinzani imara,kwani hakukuwa na vyama imara wakat wa dikteta!?
 
Zamani nilikuwa napenda sana comments zako. Naona bado bado ukogo vile vile ni mwana democrasia haswa.

Nilivyoendelea kukuwa nikajua wapuuzi tunao wapigia kelele na kuwa pigani humu mitandaoni na mitaani kumbe wanakula sahani moja na upande wa pili. Staki tena haya mambo ni ya kujiumiza bure bora nibaki katikati.

Sisi tunapiga kelele wao wanajali matumbo yao na familiya yao.

Ukiendelea kukua kuna siku utajua hiki nilichokiandika.
We umekua Nini, hivi mitanzania ilivyo mioga hivyo unataka upinzani wafanyeje
 
Ushauri kwako Makonda kunusuru maisha yako na familia yako!

Hama Nchi Kwa Muda watu uliowatesa ni wengi ila kwakuwa tumeambiwa samehe 7 mara 70 tumeshasamehe ila Kwa Usalama wako zaidi hamia Kwa Mkeo ukweni Rwanda Au Nenda Ulaya Kasome hata Miaka minne utarudi Tanzania hasira za wengi zikiwa zimetulia,


Kuna Mawili
- Kuna Kupoteza maisha kutoka Kwa hao watesi

- Au Kuna kufungwa Kabisa maana wapo wenye vielelezo vyote juu yako!

Najua a safari yako ya Kwenda ufaransa ilifeli Kwa kutokana na kigezo ulichoombea asylum haitafutwi hivyo!

Kuna mtu mmekaa wote kwenye gari Masaa 4 mbezi beach alitumwa Kwa kazi maalumu kukushauri baadhi ya mambo kuhusu wewe na Jamaa wa VX na wanachama wa mambo fulani ukaonekana kuogopa ila alivyoondoka ukashupaza shingo tena!

Mifumo Duniani kote ipo hata Kama Serikali ipo.

Nakusihi tena usisahau kufuatilia hayo mambo ama by December 2023 tutakuja kusema habari nyingine Mdogo wangu ! Anza maisha upya nchi yeyote

Ukifika huko wala usihangaike nao uwawezi tena kwakuwa huna cheo!

Pia salimisha ile bastora umiliki wake haujahakikiwa


Britanicca
Duh....ushauri mzuri , je utafatwa.
 
Wanalipwa ndo maana kelele mingi, tunajuwa ukweli kuwa hao wapenda mabadiliko nao wana maboss ambao wako upande wa pili, hatuhangaiki tena.

Kwa ufupi upinzani ni ka genge ambako kqzi yake ni kuisaidia serikali kufanya mambo yake.

Lazima vikelele kelele viwepo.ndo nchi ibaenda.

Bure kabisa
Kama sio upinzani halisi wewe anzisha upinzani halisi, yaani mpinzani Kama Lissu, amekuwa kilema, Mbowe amefilisiwa, wekwa jera 8 months, kina Ben washazikwa, Mawazo alikatwakatwa Kama kuku, kina mdude alimanusra azikwe, bado unawabeza, basi anzisha chama chako ambacho kitakuwa upinzani pure, mbuzi wewe
 
Mku huu ushauri ni mzuri sana.
Ila kubwa zaidi awaombe Watanzania Msamaha huu utamsaidia sana kwani tulio na huruma ni wengi.
Aombe msamaha kama aliowahi kuomba Rais Moi hili asipolifanya ninaamini atakuja kujutia wakati huo yuko Jela au la japokuwa simwombei hili limkute kabisa kwani ameshajifunza kuendana na mazingira au anayoyapitia aliyekuwa Mku wa Wilaya ya Hai
Ni kweli akitoka hadhalani akawaomba radhi wantazania anaweza kusamehewa,changamoto iko kwa wale jamaa ambao kwao msamaha ni dhambi isiyosameheka.
Hawa wakisha hukumu wamemaliza na hawarudi nyuma na wanapanga ufe kifo kwa jinsi itakavyowapendeza wao, rejea vifo vya akina Amina Chifupa na mumewe na Masogange pia. Hivyo hata akikimbia nchi hawa watamfuata kwani mtandao wao upo kila nchi, ni bora akomae hapahapa yatayomkuta yamkute hapahapa kama yaliyonkuta marehemu Samuel Doe.
 
Ushauri kwako Makonda kunusuru maisha yako na familia yako!

Hama Nchi Kwa Muda watu uliowatesa ni wengi ila kwakuwa tumeambiwa samehe 7 mara 70 tumeshasamehe ila Kwa Usalama wako zaidi hamia Kwa Mkeo ukweni Rwanda Au Nenda Ulaya Kasome hata Miaka minne utarudi Tanzania hasira za wengi zikiwa zimetulia,


Kuna Mawili
- Kuna Kupoteza maisha kutoka Kwa hao watesi

- Au Kuna kufungwa Kabisa maana wapo wenye vielelezo vyote juu yako!

Najua a safari yako ya Kwenda ufaransa ilifeli Kwa kutokana na kigezo ulichoombea asylum haitafutwi hivyo!

Kuna mtu mmekaa wote kwenye gari Masaa 4 mbezi beach alitumwa Kwa kazi maalumu kukushauri baadhi ya mambo kuhusu wewe na Jamaa wa VX na wanachama wa mambo fulani ukaonekana kuogopa ila alivyoondoka ukashupaza shingo tena!

Mifumo Duniani kote ipo hata Kama Serikali ipo.

Nakusihi tena usisahau kufuatilia hayo mambo ama by December 2023 tutakuja kusema habari nyingine Mdogo wangu ! Anza maisha upya nchi yeyote

Ukifika huko wala usihangaike nao uwawezi tena kwakuwa huna cheo!

Pia salimisha ile bastora umiliki wake haujahakikiwa


Britanicca
Makonda plz fata huu ushauri
 
Anyongwe kabisa mpumbavu sana yule mtoto madaraka yalimlevya!
Alibebwa kama huyu! Afadhali huyu pichani aliwakomesha wazungu. (Binafsi nampendaga sana Idd amin)

FB_IMG_16493800331347539.jpg
 
Kijana ameshachelewa, alikosa washauri na bado hana washauri.... Aliamini baada ya kifo cha mzee ndugu zake kutoka nyumbani wangeshika usukani, wakafeli na usukani ukaangukia kwa wenyewe...

Wakajaribu kumtisha mama awaogope na kuwasikiliza wakiamini atakuwa anawaogopa kwa uongo wa kumtishia kiti chake na influence ya ukanda, Mama chini ya Wasaigon na Chalinze akawa strong akilindwa na wenyewe...

Vijana wa mjini wameachiwa wamkung'utishe kimyakimya kimtaamtaa kama yeye alivyokuwa akideal nao gizani, nao sasa wanamalizana naye gizani.....kwa sasa yupo kizuizini Dar es salaam.

Kosa la ndugu zetu wa kanda ile, walijioverestimate na kushindwa kufanya proper calculation ya mifumo na mizizi yake....wenzao wanastrong hold maeneo nyeti na influence kubwa maeneo hayo, lakini ndugu zetu walivimbiwa na kuchokonoa kila mahala kiasi cha kufanya sasa isemwe, "No trust to them again"
Hii swala ya kuchukia kanda moja haina maana. Na haya mambo ya kisasi usidhani yataisha au hao unaodhani wameshika maeneo nyeti wataendelea kuyashika. Ni heri Makonda akamatwe apelekwe katika vyombo vya sheria. Nakiri Makonda alijisahau, alidhani yeye ni yeye. Lakini kwa nimjuavyo Makonda ndivyo alivyo, ni mtu wa kupenda kutumia majina ya wakubwa ili kupata akitakacho.

Hii tabia anayo hata kabla hajawa na madaraka ya Ukuu wa Wilaya au Mkoa. Amekuwa akijisiia kuwa na kikundi cha maovu. Akishitakiwa atapata muda wa kujutia matendo yake mabaya na yaliyo kinyume cha sheria ktk jamii.
Ila na hao watu wanaodhania sasa wameshika nchi muda wao unahesabika, hivyo wasijisahau na kuwa kama Makonda, mambo ubadilika. Visasi ni vibaya. Ila sheria ikitumika ni haki sahihi.

Tuepushe nchi yetu isiwe kama Ethiopia, ambayo sasa watu ni kulipizana visasi. Kabila moja lilijisahau na kushika kila kitu, leo wengine wanalipiza. Matokeo yake kabila linaloonewa sasa likaingia vitani. Na makabila mengine yakaamka nayo kugombea keki ya nchi.
Huu ndo ubaya wa visasi. Hakuna atakae tawala milele. Ukitenda baya kwa mwenzio wapo watakao kutenda pia. Hivyo wasijisahau wakadhani sasa nchi ipo mikononi mwao.
 
Zamani nilikuwa napenda sana comments zako. Naona bado bado ukogo vile vile ni mwana democrasia haswa.

Nilivyoendelea kukuwa nikajua wapuuzi tunao wapigia kelele na kuwa pigani humu mitandaoni na mitaani kumbe wanakula sahani moja na upande wa pili. Staki tena haya mambo ni ya kujiumiza bure bora nibaki katikati.

Sisi tunapiga kelele wao wanajali matumbo yao na familiya yao.

Ukiendelea kukua kuna siku utajua hiki nilichokiandika.
🤣🤣
Hatimaye umeamka....mwenzako "RBC" naye anakula "minofu" ya wanaofaidi huo upande unaoona unadai haki....ha ha ha ha

#Siempre JMT🙏
 
Kama ni system inamtaka, hawezi kwenda kokote. Au umesahau mkurugenzi mstaafu safari yake ya Kenya ilipoishia Moshi?
 
Back
Top Bottom