Naandika nikijua hasa nini kinaendelea. Makonda fanya haya usidhurike

Unafurahia usiyoyajua na huyajui yaliyomo. Makonda ni wa leo na kesho, naona anawachezesha kwata
Ni kweli Makonda anafanya spinning tu hakuna wa kumgusa.

Kwanza mpaka muda huu hakuna anayejua yuko wapi. Huenda yuko hata Huko Newziland anakula zake raha watu huku wanapayuka tu🤣
 
"The universe does not carry debts. It always returns back to you what you gave it.” ―Drishti Bablani
 
Unafurahia usiyoyajua na huyajui yaliyomo. Makonda ni wa leo na kesho, naona anawachezesha kwata
Ni kweli Makonda anafanya spinning tu hakuna wa kumgusa.

Kwanza mpaka muda huu hakuna anayejua yuko wapi. Huenda yuko hata Huko Newziland anakula zake raha watu huku wanapayuka tu🤣
 
Tena kwa uandishi huu, uwezekano ni mkubwa kwamba hata kazi ya kubeba mafaili ya Lumumba huwezi kupewa!
Kuna wanaokemea huu ujinga wa watawala na bado wanaongoza kwa kula mema ya nchi hii. Kua uyaone siyo maghorofa!
Ww ni mjinga, umejaza sumu ambazo hata huelewi umelishwaje. nakupa tu pole
 
R.I.P Wilson Kabwe, former Mkurugenzi Wa Jiji la Dar...
Huyu mzee nae alikuwa mtu mbaya sana. Alitesa sana watu alipokuwa mkurugenzi jiji la mbeya kabla hajaamishiwa jiji la Mwanza.

Ndio maana alikufa kifo kibaya.
 
We naye pumbafu , jinga sana , Kwa hiyo yeye alivyoua , kutesa , kuteka , kudhulumu ,kudhalilisha , kunyanyasa na kuumiza hao watu alikuwa anafukiria nini au yeye anathamani Sana kuliko hao walioumizwa na ufedhuli wake huyo jibwa
Umemezeshwa sumu, kazi yako Ni kula tu hata akili huna.
Makonda kamuua nani? Kamtesa nani?
 
Pia mimi nafikiria yule mwenda wazimu asingekufa taifa letu tungekuwa na Hali Gani?

Ilifikia kina masanja mkandamizaji kunadi wapinzani wasipite kwenye madaraja au barabara zilizojengwa awamu ya Tano.

Tushukuru mungu alisikia kilio chetu.

Hata mie ni muhanga was mwenda zake
 
hakuna wakumdhuru paul.na hakuna wa kumletea zengwe.paul ondoa shaka ,Kuna shuka limekuhifadhi,atakaye lifunua Basi atakacho kutananacho atarudi kuja kutuhadithia
 
Mzee baba kuomba msamaha ni kukiri kosa kuwa umefanya . Na Sheria haitambui huruma ...
 
Na wewe ukiwemo ulikuwa mpambe wake.

Leo unamgeuka jemedari wako?

Mbona mtakimbiana mwaka huu.

Bado kesi haijafika mahakamani

sikuwahi na sitawahi kuwa mpambe wa mtu..

ukifanya jambo sahihi nitakuunga mkono, ukienda alijojo nakupiga mawe pia..

mimi ni mpenzi wa sera za kikatili kwa watu wapumbavu, ila sishabikii tabia za hovyo kwenye jamii...Makonda kama Makonda kwenye utaratibu wa ubabe kwa watendaji na watu wapumbavu alikuwa sahihi... ila Makonda kama Makonda kwenye tabia zake binafsi na kulewa madaraka kiasi cha kwenda nje ya key naye ni MPUMBAVU tu...
 
Ukiua kwa upanga utakufa kwa upanga.

Ni wazi ana mwisho mbaya sana

Sioni kama ataponea kokote

Hata akikimbia nchi hitmen wako kibao dunia hii akipewa dollar 20k anamaliza mambo chap!!

Jamaa alikuwa Nazi kweli kweli yaangi thugocracy practitioner [emoji2]

Sitoshangaa akiwa hitter somewhere why not!? ..yeye mwenyewe hitted people from nowhere!! And felt proud about it .

Atajiju
 
ULIWAHI KUWAONA MATEJA? HAO WANAOSABABISHA HIYO HALI NA BASHITE YUPI BORA AISHIE NDUGU?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…