Ushauri wako ni mzuri ndio maana ni vyema apelekwe mahakamani ahukumiwe kwa haki.An endless circle of carnage,!!!!
Wao wakitoka wana uhakika wa kuwa salama ???
Sawa mkubwa! Ila mtachomolewa mmoja baada ya mwingine. Yetu macho!Hizo sumu ulizolishwq zitakumaliza tu, mtoto mdogo umemezeshwa sumu na bahati mbaya unayotamani hayawezi kuwa
Ni kweli Makonda anafanya spinning tu hakuna wa kumgusa.Unafurahia usiyoyajua na huyajui yaliyomo. Makonda ni wa leo na kesho, naona anawachezesha kwata
Unaharisha!!!Atapona, haya kam shoot sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha kulia lia tafuta hela
Tena kwa uandishi huu, uwezekano ni mkubwa kwamba hata kazi ya kubeba mafaili ya Lumumba huwezi kupewa!Katiba ya nyoko
Ww ni mnyonge?Sawa mkubwa! Ila mtachomolewa mmoja baada ya mwingine. Yetu macho!
Kwa sisi wanyonge ngoja tuendelee kusikilizia kama bei ya mafauta itashuka!
Ni kweli Makonda anafanya spinning tu hakuna wa kumgusa.Unafurahia usiyoyajua na huyajui yaliyomo. Makonda ni wa leo na kesho, naona anawachezesha kwata
Ww ni mjinga, umejaza sumu ambazo hata huelewi umelishwaje. nakupa tu poleTena kwa uandishi huu, uwezekano ni mkubwa kwamba hata kazi ya kubeba mafaili ya Lumumba huwezi kupewa!
Kuna wanaokemea huu ujinga wa watawala na bado wanaongoza kwa kula mema ya nchi hii. Kua uyaone siyo maghorofa!
Huyu mzee nae alikuwa mtu mbaya sana. Alitesa sana watu alipokuwa mkurugenzi jiji la mbeya kabla hajaamishiwa jiji la Mwanza.R.I.P Wilson Kabwe, former Mkurugenzi Wa Jiji la Dar...
Umemezeshwa sumu, kazi yako Ni kula tu hata akili huna.We naye pumbafu , jinga sana , Kwa hiyo yeye alivyoua , kutesa , kuteka , kudhulumu ,kudhalilisha , kunyanyasa na kuumiza hao watu alikuwa anafukiria nini au yeye anathamani Sana kuliko hao walioumizwa na ufedhuli wake huyo jibwa
Pia mimi nafikiria yule mwenda wazimu asingekufa taifa letu tungekuwa na Hali Gani?We acha tuu ndugu yangu. Haya mambo watu wanayachukulia powa, lakini Makonda aliumiza watu na wakaumia kweli kweli. Unajua kama janga halijakupata, siyo rahisi kuelewa.
Mimi siku zote najiweka kwenye viatu vya Lissu aliyotendewa na utawala wa mwendazake, najiuliza ningefanyaje? mpaka leo sina jibu. Mwenyezi Mungu atupe nguvu! Imagine mpaka watu wanafika sehemu ya kumsimanga Lissu kwamba ali-fake zile risasi? Imagine!
Napenda siasa. Lakini nachukia dhulma kwa nguvu zangu zote. Hawa wanasiasa wanaodhulumu haki za walalahoi watachomwa moto hapa hapa duniani! Karma is real!
Duuh Hayo si matendo ya kiutu. Itakuw ahaina tofauti na yeyeHakuna cha tume hapa huyu Kvma wadeal naye kihuni , akatwe mbupu zake na aingiliwe nyuma , fwala huyo
Huo Utu ni yeye Tu ndio anastahili kupata au sio ? ,Ila si walipitia madhila yake ?Duuh Hayo si matendo ya kiutu. Itakuw ahaina tofauti na yeye
Mzee baba kuomba msamaha ni kukiri kosa kuwa umefanya . Na Sheria haitambui huruma ...Mku huu ushauri ni mzuri sana.
Ila kubwa zaidi awaombe Watanzania Msamaha huu utamsaidia sana kwani tulio na huruma ni wengi.
Aombe msamaha kama aliowahi kuomba Rais Moi hili asipolifanya ninaamini atakuja kujutia wakati huo yuko Jela au la japokuwa simwombei hili limkute kabisa kwani ameshajifunza kuendana na mazingira au anayoyapitia aliyekuwa Mku wa Wilaya ya Hai
Na wewe ukiwemo ulikuwa mpambe wake.
Leo unamgeuka jemedari wako?
Mbona mtakimbiana mwaka huu.
Bado kesi haijafika mahakamani
Ukiua kwa upanga utakufa kwa upanga.Makonda haruhusiwi kuingia US, kwa sababu ya "kuwanyima watu haki ya kuishi".
Muuaji mnamshauri akimbie bila ya kufikishwa mahakamani? Siungi mkono yeye kuviziwa mafichoni, lakini ni halali kabisa kwa yeye kukamatwa na kufikishwa mahakamani ili ajibu tuhuma dhidi yake.
Waliopo kwenye vyombo vya dola, wanaeleza kwamba mtu huyu aliongoza kikundi cha kuwateka, kuwaua na kuwapoteza watu waliokuwa wakimkosoa marehemu na serikali yake, na kwamba kikundi hicho kiliaminika na kupewa nguvu na marehemu kuliko taasisi rasmi ya TISS. Kikundi hiki kiliwajibika moja kwa moja kwa marehemu. Kikundi hiki, kwa kauli za Siro, zaidi kilifahamika kama "Watu Wasiojulikana", japo walikuwa wanajulikana.
Huyu ni vema akamatwe mapema, ajibu tuhuma dhidi yake, awataje watu wake aliokuwa akiwatumia kuendesha uharamia. Mmoja tunaambiwa yupo mahabusu kule Kusini mwa nchi kwa kosa la kumpora fedha mfanyabiashara na kisha kumwua.
Sabaya wakati akiwapora watu fedha kwa nguvu, alikuwa akiwaambia kuwa, hii inaitwa Makonda style! Sabaya naye ni shahidi muhimu dhidi ya Makonda.
Sanane kapotezwa
Azory kapotezwa
Kanguye kapotezwa
Lisu alimanusura
Mo alitekwa na kuachiwa
Roman alitekwa na kuachiwa
GSM waliporwa mamilioni ya pesa kwa vitisho mbalimbali
Mengi aliporwa mamia ya mamilioni kwa kudanganywa
Familia ya Chacha kule Mwanza waliporwa kiwanja Capripoint
Kuna watu wengine waliporwa fedha kwa ahadi kuwa ataongea na marehemu walegezewe kodi na wawe karibu na Serikali.
Makonda atendewe haki, asiviziwe mitaani, apelekwe mahakamani kama alivyofanyiwa Sabaya, akajibu tuhuma mbalimbali, ikiwemo za mauaji. Makonda ni mwovu mkubwa, kwa kiasi kikubwa, zaidi ya Sabaya. Mwanafunzi wake wa uovu, Sabaya, yupo jela, mwalimu wake yupo huru. Hii siyo haki.