Naandika nikijua hasa nini kinaendelea. Makonda fanya haya usidhurike

Naandika nikijua hasa nini kinaendelea. Makonda fanya haya usidhurike

Alimuua nani?

Alimdhurumu nani?

Alimtesa nani?

Na kama alifanya hayo kweli, je yuko juu ya Sheria?

Ana kinga ya kushitakiwa?

Kwa mujibu wa katiba, Makonda hana kinga ya kushitakiwa...

Nini kinazuia asishitakiwe?
Makonda anahusika moja kwa moja na matukio yafuatayo;
1. Kuuawa kwa Ben Saanane
2. Kushambuliwa Tundu Lissu
3. Kuuawa kwa Akwilina
4. Kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa wafanyabiashara kama GSM, NAS, GBP, Yusuf Manji
5. Kuvamia kituo cha radio/TV cha Clouds
6. Kumteka Roma Mkatoliki
7. Kumteka Mo Dewji
 
Makonda anahusika moja kwa moja na matukio yafuatayo;
1. Kuuawa kwa Ben Saanane
2. Kushambuliwa Tundu Lissu
3. Kuuawa kwa Akwilina
4. Kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa wafanyabiashara kama GSM, NAS, GBP, Yusuf Manji
5. Kuvamia kituo cha radio/TV cha Clouds
6. Kumteka Roma Mkatoliki
7. Kumteka Mo Dewji

Ulipeleka mahakamani hizi tuhuma?

Au ndiyo kawaida ya nyumbu kuimba kila aina ya wimbo anaoimba Dj
 
Makonda anahusika moja kwa moja na matukio yafuatayo;
1. Kuuawa kwa Ben Saanane
2. Kushambuliwa Tundu Lissu
3. Kuuawa kwa Akwilina
4. Kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa wafanyabiashara kama GSM, NAS, GBP, Yusuf Manji
5. Kuvamia kituo cha radio/TV cha Clouds
6. Kumteka Roma Mkatoliki
7. Kumteka Mo Dewji
Na ushahidi upo?

Nini kinawazuia kupeleka ushahidi ili apelekwe mahakamani?

Ukimtoa Ben, Akwilina na Manji

Wengine bado wapo hai, unataka kunambia wanamuogopa Makonda?

Tuseme hao wengine hawana uelewa wa kisheria, vipi kuhusu Tundu Lissu?

Unataka kunambia Lissu anamuogopa Makonda?
 
Na ushahidi upo?

Nini kinawazuia kupeleka ushahidi ili apelekwe mahakamani?

Ukimtoa Ben, Akwilina na Manji

Wengine bado wapo hai, unataka kunambia wanamuogopa Makonda?

Tuseme hao wengine hawana uelewa wa kisheria, vipi kuhusu Tundu Lissu?

Unataka kunambia Lissu anamuogopa Makonda?
Unajitoa akili sasa hivi lakini kuna siku hutajitoa tena. Ni suala la muda tu.
 
Unajitoa akili sasa hivi lakini kuna siku hutajitoa tena. Ni suala la muda tu.
Nielimishe zaidi mkuu...

Unaposema najitoa akili unamaanisha najua Makonda hagusiki halafu najifanya kuuliza kinafiki?

Kwa tuhuma zinazoongelewa humu kuhusu Makonda na hajawahi kufungwa...

Wewe unaona nani anazuia hilo kufanyika?

Tumeona Sabaya akienda jela, nini kinashindikana kwa Makonda?
 
Nielimishe zaidi mkuu...

Unaposema najitoa akili unamaanisha najua Makonda hagusiki halafu najifanya kuuliza kinafiki?

Kwa tuhuma zinazoongelewa humu kuhusu Makonda na hajawahi kufungwa...

Wewe unaona nani anazuia hilo kufanyika?

Tumeona Sabaya akienda jela, nini kinashindikana kwa Makonda?
Sabaya hakwenda jela. Lile lilikuwa ni igizo tu. Kesi yake bado iko pale pale. Hata Makonda siku yake inakuja.
 
Sabaya hakwenda jela. Lile lilikuwa ni igizo tu. Kesi yake bado iko pale pale. Hata Makonda siku yake inakuja.
Weka ushahidi kwamba Sabaya hakwenda jela...

Thibitisha kwamba lilikuwa ni igizo...

Kesi ipi ya Sabaya iko palepale, itaje...

Siku ya Makonda kwanini ichelewe na ushahidi upo?

Kama Makonda alihusika na kuwadhulumu GSM na inasadikika hawa jamaa wana urafiki na ikulu, nini kinashindikana kumsagia kunguni achukuliwe hatua sasa hivi?
 
Makonda anahusika moja kwa moja na matukio yafuatayo;
1. Kuuawa kwa Ben Saanane
2. Kushambuliwa Tundu Lissu
3. Kuuawa kwa Akwilina
4. Kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa wafanyabiashara kama GSM, NAS, GBP, Yusuf Manji
5. Kuvamia kituo cha radio/TV cha Clouds
6. Kumteka Roma Mkatoliki
7. Kumteka Mo Dewji
Absolutely.
 
Na ushahidi upo?

Nini kinawazuia kupeleka ushahidi ili apelekwe mahakamani?

Ukimtoa Ben, Akwilina na Manji

Wengine bado wapo hai, unataka kunambia wanamuogopa Makonda?

Tuseme hao wengine hawana uelewa wa kisheria, vipi kuhusu Tundu Lissu?

Unataka kunambia Lissu anamuogopa Makonda?
Kama alifanya kwa niaba ya muhimili uliojichimbia kuliko mihimili yote unadhani PGO itafuatwa?, haitakuwa kama ya Mbowe rais aingilie?

Na kwasababu za kisiasa ni shida maana yuko kwenye ile kambi ya mwendazake inayojulikana kama “sukuma gang”

Tofauti na Sabaya.

Keshataja kusaidiwa hadi na mkuu wa majeshi yule Mabeyo.

Keshasema JWTZ wamemsaidia sana na hata alipotumiwa “drones” na maadui zake sijui Arusha huko walimsaidia.

Siyo mtu mdogo huyo kusema utamfungulia kesi hovyo hovyo tu.
 
Ulipeleka mahakamani hizi tuhuma?

Au ndiyo kawaida ya nyumbu kuimba kila aina ya wimbo anaoimba Dj
Ndugu Etwege unayo elimu kidogo kuhusu sheria au umeandika kwa kuwa ulihitimu la Saba B? Kwenye jinai parties ni Republic ndiyo plaintiff na individual ndiyo defendant. Hakuna yeyote kati ya hao mwenye capacity ya kufungua shtaka la jinai dhidi ya Makonda mpaka kwa ruksa ya DPP
 
Na ushahidi upo?

Nini kinawazuia kupeleka ushahidi ili apelekwe mahakamani?

Ukimtoa Ben, Akwilina na Manji

Wengine bado wapo hai, unataka kunambia wanamuogopa Makonda?

Tuseme hao wengine hawana uelewa wa kisheria, vipi kuhusu Tundu Lissu?

Unataka kunambia Lissu anamuogopa Makonda?
Ndugu nyakubonga unayo elimu kidogo kuhusu sheria au umeandika kwa kuwa ulihitimu la Saba B? Kwenye jinai parties ni Republic ndiyo plaintiff na individual ndiyo defendant. Hakuna yeyote kati ya hao mwenye capacity ya kufungua shtaka la jinai dhidi ya Makonda mpaka kw ruksa ya DPP
 
Ushauri kwako Makonda kunusuru maisha yako na familia yako!

Hama Nchi Kwa Muda watu uliowatesa ni wengi ila kwakuwa tumeambiwa samehe 7 mara 70 tumeshasamehe ila Kwa Usalama wako zaidi hamia Kwa Mkeo ukweni Rwanda Au Nenda Ulaya Kasome hata Miaka minne utarudi Tanzania hasira za wengi zikiwa zimetulia,


Kuna Mawili
- Kuna Kupoteza maisha kutoka Kwa hao watesi

- Au Kuna kufungwa Kabisa maana wapo wenye vielelezo vyote juu yako!

Najua a safari yako ya Kwenda ufaransa ilifeli Kwa kutokana na kigezo ulichoombea asylum haitafutwi hivyo!

Kuna mtu mmekaa wote kwenye gari Masaa 4 mbezi beach alitumwa Kwa kazi maalumu kukushauri baadhi ya mambo kuhusu wewe na Jamaa wa VX na wanachama wa mambo fulani ukaonekana kuogopa ila alivyoondoka ukashupaza shingo tena!

Mifumo Duniani kote ipo hata Kama Serikali ipo.

Nakusihi tena usisahau kufuatilia hayo mambo ama by December 2023 tutakuja kusema habari nyingine Mdogo wangu ! Anza maisha upya nchi yeyote

Ukifika huko wala usihangaike nao uwawezi tena kwakuwa huna cheo!

Pia salimisha ile bastora umiliki wake haujahakikiwa


Britanicca
Nyie wauza danga msituletee uhuni wenu. Makonda atapatikana tu salama. Msifikiri mtaweza kuteka dola milele. Makonda hana cha kuomba radhi kwa yeyote. Mkitoa damu yake ystawakuta yaleyale. Nguvu ya umma haishindwi kitu.
 
Ushauri kwako Makonda kunusuru maisha yako na familia yako!

Hama Nchi Kwa Muda watu uliowatesa ni wengi ila kwakuwa tumeambiwa samehe 7 mara 70 tumeshasamehe ila Kwa Usalama wako zaidi hamia Kwa Mkeo ukweni Rwanda Au Nenda Ulaya Kasome hata Miaka minne utarudi Tanzania hasira za wengi zikiwa zimetulia,


Kuna Mawili
- Kuna Kupoteza maisha kutoka Kwa hao watesi

- Au Kuna kufungwa Kabisa maana wapo wenye vielelezo vyote juu yako!

Najua a safari yako ya Kwenda ufaransa ilifeli Kwa kutokana na kigezo ulichoombea asylum haitafutwi hivyo!

Kuna mtu mmekaa wote kwenye gari Masaa 4 mbezi beach alitumwa Kwa kazi maalumu kukushauri baadhi ya mambo kuhusu wewe na Jamaa wa VX na wanachama wa mambo fulani ukaonekana kuogopa ila alivyoondoka ukashupaza shingo tena!

Mifumo Duniani kote ipo hata Kama Serikali ipo.

Nakusihi tena usisahau kufuatilia hayo mambo ama by December 2023 tutakuja kusema habari nyingine Mdogo wangu ! Anza maisha upya nchi yeyote

Ukifika huko wala usihangaike nao uwawezi tena kwakuwa huna cheo!

Pia salimisha ile bastora umiliki wake haujahakikiwa


Britanicca
From the horse mouth...
 
Kijana ameshachelewa, alikosa washauri na bado hana washauri.... Aliamini baada ya kifo cha mzee ndugu zake kutoka nyumbani wangeshika usukani, wakafeli na usukani ukaangukia kwa wenyewe...

Wakajaribu kumtisha mama awaogope na kuwasikiliza wakiamini atakuwa anawaogopa kwa uongo wa kumtishia kiti chake na influence ya ukanda, Mama chini ya Wasaigon na Chalinze akawa strong akilindwa na wenyewe...

Vijana wa mjini wameachiwa wamkung'utishe kimyakimya kimtaamtaa kama yeye alivyokuwa akideal nao gizani, nao sasa wanamalizana naye gizani.....kwa sasa yupo kizuizini Dar es salaam.

Kosa la ndugu zetu wa kanda ile, walijioverestimate na kushindwa kufanya proper calculation ya mifumo na mizizi yake....wenzao wanastrong hold maeneo nyeti na influence kubwa maeneo hayo, lakini ndugu zetu walivimbiwa na kuchokonoa kila mahala kiasi cha kufanya sasa isemwe, "No trust to them again"

Ulitupiga fiksi kubabeki.
 
Kama alifanya kwa niaba ya muhimili uliojichimbia kuliko mihimili yote unadhani PGO itafuatwa?, haitakuwa kama ya Mbowe rais aingilie?

Na kwasababu za kisiasa ni shida maana yuko kwenye ile kambi ya mwendazake inayojulikana kama “sukuma gang”

Tofauti na Sabaya.

Keshataja kusaidiwa hadi na mkuu wa majeshi yule Mabeyo.

Keshasema JWTZ wamemsaidia sana na hata alipotumiwa “drones” na maadui zake sijui Arusha huko walimsaidia.

Siyo mtu mdogo huyo kusema utamfungulia kesi hovyo hovyo tu.
Jwtz wanasaidiaje mhalifu?

Walio kwenye kambi ya mwendazake (Magufuli) una maanisha hawagusiki?

Sabaya hakua kwenye kambi hii?
 
Ndugu nyakubonga unayo elimu kidogo kuhusu sheria au umeandika kwa kuwa ulihitimu la Saba B? Kwenye jinai parties ni Republic ndiyo plaintiff na individual ndiyo defendant. Hakuna yeyote kati ya hao mwenye capacity ya kufungua shtaka la jinai dhidi ya Makonda mpaka kw ruksa ya DPP
Hapa unataka kusema Dpp hajawahi kuzisikia hizi tuhuma kwa Makonda?

Mbona Sabaya iliwezekana, Makonda ana kinga yeyote dhidi ya jinai?
 
Back
Top Bottom