[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa ndo utuliee, ntakuporeshaa mke, afu upatee akilii[emoji1787][emoji1787] sema sa ivi nini sina kwere nawe. Upo vizuri, umeplay part yako mimi kuwa na cute wife hadi leo.
Nakupa maua yako
HellowHello darlin
Nipo hapa Chamwino Ikulu kijijini, karibu na BuigiriUnaishi kijiji gani? Maana naona hakuna unachoelewa
I have been missing you. glad to see you, haven’t seen you in a bitHellow
[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa ndo utuliee, ntakuporeshaa mke, afu upatee akilii
Ni MARIOO gani ,...tuambie wewe basi.
Weka na ka picha la evidence
Ulimsikiliza jana kwenye kipindi?Hivi kweli Marioo wa Paula atembee na Nakaaya? Ni mbingu na ardhi.
Mbwa kala mbwa hyo inaitwa ila Kwenye harusi Nakaaya alikuwepo unajua ukiwa mkubwa eeehh unakua na hekima...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan sipati picha hilo varangati lake lilikuajee.
Woiiiiih
Naweza kua nakosea pia Si mwanadamu pia...na niliwahi soma Kwenye hizo news brotherNakaaya wa 1984?? [emoji1787][emoji1787]
Jf bana, mtu anamzungumzia mtu alafu hamjui vizuri
Hakuna jipya...Tena Enzi za u turn blogSasa umbea wa Nancy na nakaaya hadi Mange alipost na watu wote wanajuaa, tenaa zamaniiiiiii. Kuna jipya lipi tenaaa??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1]Yaan wee uwajue nakaaya na Nancy kuliko Mange?? Afu hii mbna ni ya zamani sanaaa, labda hukuwa mjini badoo.
Sawa, nakaaya ni wa 1982. Miezi michache ijayo anatimiza miaka 41Naweza kua nakosea pia Si mwanadamu pia...na niliwahi soma Kwenye hizo news brother
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa ndo utuliee, ntakuporeshaa mke, afu upatee akilii
Hakuna jipya...Tena Enzi za u turn blog
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuu tutaenda gamboshiiiiUdugu unitoroshee wapi tena? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuu tutaenda gamboshiiii
Hawatuweziiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwa wachawi naogopa udugu
MI nampenda sana my NakieDah hivi hii story ya huyu Dada wa kuitwa NAKAAYA SUMARI ( Mr Politician Song) ni ya kweli? Au anaongeza na maudambwiudambwi.....
Namcheki hapa muda huu via Zamaradi tv
413
View attachment 2677599
Hawatuweziiii