Naanza kuamini Bundi kulia usiku Mahali palipo na mgonjwa ni ishara mbaya

Naanza kuamini Bundi kulia usiku Mahali palipo na mgonjwa ni ishara mbaya

Wewe ndo muongo. Humjui bundi. Msome kwenye page hii hapa chini;


Hasa kwenye vipengere hivi hapa chini

1694689486854.png

CC mamdogo Amehlo
 
Kiufundi kabsa

Bundu ni ndege mwenye uwezo mkubwa wa kunusa au kupata harufu ya mzoga Kwa uweledi na umakini mkubwa bila kukosea

Na mwanaadamu kabla ya kukata roho yaani kabla ya kufa zinaanza kufa seli zake za mwili kwanza so mwanaadamu hapo anaanza kufa taratibu taratibu mpaka anapofikia kukata roho/kutokwa na roho

So bundi anaanza kupata harufu ya seli za mwanaadamu kufa kabla ya kukata roho so anajua pahala fulani kuna mzoga na anakuja ili aweze jipatia mabaki ya mzoga ili apate chakula kwa akili yake

Kuhusu bundu na imani ya kishirikina wapo wajuzi watawajulisha
 
😂😂😂😂Duuh bundi anawinda panya😂😂😂
Utaelewa tu

Kwa taarifa yako hilo alilieleza Daktari wa Ndege na Wanyama Pori ningeweza ningemrekodi kisha ningeweka hapa umsikilize tatizo watu ni wabishi wanaweza wakabisha hata kwamba hawakutoka kwenye k..ma za mama zao

Uwe na adabu
eastern-screech-owl-catching-prey-kevin-shank.jpg
 
Kisayansi na kiroho vinakubaliana kuhusu mlio wa bundi.
Mtu ufa kiroho kwanza kabla ya kufa kimwili bundi ana sense kifo Cha mtu kabla ajafa.
Bundi anapolia ana search signal connection na mawasiliano ya kuzimu.
 
Nilishawahi kuona bundi shuleni tena juu ya mti, yupo kwenye tawi moja refu ametulia zake tu analialia mdogo mdogo, analia na kunyamaza. Nilimuangalia pale kama dakika kumi hivi, Kila nikimtishia ananiangalia tu ila ana macho Fulani hivi makali sana, then nikampotezea nikaingia darasani kusoma Sasa kesho mwanafunzi mwenzangu alianza kuumwa ghafla kwenye chumba cha mitihani, akaanza kutapika vitu ambavyo havieleweki kama vile mapovu ya maziwa Yale yanayochemshwa, kesho jamaa yangu huyo kafariki usingizini daah at 16 yrs kafa kama utani...nikafikiria kuhusu watu wasemavyo bundi akija huja na matatizo nikafikiria mbona nilishasikia milio ya bundi wengi sana Kijijini huko Kwa bibi na Babu still nothing happen...ila bundi ni symbol maalum kwenye taasisi nyingi tu duniani Hadi hizi za dini, Kuna kitu maalumu Kwa bundi inawezekana! bundi mwenyewe nafikiri Hana ubaya, ila binadamu ndo wabaya.
UONGO
 

View attachment 2748945
Huku tungekua wote tumeshakufa km ni hivyo UONGO uliotukuka

Huku Bundi usiku wanalia km wanavyolia njiwa na kunguru haya una lingine la kuniambia

Au nikwambie uje nilipo uje ushuhudie?
 
Nakujibu kisayansi:-​
  • Bundi ni ndege anayeona usiku vizuri kuliko mchana:- usiku kwake ndio mchana, na ndio muda anaotafuta chakula chake.​
  • Bundi ula ndege wadogo, mizoga n.k​
  • Bundi unusa mbali harufu ya mzoga, au kiumbe ambacho seli zake zinaoza/anakaribia kifo na kuelekea kuwa mzoga ili aweze kupata chakula​
Kwa mazingira hayo,bundi akiwa analia mara kwa mara katika mazingira fulani; tathmini wagonjwa waliopo maeneo hayo, na inawezekana baadhi yao seli zao zimeshaanza kufa katika kuelekea kwenye kifo.

Tunaweza kujiuliza, je mahospitalini bundi huwa wanalia usiku?​
 
Nakujibu kisayansi:-​
  • Bundi ni ndege anayeona usiku vizuri kuliko mchana:- usiku kwake ndio mchana, na ndio muda anaotafuta chakula chake.​
  • Bundi ula ndege wadogo, mizoga n.k​
  • Bundi unusa mbali harufu ya mzoga, au kiumbe ambacho seli zake zinaoza/anakaribia kifo na kuelekea kuwa mzoga ili aweze kupata chakula​
Kwa mazingira hayo,bundi akiwa analia mara kwa mara katika mazingira fulani; tathmini wagojwa waliopo maeneo hayo, na inawezekana baadhi yao seli zao zimeshaanza kufa katika kuelekea kwenye kifo.

Tunaweza kujiuliza, je mahospitalini bundi huwa wanalia usiku?​
Ishu ya hospitalini ni masuala ya utawala mwingine wenye nguvu
 
Back
Top Bottom