Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Wewe ndo muongo. Humjui bundi. Msome kwenye page hii hapa chini;UONGO
Unayeporoja hapa ni wewe ila hujui.Ni UONGO bundi hana hizo Mambo kinachomfanya bundi afuatilie nyumbani kwenu anawinda PANYA sio habari za mtu kufa sijui mzoga kufanya nini hizo ni porojo tu hakuna ukweli wowote
Utaelewa tu😂😂😂😂Duuh bundi anawinda panya😂😂😂
Kheee...!!!! Vipi, nyumba zisizo na panya huwa anaenda kufanya nini?Ni UONGO bundi hana hizo Mambo kinachomfanya bundi afuatilie nyumbani kwenu anawinda PANYA sio habari za mtu kufa sijui mzoga kufanya nini hizo ni porojo tu hakuna ukweli wowote
Huyu ni kima?😂😂😂Baba mzazi afu una mihemko kiasi hicho
Kheee...!!!! Vipi, nyumba zisizo na panya huwa anaenda kufanya nini?
UONGONilishawahi kuona bundi shuleni tena juu ya mti, yupo kwenye tawi moja refu ametulia zake tu analialia mdogo mdogo, analia na kunyamaza. Nilimuangalia pale kama dakika kumi hivi, Kila nikimtishia ananiangalia tu ila ana macho Fulani hivi makali sana, then nikampotezea nikaingia darasani kusoma Sasa kesho mwanafunzi mwenzangu alianza kuumwa ghafla kwenye chumba cha mitihani, akaanza kutapika vitu ambavyo havieleweki kama vile mapovu ya maziwa Yale yanayochemshwa, kesho jamaa yangu huyo kafariki usingizini daah at 16 yrs kafa kama utani...nikafikiria kuhusu watu wasemavyo bundi akija huja na matatizo nikafikiria mbona nilishasikia milio ya bundi wengi sana Kijijini huko Kwa bibi na Babu still nothing happen...ila bundi ni symbol maalum kwenye taasisi nyingi tu duniani Hadi hizi za dini, Kuna kitu maalumu Kwa bundi inawezekana! bundi mwenyewe nafikiri Hana ubaya, ila binadamu ndo wabaya.
UONGO umekaririshwa UONGOKisayansi na kiroho vinakubaliana kuhusu mlio wa bundi.
Mtu ufa kiroho kwanza kabla ya kufa kimwili bundi ana sense kifo Cha mtu kabla ajafa.
Bundi anapolia ana search signal connection na mawasiliano ya kuzimu.
Huku tungekua wote tumeshakufa km ni hivyo UONGO uliotukukaMfahamu Ndege Bundi, Tabia Zake Na Uhalisia Kuhusu Bundi
Wapendwa wasomaji wa makala za wanyamapori, na maliasili kwa ujumla awali ya yote napenda kumshukuru Mungu kunipa uhai na nafasi ya kawaleteeni makala haya yamuhusuyo ndege aina y…wildlifetanzania.home.blog
View attachment 2748945
Uongo Huwa uongo kama huna elimu kuhusu Hicho kituUONGO umekaririshwa UONGO
Ishu ya hospitalini ni masuala ya utawala mwingine wenye nguvuNakujibu kisayansi:-
Bundi ni ndege anayeona usiku vizuri kuliko mchana:- usiku kwake ndio mchana, na ndio muda anaotafuta chakula chake. Bundi ula ndege wadogo, mizoga n.k Bundi unusa mbali harufu ya mzoga, au kiumbe ambacho seli zake zinaoza/anakaribia kifo na kuelekea kuwa mzoga ili aweze kupata chakulaKwa mazingira hayo,bundi akiwa analia mara kwa mara katika mazingira fulani; tathmini wagojwa waliopo maeneo hayo, na inawezekana baadhi yao seli zao zimeshaanza kufa katika kuelekea kwenye kifo.
Tunaweza kujiuliza, je mahospitalini bundi huwa wanalia usiku?
Asife na mlimchelewesha ,mlidhani analilia jina la Babu yakeAlipelekwa hospital akafa
Mbona Mahospital hakuna hizo mambo na wakati daily wagonjwa wanapita hivi!?