Cruz David
Member
- Jul 22, 2017
- 62
- 76
Kaka vipi kuhusu pakaa, mimi kwangu kila siku, masaa yote asubuhi, mchana usiku nje kwangu analiaaa.. Nyau nyauuuuuuuuu nyau nyauuuuu,ni paka mweusi, nikimfukuza hata dakika mbili haziishi anarudi tenaa,Wajuzi naombeninmnisaidie kwa hili tafadhali