Nabii Josephat Mwingira anena Mazito kwenye Salamu za Heri ya Krismasi

Mimi nitakufa siku yoyote and I don't care, nashukuru Mungu nitakufa na dhambi lakini siyo ya kuondoa uhai wa watu wala kuzurumu watu.
Kufa leo, huna faida kwa familia yako hadi taifa
 
Mkuu The Sunk Cost Fallacy jibu hapa.
 
Hayo mambo ya ukwepaji kodi namengine uliyo yaeleza yote tulielezwa bayana na nikweli watu walifanya nchi kama ya shangazi zao.

Sasa lete ushahidi wa ufisadi wa magu na nini kinafanyika kusawazisha hayo makosamengi, sio kujifanya ujuaji wakukosoakosoa mambo ya kipuuzitu bila akili.

Miradi yote mikubwa kabisa inaendelea kama kawaida mbona hatusikii kusitishwa kwa mradi hatammoja wenye tuhuma za ubadhilifu kwaajili ya uchunguzi, acheni kujifanya wajuaji.
 
Huyu mwizi wa wake za watu na sadaka! Ati nabii! Pumbaff
Ujumbe wake uko vipi lakini? Hili lichama lazima lipigwe spana za uhakika. Wizi wa kura wa 2020 hakuwa wa dunia hii. Hadi kina Mangula na Judge Werema wanaona kuna haja ya Tume huru ya uchaguzi (Katiba Mpya).

Watanzania wote tuseme Katiba Mpya na Tume huru ya uchaguzi.
 
Kuna jambo uongozi wa juu serikalini unapaswa kufanya ili kuponya nafsi za wengi waliojeruhiwa.Kuudharau ukweli na kukaza shingo haitosaidia.
Hao wahuni wachache ni kama tone tu kwenye bahari!

Hao wahuni hakuna popote walijeruhiwa zaidi ya maslahi yao kuguswa tu basi
 
Yaani huyu Nabii kanichosha kabisa. Hivi yeye alikuwa na ugomvi gani na serikali? Au kuna jambo anajihami kama ilivyokuwa kwa mh mbowe?? Ngoja tusubiri maana tangu enzi za JK
 
Hahahaaaa........ Chadema mnachekelea!
Dah! Ni furaha iliyoje kuona kumbe hata ma ccm yenyewe yanajua kuwa jambo jema, la haki, la upendo na kweli ni la chadema na ni furaha kubwa kwa wanachadema ila kinyume chake yaani jambo baya, la dhulumati, la chuki na la uongo ni la ccm hilo na ni furaha iliyoje kwa wana ccm!!!!
 
Unamjua alie ruhusu nyumba za serikali wauziwe watumishi?, unamjua alie saini ununuzi wa hilo ferry?.
Swala la la pay master mtanzania yoyote mwenye sifa anaweza kufanya hiyo kazi.
Vyeti feki hakuna anaewalaumu wao ndio wanashinda humu kumlaani magu kwa kuwaondoa kazini maana waliingia kimagu mashi, sasa wanajiungu kuchafua kwa sababu ya chukiza maslahi.
 
Na sisi wala hatusemi katiba mpya iwepo ili iiondoe ccm madarakani la hasha. Tunataka katiba mpya ili iweke mifumo wazi, ya haki na kweli ili vyama vyote vishindane kwa usawa kidemokrasi na kile kinachokubalika kwa wananchi hata kama ni hiyo hiyo ccm ndicho kishinde. CCM kinajinasibu kuwa ni chama kongwe chenye mtandao na wafasi nchi nzima lakin cha ajabu hakitaki uwanja sawa wa kupambana na hivi vyama vichanga visivyo hata na mtandao wala wanachama maeneo mengi ya nchi!!!!!
 
Sasa wewe unajifanya unaweza kuwa na kauli za kijeuri na kifedhuli kuliko mwendasake?!!! Jifunze hata kwake, Mungu hadhihakiwi. Mwendasake alikuwa mbabe leo hii yupo wap? Achilia mbali kututolea maneno ya dhihaka na dharau kama haya kwako Sisi mpaka nyumba zetu katubomolea tumelala nje na watoto lakin bado tupo, yeye na maonevu na ubabe wake yupo wap??!!!!
 
Kwani kama amekufa ndio nini, ongea usiongee utakufatu kujadili kifo niujinga, duniani kifotu ndio kina guarantee kwahiyo hunahaja yakukiongelea chenyewe kipotu na hata huyo mwenda zake alishasema maranyingi tu kwamba atakufasikumoja acha uoga.

""Kama ulijenga kwenye hifadhi ya barabara nyumba ikabomolewa then hakuna haja ya kutoa malaana lukuki, lakini kama ulionewa tu kwa ubabe polesana ndugu namimi naumia pia kwahilo Mungu atakufanyia njia pasipo ""
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…