PharaohMtakatifu
JF-Expert Member
- Jul 3, 2023
- 713
- 1,208
- Thread starter
- #81
Ukizimia unakuwa na akri ya kupiga simu? Maana hata fahamu zikiyumba Tyr huwezi piga simu. Chai ya miembe hiyoLabda alizimia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukizimia unakuwa na akri ya kupiga simu? Maana hata fahamu zikiyumba Tyr huwezi piga simu. Chai ya miembe hiyoLabda alizimia
Na watapigwaa km ngomaaa maninaaa [emoji23][emoji1787][emoji1787]safi sana, piga wajinga hao
Kuna tapeli anaitwa Nyakia, kwa waliosoma Mzumbe University 2005-2008 watakuwa wanamkumbuka tapeli huyuMAMA YANGU MZAZI ALIFARIKI NIKAMUOMBEA AKAFUFUKA; PROPHET MALISA
"Moja ya kitu ambacho sitakuja kukisahau katika maisha yangu yote ni siku ambayo mama yangu mzazi alifariki alafu nikamuombea akafufuka, na hakufariki mara moja, ni mara tatu na zote nilimfufua"- Prophet Malisa
Hata hivyo mama mzazi wa Malisa pia amekiri kufufuliwa na mwanae huyo kwa nyakati tatu tofauti.
"Nilikuwa pekee yangu nikafariki nikampigia simu akaja kunifufua"- Mama Malisa.
Itakupasa uwe na akri mgando na utindio wa ubongo na kutokujielewa Kwa 100%ili uwakubali na kuwa elewa Hawa.
Unakubalina naye?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2832211
Unachosema nikweli tupu hata ukimzaba makofi hawezi fanya kitu yuleMuhuni mmoja tu huyo choka mbaya akawa analelewa kwa shemeji yake mpaka alipopata mganga mzuri wa kuoumbaza wajinga awatoe mpunga hana uwez wa kumlaani hata nzi
Kanisa linajaa Hadi Nje mkuuHv kuna watu wenye akili timamu wanamuamin humo kanisan???
Nilitoa kisa mwaka flani tulimpeleka dada yetu Kwa huyu jamaa ndo nikagundua ni tapeli sema kwamba Mimi nilikuwa nimegoma ila shinikizo la ndg ikatulazimu twende akaombewe asee ni utaperi mtupu Wala hakupona
Mungu wa kuchonga au Mungu yupi?Ukiamini Mungu yupo kweli, hutakiwi kukataa kuwa habari hii inawezekana kuwa ya ukweli.
[emoji23][emoji23][emoji23]Huo ni mkojo sio chai
"Nilikuwa peke yangu nikafariki nikampigia simu akaja kunifufua"
😂😂😂 kwa hii kasi , watu wanaweza kumpindua Lucifer eti?? AhahahahKwa huu uhuni! Shetani huko aliko asipojipanga vyema ataondolewa kwenye madaraka yake... Maana wafuasi wake wanafanya mambo ya hatari zaidi yake...😈
Ukishaamini Mungu yupo, simu kitu gani bwana Mungu amekuwa mpaka na quantum instantaneous communication?Kama na Mungu anasimu sawa mkuu sikatai [emoji23][emoji23][emoji23]
Kabisaa..safi sana, piga wajinga hao
Kwani Mungu gani si wa kuchonga na unathibitisha vipi si wa kuchonga?Mungu wa kuchonga au Mungu yupi?
Wewe Nyau ndio maanandugu yako hakuwa na imani, na nyie mliyempeleka hamkuwa na imani pia ndio maana hakupona.
Wanamuongelea Mungu gani? Watu wamepoteza watu muhimu mboni hakwenda kuwafufua?Kwani Mungu gani si wa kuchonga na unathibitisha vipi si wa kuchonga?
Halafu Ni well-off individuals..Hii nchi inaujinga mwingi sana aiseeeee...... nacha kushangaza, wajinga nao hawaishi.....
Hujajibu swali.Wanamuongelea Mungu gani? Watu wamepoteza watu muhimu mboni hakwenda kuwafufua?
Nabii mwenyew [emoji23][emoji23]Na bado utasikia Kuna mtu anasali hapo
Uhuru umezidi kupita kiasi,ngoja na mimi niende chato nikamfufuwe Mwendazake ili aje apunguze huu Uhuru uliozidi kupita kiasi,alafu baada hapo arudi zake kaburini!!Hii nchi inaujinga mwingi sana aiseeeee...... nacha kushangaza, wajinga nao hawaishi.....