Nachukia sana masikini

Huyo kijana anaota, goja amalize kujikokolea kwenye njozi yake.. ataukimbia Uzi wake πŸ˜…πŸ˜…
Halafu hana adabu mshenzi huyuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.
Unamueleza ukweli anakwambia eti "tafuta hela".
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hivi JF hakunaga party ya kukutanisha members wa JF!?
Maana niliwahi skia sijui kuna white party.
 
Tafuta hela hizi kelele zote zitakua hazikuumi
 

Sisi kitu kinachotugharimu ni uvivu. Kukosa plan na commitment katika maisha ni changamoto kubwa sana kwa watu wanaoishi Afrika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…