Nachukizwa na wanaomuita mwanangu Zuchu

Acha Kumind vitu vidogo vidogo baba,Ukichukia na watu wakajua kuwa Hupendi Jina litakua sana.Ukichukulia poa linapotea fasta.
Mwanzo niliona ni kawaida tu lakini kila nikimtazama huyo zuchu mwenyewe, nazidi kukosa furaha kwani hafai kabisa kufananishwa na mtoto wangu
 
from umulkheiri to Bob Manson, historia ya majina inafuata mkondo πŸ’
 
Et zuchi
 
Sawa baba Zuchu tutawakanya Hawa watu wa mtaani
 
Kumuita sio kwamba yeye ndo atavaa au atakuwa na maudhui kama aliyonayo zuchu, nafikiri wanamuita Kwa maana nzuri tu...pengne ni mzuri hvo
 
Kumuita sio kwamba yeye ndo atavaa au atakuwa na maudhui kama aliyonayo zuchu, nafikiri wanamuita Kwa maana nzuri tu...pengne ni mzuri hvo
Huwenda wana maana ingine, lakini hili jina limebeba picha isiyo na misingi ya maadili mazuri
 
Umulkheiri ndyo nani huyo mkuu?
sorry nimekosea,

jina lako halisi la meanzo ni nani kabla hili la Bob Manson ulilopata hivi majuzi? ili tuweze kueleweshana msingi wa kurithishana haya majina kama familia πŸ’
 
sorry nimekosea,

jina lako halisi la meanzo ni nani kabla hili la Bob Manson ulilopata hivi majuzi? ili tuweze kueleweshana msingi wa kurithishana haya majina kama familia πŸ’
Hata nyumbani wananijua kwa Bob Manson, Ila wanafupisha tu wananiita Bob πŸ˜‚
 
Poa mama zuchu
 
Sasa Baba Zulfa si uwakataze, usikute limeanzishwa na mama yao, shangazi au mama zake wadogo
 
Ni kimtazamo tu wengi Huwa wanaitwa zuchu juu ya uzuri walionao,huyo sifikirii wanamuita Kwa maana tofauti inategmea pia na umri wake
Umri bado ni mdogo sana, miaka 2
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…