unajua hospital ya muhimbili ilikua inaitwa Muhi Muhi zamani, jamii ya waliyo wengi wakaibadili Muhi Muhi kuwa rahisi rahisi kidogo ndio ikaitwa Muhimbili...Hata nyumbani wananijua kwa Bob Manson, Ila wanafupisha tu wananiita Bob π
Kumbadilisha jina tofauti na jina halisi huo sio uungwana kabisahata mwanao just,
waliowengi wameona wambadilishie tu ili atambulike kirahisi miongoni mwao π
muite ZuwenaHabari za wakati huu waungwana..
Mitaani kumekuwa na tabia ya kuwaita watoto wa kike jina la ZUCHU, hasa kwa wale ambao majina yao yanaanzia na herufi 'Zu'
Mwanangu anaitwa Zulfa, sasa wanamuita ZUCHU kitu ambacho mimi kama mzazi sipendi kwani sio jina nililompa mwanangu.
Wakati mwingine nawaza kubadili jina na kutafuta jingine lakini siwezi kwani Zulfa ni jina ninalo lipenda.
Ujumbe wangu ni kwamba, sio vizuri kutunga na kuwapa majina watoto wa watu ambao wana majina yao halisi, hasa kuwapa majina ambayo hayana picha nzuri upande wa maudhui na maadili.
Habari za wakati huu waungwana..
Mitaani kumekuwa na tabia ya kuwaita watoto wa kike jina la ZUCHU, hasa kwa wale ambao majina yao yanaanzia na herufi 'Zu'
Mwanangu anaitwa Zulfa, sasa wanamuita ZUCHU kitu ambacho mimi kama mzazi sipendi kwani sio jina nililompa mwanangu.
Wakati mwingine nawaza kubadili jina na kutafuta jingine lakini siwezi kwani Zulfa ni jina ninalo lipenda.
Ujumbe wangu ni kwamba, sio vizuri kutunga na kuwapa majina watoto wa watu ambao wana majina yao halisi, hasa kuwapa majina ambayo hayana picha nzuri upande wa maudhui na maadili.
Jina la mdoliPole mwaya,
Hata ningekuwa mimi hapana aisee!
Jina la kihuni?! πππ
Kama waliompa hilo jna mwanao wako humu amini kwamba ujumbe umewafikiaHabari za wakati huu waungwana..
Mitaani kumekuwa na tabia ya kuwaita watoto wa kike jina la ZUCHU, hasa kwa wale ambao majina yao yanaanzia na herufi 'Zu'
Mwanangu anaitwa Zulfa, sasa wanamuita ZUCHU kitu ambacho mimi kama mzazi sipendi kwani sio jina nililompa mwanangu.
Wakati mwingine nawaza kubadili jina na kutafuta jingine lakini siwezi kwani Zulfa ni jina ninalo lipenda.
Ujumbe wangu ni kwamba, sio vizuri kutunga na kuwapa majina watoto wa watu ambao wana majina yao halisi, hasa kuwapa majina ambayo hayana picha nzuri upande wa maudhui na maadili.
Bora zuchu watamwita zuwena akili yako itakaa sawaHabari za wakati huu waungwana..
Mitaani kumekuwa na tabia ya kuwaita watoto wa kike jina la ZUCHU, hasa kwa wale ambao majina yao yanaanzia na herufi 'Zu'
Mwanangu anaitwa Zulfa, sasa wanamuita ZUCHU kitu ambacho mimi kama mzazi sipendi kwani sio jina nililompa mwanangu.
Wakati mwingine nawaza kubadili jina na kutafuta jingine lakini siwezi kwani Zulfa ni jina ninalo lipenda.
Ujumbe wangu ni kwamba, sio vizuri kutunga na kuwapa majina watoto wa watu ambao wana majina yao halisi, hasa kuwapa majina ambayo hayana picha nzuri upande wa maudhui na maadili.
Wazae watoto wao wawaite hivyoWamuite zuzu
Ni Baba Zulfa sio zuchuBaba zuchu
Hakika ujumbe umefikaKama waliompa hilo jna mwanao wako humu amini kwamba ujumbe umewafikia
Akili yangu ipo sawa mbona, ila wananiudhi tu na hilo jinaBora zuchu watamwita zuwena akili yako itakaa sawa
Hahahahaha..ila safi sana unakua unajulikana kupitia jina la utani la mtotoNi Baba Zulfa sio zuchu
Alaf tatzo na mimi wananiita Baba zuchu, yani hapo ndipo wananivuruga kabisaHahahahaha..ila safi sana unakua unajulikana kupitia jina la utani la mtoto