Gaza wanaonewa miaka mingi, Gaza ni vita kati ya wayahudi na Wapalestina baada ya suluhu kushindwa na Palestina kunyamganywa ardhi yaoBinadamu tupunguze unafiki. Wewe kaka sijuoi baba Malaria 2 mimi nawewe, tunawasapoti Gaza, wakirusha mawe, wakivamia Israel. Je hiyo ni njia nzuri ya wao kupata Uhuru wao?
Why TAL akipaza sauti unamgeuka sababu tu unaipenda ccm? Acha kuwa kigeugeu. Ukipenda haki basi iwe kwa wote. Siyo unawatetea hawa sababu ya hiki, na hutetei hawa sababu ya kile. Zaidi huwezi linganisha siasa za miaka 10 kushuka chini na za sasa na kuendelea. Mifano yako haingii hapa.
Kweli hela za mama Abdul zimempofusha huyu chizi
Walionufaika na pesa za mama Abdul hawawezi eleza uzi kama huu mkuu
Id haijavamiwa bali akili imevamiwa na hela za mama AbdulWith all do respect hakuna fact yoyote ume list hapa, umejaza mashahiri tupu
Au id imevamiwa nini?
Wewe UWT huku hakukuhusu, hivi wewe chawa uliyeanza kwa uchawa na kutoa namba yako upate teuzi lakini ukaonekana chizi. Hivi kati yako na Lissu unaweza kweli ukajiona una akili?Ipo siku mtanielewa na kububujikwa sana Machozi pale mtakapokuja kujua ukweli wa yale nayowaambia juu ya Uropokaji ,ukurupukaji na Mihemuko ya Lissu
Itakuwa malaria imepanda kichwani ni janga.1. Mandela alifungwa na makaburu lkn hakuwahi kulaumu Anc kwamba kina hongwa na makaburu ijapokuwa hilo halikukosekana
2. Nyerere alienda vuzuri na masheikh ijapokuwa mwisho tumeelezwa na Mohammed said, hii ilikua mwisho baada ya kuwa Rais
3. Maalim seif , licha ya kumuona lipumba msaliti lkn hakuenda nae hivyo hivyo kibabe mpaka kupatikana serekali ya mseto.
Lissu anadhani anaweza kuindosha ccm kwa kelele na hasira? Hakuna duniani kumuondoa mtawala kwa njia ya Lissu. Mwisho unaweza kuingia uchizi kila mmoja ukamuona kwako adui.
Waliokaribu na lissu wamshauri, siasa sio hasira, siasa ni akili na maarifa
Or more than personality, could it be crusade maybe?The way Lissu is behaving is beyond politics. Something is behind the doors. It is not about CDM chairmanship. It is about personalities.
Kumbe wewe hilo ndo umeligundua leo? Sie wenzio vionambali tulishaliona zamani tu!All these boil down to one cause: Kuna nati fulani kwenye ubongo imelegea. Inahitaji kukazwa.
Nakuonaga kama mtu sensible kumbe uko hivi. Sasa ya kulamba! miguu kutoka kwa mtu mwenye akili timamu kunatoka wapi? Umejibu hoja?
Wewe unajua namlamba nani miguu, acha kumsinguzia Mbowe.
Nampenda, namheshimu, namwamini Lissu. Lakini 'anavyo-behave', karibu nitasema hafai kuwa kiongozi hata kata.Kwa mtu mwenye akili timamu hawezi ku behave kama anavyo behave Lisu.
Kama kutafuta cheo ndiko huku, hafai kwa lolote.
Hakuna pungufu kubwa kama kukosa kaba ya Ulimi!
Hakuna kosa kubwa kama KUROPOKA.
Hakuna kosa kubwa kama kukosa shukrani
All these boil down to one cause: Kuna nati fulani kwenye ubongo imelegea. Inahitaji kukazwa.
Lisu is coming aggressive supreme of POWER
PumbavuKwa mtu mwenye akili timamu hawezi ku behave kama anavyo behave Lisu.
Kama kutafuta cheo ndiko huku, hafai kwa lolote.
Hakuna pungufu kubwa kama kukosa kaba ya Ulimi!
Hakuna kosa kubwa kama KUROPOKA.
Hakuna kosa kubwa kama kukosa shukrani
All these boil down to one cause: Kuna nati fulani kwenye ubongo imelegea. Inahitaji kukazwa.
Lisu is coming aggressive supreme of POWER
Kwa mtu mwenye akili timamu hawezi ku behave kama anavyo behave Lisu.
Kama kutafuta cheo ndiko huku, hafai kwa lolote.
Hakuna pungufu kubwa kama kukosa kaba ya Ulimi!
Hakuna kosa kubwa kama KUROPOKA.
Hakuna kosa kubwa kama kukosa shukrani
All these boil down to one cause: Kuna nati fulani kwenye ubongo imelegea. Inahitaji kukazwa.
Lisu is coming aggressive supreme of POWER
Yaani kamanda unamuamini mtu anayetaka kuaminisha dunia kuwa alipigwa risasi zaidi ya ishirini na eti hazikumuua; kweli?π...Kama kutafuta cheo ndiko huku, hafai kwa lolote...
Hapana, Mimi ni chadema damu na mwanasiasa niliyekuwa namopenda ni Lisu. Favorite politician for that matter. Recent developments on his side zimenikata maini na kunikatisha tamaa kabisa. Mtu mwenye akili huwezi kuua taasisi inayokupa heshima uliyonayo. VUF na vyama vingine binaanzaga na migogro hivi hivi. Sasa msomi kama Lisu asipolioma hilo akalewa sifa za mitandaoni, akamdharau aliyemfanya awe hai hadi leo, sina sababu ya ku side naye.Sasa hivi Retired akiweka bandiko unashindwa kuelewa nini kimetokea....ni hili la kumpambania Mbowe tu....au kuna kitu kingine
Nambie kwanini umenitukana. Pumbavu inatoka wapi? Nimetukana wapi? Kosa langu ji nimi?Pumbavu
Ccm ni mali ya Samia? Is that true? Mnafurahi kuwa Mbowe may be atashindwa maana sumu yenu ni MboweTatizo Wachagga wa vijijini kama wewe mnaamini Chadema ni Mali ya Mtei πππ
Pumbavua sio tusi , angalia kamsi vizuri ,then nitakuja kukuomba msamahaNambie kwanini umenitukana. Pumbavu inatoka wapi? Nimetukana wapi? Kosa langu ji nimi?
unanitukana baba yako, muulize mama yako kama sitimizi wajibu
Kwaheri na Christmas mbaya kwako na familia yako