KateMiddleton
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 3,883
- 4,676
Kujisaidia sio ajabuSasa hapo cha ajabu nini?
Kujisaidia au kujisaidia mbele yake.
Hayo ndo mahaba
Kujisaidia sio ajabu
Il mbele ya mwenzio ndo ajabu hasa haja kubwa..ndogo sio issue
mahaba gani kusikiza harufu mbaya?
wengine u flush as soon as u poop na kupuliza air freshener kabla mwenzio hajatumia...ni ustaarabu wa kibinadamu tu
unawezaje jisaidia mbele ya mtu?.!
Havina harufu mbaya na ni starehe ya woteMbona mnalala KITANDA kimoja na kuchezeana nyeti zenu?
na maji mnamwagiana mbona hamuoneani aibu?
Havina harufu mbaya na ni starehe ya wote
hii ni kero kwa mwingine
So huwa unajisaidia mbele ya mwenzio?Basi haujampenda
Wewe ni mme wake, anakuchukulia Kama mwili wake, wewe ndio yeye(reflection), endapo angefanya mbele ya jamii nyingine tofauti na wewe ndo ingekuwa storyMambo zenu wakuu?
Mke wangu hana mshipa wa aibu kabisa. Mwanamke huyu kwanza anaweza akajamba mbele yangu, leo asubuhi niko naoga bafuni kaja kachuchumaa akaanza kujisaidia haja kubwa mbele yangu.
Binafsi nimeshangaa sana kwa sababu anafanya some issues ambazo binafsi I can't do.
Kabisa mkuu umenena mwanamke usikubali mwanaume kuuzoea mwili wako!Halafu mnakuja kusema ohhh mume wangu hana nguvu za kiume, mwanamke lazima uwe romantic hata kama mumeo mambo mengine ni private bidhaa lazima iwe well packed hata mteja anakuwa na hamu nayo sasa ukijiachia kupitiliza inakuja kuwa hakuna jipya kwa mume atakuja kukuona kama mmasai hivi. mke vaa vizuri kwa mumeo vitu vingine mfichie mpaka anakuwa na hamu na wewe. Hii ni chanzo kimoja wapo cha nguvu za kiume kupungua.
Mke wako akitoka kujisaidia haja kubwa af akwambie umnyonye tigo utakubali??Alafu hiyo , kizungu ndiyo inaitwa, "love chemistry".....!
LOVE CHEMISTRY
Ni hali ya kupendana na kuwa wazi kwa kila mmoja wenu, au kuaminiana kwa kila jambo katika mahusiano yenu ya kindoa au kimapenzi.
Hakuna tofauti sana na wale wanaofikia hata kunyonyana sehemu za siri ikiwepo ," Tigo"....
Mkifika kwenye kiwango cha LOVE CHEMISTRY, basi maisha yenu ya ndoa ujue ni matamu ni paradiso.
Kwahiyo mke au mume kujisaidia haja kubwa mbele ya macho ya mwenzi wake ni jambo la kawaida kwa wale wenye mapenzi ya dhati.
Hata kujamba mbele ya mwenzi wako ni jambo la kawaida mbele kwa wenye mapenzi ya dhati( kweli).
MUNGU atusaidie tuwe na wake na waume waaminifu kwenye ndoa na mapenzi ya dhati.
Khe..Mimi na mume wangu hatuna aibu, tunajamba muda wowote mtu akijisikia, hata kupuu haina shida mmoja wapo akiwepo.Mambo zenu wakuu?
Mke wangu hana mshipa wa aibu kabisa. Mwanamke huyu kwanza anaweza akajamba mbele yangu, leo asubuhi niko naoga bafuni kaja kachuchumaa akaanza kujisaidia haja kubwa mbele yangu.
Binafsi nimeshangaa sana kwa sababu anafanya some issues ambazo binafsi I can't do.
Huchoki![emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Labda ndoa yao ina wiki mbiliKuna cha ajabu hapo mzee? Au wewe mgeni kwenye kuishi na mwanamke?
[emoji23][emoji23]Khe..Mimi na mume wangu hatuna aibu, tunajamba muda wowote mtu akijisikia, hata kupuu haina shida mmoja wapo akiwepo.
Tatizo ni wewe.