Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Nenda kanunue Keko DDC. Mbagara jau.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu, nifafanulie kwanini jau?Nenda kanunue Keko DDC. Mbagara jau.
kama huwezi kuendesha unakodi guta unaelekea stendi ya basi za kwenda Iringa unalipia mzigo unabaki na tiketi yako( ushauri kama utatumia basi tumia kampuni zenye huduma bora usipakie kwenye kampuni zinazopumulia mashine maana hata wakiiharibu au chochote kikitokea watakuzungusha sana)Kwa dar siwezi endesha mkuu wala sina huo ujanja wataniua
Vip aboodkama huwezi kuendesha unakodi guta unaelekea stendi ya basi za kwenda Iringa unalipia mzigo unabaki na tiketi yako( ushauri kama utatumia basi tumia kampuni zenye huduma bora usipakie kwenye kampuni zinazopumulia mashine maana hata wakiiharibu au chochote kikitokea watakuzungusha sana)
Siku hizi hiyo ni biashara kubwa. Na hizo ofisi zinafahamiana vizuri tu. Kila la kheri mkuuFresh sema sina imani kama wapo OFFICIAL
Vip abood
How mkuu?Hongera mkuu. Kuwa makini high Speed kills
Shukurani wewe upo wap? Nikupe ya soda hahah jokesSiku hizi hiyo ni biashara kubwa. Na hizo ofisi zinafahamiana vizuri tu. Kila la kheri mkuu
Ila kutoka mbagara adi shekilango sijui si mbali sanani vyema ukifika dar uwacheki kwanza ili uwe na uhakika.
huna mwenyeji huko au mtu unayemuamini, mkatoka hapo wanapouzia akakusindikiza(akuendeshee) mpaka Shekilango.Ila kutoka mbagara adi shekilango sijui si mbali sana
Yupo ila sijui kama anaweza endesha chuma maana jamaa ni muuza nyama Buchanhuna mwenyeji huko au mtu unayemuamini, mkatok hapo wanapouzia ukakusindikiza(akuendeshee) mpaka Shekilango.
Karibia kila weekend lazima nifike katika hizi ofisi mkuu🤣, soda tunafata masharti ya janabiShukurani wewe upo wap? Nikupe ya soda hahah jokes
Vip bei zao jamaaKaribia kila weekend lazima nifike katika hizi ofisi mkuu🤣, soda tunafata masharti ya janabi
akusindikize(kwanza atakusaidia wasije wakakuzonga ukauziwa mbuzi kwenye gunia au wakakutyme wakupore) alafu mtaomba hapo ofisini mnaponunulia awape kijana awapeleke shekilango, Dar hakishindikani kitu ni hela yenu tu.Yupo ila sijui kama anaweza endesha chuma maana jamaa ni muuza nyama Buchan
Hua nawaza jamaa wana pikipiki kama zote hua wanazitoa wap sijui japo wanasema ziko full registeredakusindikize(kwanza atakusaidia wasije wakakuzonga ukauziwa mbuzi kwenye gunia au wakakutyme wakupore) alafu mtaomba hapo ofisi mnaponunulia awape kijana awapeleke shekilango, Dar hakishindikani kitu ni hela yenu tu.
Mimi Kuna wakati nadhani ilikuwa tarehe 1 August nilienda Mbagara kununua pikipiki used nikakutana na usenge nikaenda Keko nikapata pikipiki nzuri kwa bei nzuri.Sawa mkuu, nifafanulie kwanini jau?
Hahaha, pole babu, ko kule keko zinawaka bei ganiMimi Kuna wakati nadhani ilikuwa tarehe 1 August nilienda Mbagara kununua pikipiki used nikakutana na usenge nikaenda Keko nikapata pikipiki nzuri kwa bei nzuri.
Mbagara madalali wengi.
Keko unanunua kwa mhusika direct
Kumsingi tofauti sio kubwa maana pikipiki hizo unauza au kununua kwa madalali ambao ndo wanashinda/wanafanya kazi kwenye hizo ofisi mkuuVip bei zao jamaa
Dar ndo soko la pikipiki used zipo sana maana Bodaboda ndo biashara ilipo kubwa so wakimaliza mikataba wanaziuza kwa hao madealer alafu madelear wanaziuza tena kwa wateja wanaoshindwa kununua mpya wanataka za used.Hua nawaza jamaa wana pikipiki kama zote hua wanazitoa wap sijui japo wanasema ziko full registered