jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
And now we know where the real power is.Hao nanabii wenu ni vile tu mmefungwa macho na ufahamu lakini kutwa kuchwa usiku na mchana ni vikumbo kwa waganga.
Nimekuuliza ulishawahi kutumia akili,yaani unajua akili inatumikaje!?..swali jepesi,jibu ikiwa Kama mtu mwenye akiliTatizo lako kiwango chako cha ujinga na upumbafu kimevuka viwango...yani upo beyond repair.
Waumini wote wa dini ni makondoo wa maandiko wanayoyafuata.
#MaendeleoHayanaChama
Sefuri ndiyo nini!?And now we know where the real power is.
Mana hawakufika huko bure bure...waliona huku waliko ni maneno ma tupu ila vitendo sefuri.
#MaendeleoHayanaChama
Ngumu sana kutenganisha mashehe na ulozi..ngumu sana.
#MaendeleoHayanaChama
So anaenda kuiroga dunia au shetani na siyo mtu?Anaenda kuweka mambo sawa. Mbona hamumuelewi? Harogi mtu [emoji1][emoji1][emoji1]
😂Mkuu mbona unakazia sana kuhusu kuweka mambo sawa ,tuambie japo kiufupi tofauti au faida uliyopata baada ya kumtumia shekh na before hujamtumia ilikuwaje?Ukisoma wewe peke yako inatosha acha mimi niweke mambo yangu sawa, binadamu wabaya sana.
Kila mtu ashikilie anachokiamini,Wabongo tunatishana sana..hizi kauli zimefanya wengi wasifikie ndoto zao kwa vitisho kama hivi.
Sawa sawa na kumwambia tu asifanye jambo eti atakufa..kwani kuna mtu amekuja kulinda dunia.?
#MaendeleoHayanaChama
Acha uendelee kuwa mtumwa wake,akihitaji kula kuku anachomoa waya tu anajua utarudi tu na ukifika anaconnect tena.....anakuvizia tena baada ya miezi kadhaa akiwa hana hela...... utakuwa mtumwa miaka nenda rudiSiyo kwa ubaya ndugu zangu, misumari ni mingi sana, ukiweka japo kabiashara kako sehemu ili kakusaidie wewe na familia yako ikianza tu kuchanua kuna viherere wanajifanya kuizima.
Sasa nikasema dawa na mimi ni kutembea, simlogi mtu ila naweka mambo sawa, nailinda biashara yangu. Kwani kuna ubaya ndugu zangu?
Ukiwa Mkristo kuna namna ya kuilinda biashara yako bila hata kwenda kwa Shekhe au mganga.Siyo kwa ubaya ndugu zangu, misumari ni mingi sana, ukiweka japo kabiashara kako sehemu ili kakusaidie wewe na familia yako ikianza tu kuchanua kuna viherere wanajifanya kuizima.
Sasa nikasema dawa na mimi ni kutembea, simlogi mtu ila naweka mambo sawa, nailinda biashara yangu. Kwani kuna ubaya ndugu zangu?
Kwahiyo usipoenda kwa mganga unaishi milele haufi?Huwa wanaanza hivyohivyo.Mwisho masharti ya mganga yanawashinda hadi wanakufa.Chunga sana.
ala!! kumbe mashehe ni wachawi???...du!!!!,kwa ivo waislam ni wachawi!!!,,,,,anagalia wewe jamaa,utakatwa shingo!! shauri yako....ngoja wapige"TAKBIIIIR!!! kama kichwa hakijadondoka chini.Siyo kwa ubaya ndugu zangu, misumari ni mingi sana, ukiweka japo kabiashara kako sehemu ili kakusaidie wewe na familia yako ikianza tu kuchanua kuna viherere wanajifanya kuizima.
Sasa nikasema dawa na mimi ni kutembea, simlogi mtu ila naweka mambo sawa, nailinda biashara yangu. Kwani kuna ubaya ndugu zangu?
Siyo kwa ubaya ndugu zangu, misumari ni mingi sana, ukiweka japo kabiashara kako sehemu ili kakusaidie wewe na familia yako ikianza tu kuchanua kuna viherere wanajifanya kuizima.
Sasa nikasema dawa na mimi ni kutembea, simlogi mtu ila naweka mambo sawa, nailinda biashara yangu. Kwani kuna ubaya ndugu zangu?
Kwa hio wazinzi, waasherati na wafiraji wataurithi ufalme wa MUNGU? HUYU PAULO MBONI KM SIMUELEWI
Mbona kama vile unachochea kuni ili moto uwake vizuri kwa wafia dini wa mnyaazi mungu [emoji848][emoji16]ala!! kumbe mashehe ni wachawi???...du!!!!,kwa ivo waislam ni wachawi!!!,,,,,anagalia wewe jamaa,utakatwa shingo!! shauri yako....ngoja wapige"TAKBIIIIR!!! kama kichwa hakijadondoka chini.