Nafasi ya Kazi Ubalozi wa Uingereza, Mshahara Milioni 5.3 kwa Mwezi

Sasa si wamechunguza wameona hio pesa ndio mnastahili kwa akili zenu zilivyo fupi. 🤣 Maana scale za mameneja wa ofisi za serikali nyingi ndio zinachezea humo humo.

Kimsingi huwezi kuta mzungu analipwa hela ya kijinga humo. Ni sisi tu ngozi nyeusi tunabaniana.
 
Hadi 2011 Mwezi wa 11 ulikuwa huna kazi, umeomba kazi ukawa waulizia Interview lini kuwa hali ni mbaya mtaani na wategemewa na familia.
Sasa iweje useme ulikuwa umeajiriwa 2008?
 
Hadi 2011 Mwezi wa 11 ulikuwa huna kazi, umeomba kazi ukawa waulizia Interview lini kuwa hali ni mbaya mtaani na wategemewa na familia.
Sasa iweje useme ulikuwa umeajiriwa 2008?
Ogopa Mungu na Technology.
Jamaa ana sound za kitapeli!!
 
Huyu hadi 2015 anaulizia interview.
Huwezi kuwa kwenye mshahara wa 3.9mil afu waulizia interview ya Agakhan, Mara NAOT, mara Heifer, DANIDA
Umeona sasa, halafu hapa analeta nyenyenye...
mtu yeyote humu mtandaoni anayetaja Mshahara wake, jua tu ni limbukeni...
 
Huyu hadi 2015 anaulizia interview.
Huwezi kuwa kwenye mshahara wa 3.9mil afu waulizia interview ya Agakhan, Mara NAOT, mara Heifer, DANIDA
Basi sawa huyu Mwamba Mwana Mnyonge ni Mnyonge kweli.

Endelea, kupambana mkuu unaweza toboa tu ila usijikuze sana utakosa fursa zilizo kwenye hadhi yako.

Anyway chance hiyo kwenye Tangazo, endapo utahitaji msaada namna yakujaza hizo essay kwa ufasaha usisite kuomba msaada.
 
Huyu hadi 2015 anaulizia interview.
Huwezi kuwa kwenye mshahara wa 3.9mil afu waulizia interview ya Agakhan, Mara NAOT, mara Heifer, DANIDA
Boss umeshinda nilikuwa Sina kazi na sijawahi kuajiliwa bado natafuta kazi
 
Bosi nilipofikia sio wa kuomba kazi kwa mtu hiyo kitu nilishaacha kitambo sana hata vyeti sijui vipo wapi
 
Mi nimeamua kufatilia profile yake nikaona mengi.

Maana mwisho nimeona anasema ana mtaji wa 15mil anataka aanze duka la spare.
Unajua ilikuwa mwaka gani huo naanza spare na Sasa hivi unajua Nina biashara gani ,endelea kukalili hivyo hivyo
 
Huyu hadi 2015 anaulizia interview.
Huwezi kuwa kwenye mshahara wa 3.9mil afu waulizia interview ya Agakhan, Mara NAOT, mara Heifer, DANIDA
Kaka mbona haujasema kuhusu Oxfam gb wakati pia niliwahi kuulizia hiyo 2011,vipi kuhusu WWf mbona pia haujasema hiyo nayo 2011 ,vipi kuhusu board ya mikopo,vipi kuhusu pspf umeongelea za national audit ambayo pia ilikuwa 2011,

Issue Ni hivi nipo kwenye game ya ajira kitambo but ajira kwa Sasa sio sehemu yangu ,
Nilimtafuta mtaji nikapata nikaachana na ajira ,na Kama umefatilia profile yangu najua utakuwa unaelewa status yangu
 
Umepita kwenye hivyo vi NGO ndio maana umekariri mengi
 
Hawa jamaa ndowanaongoza kwa mishahara mikubwa na posho za kufa mtu hapa nchini kwetu
 
Hii kazi inamfaa January Makamba na Degree yake Conflict Resolution huku kwa Uwaziri ni oversized!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…