proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 6,814
- 10,104
hapo bado hujalipa kodi na house rent maji na umeme nakula kwa pale uingereza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niajiri nilale na Aliyekuzaa ili uridhike.GENTAMYCINE , omba nafsi hyo ya kazi ,Kama umeshundwa ile ya u lecture
Uko poor kidogo kwenye kazi za aina hii.Sasa hata deductions haujui then umekaza shingo ,kwa huo uwelewa sijui shule ulienda kufanya nini,
Majukumu huwa yanakuwa hivyo siku zote.Nimesoma vizuri hayo majukumu, ni makubwa sana kuliko hiko kipato, hapo jamaa wanatafuta cheap labour
Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
Narudia acha kukariri mambo.Tatizo haujawahi kufanya Kazi kwenye hizo international organization , international organization like usaids,uk, embassy, refugees council,UN agency , world banks,imf, and other like hizo terms zao huwa hazitofautiani Sana ndio maana narefer Sana kwenye NGO,na Ni very simple kumove within those organization sababu Mara nyingi donors wa funds Ni hao hao
Hiyo nilioattach Ni baadhi ya maelezo ya hiyo kazi Sasa Kama haukwenda shule kuuza maandazi utaelewa Kama hiyo position Ina deductions au mshahara Hauna deductionsUko poor kidogo kwenye kazi za aina hii.
Sema umekariri vitu vingi.
Hapo juu ulianza kusema NGO NGO...
Sasa nakwambia hizo deduction zako utabaki nazo huko huko.
Maana yake wewe walipwa kuzidi hiyo pesa tajwa?Ngoja nikupe elimu kidogo,kwenye hizi international NGO,kwa mtu ambaye Ni budget holder like kwenye hiyo position huyo candidate atakuwa ana manage almost more than 12B Tsh sio pesa kidogo, yapitie hayo majukumu vizuri utaelewa kwenye NGO mshahara wa 5m Ni wa kawaida Sana.tatizo haujawahi kuwa na mshahara unaoanzia 6 digits .
Nakupa shule nyingine hiyo position wasingeweka hiyo salary grade wangepokea maombi mengi Sana, but kwa kuweka hiyo grade inalimit watu kuomba kwa huo mshahara hawezi kupata hata project manager kutoka Ngo Kama ,care international,pact,path,plan international and other ngos kuomba sababu hiyo salary
Narudia Tena mshahara wa 5m kwenye international organization Ni mshahara wa chini sana
Poa.Hiyo nilioattach Ni baadhi ya maelezo ya hiyo kazi Sasa Kama haukwenda shule kuuza maandazi utaelewa Kama hiyo position Ina deductions au mshahara Hauna deductionsView attachment 2605086
Watu mwajuaje mishahara ya watu?Ndio point yangu mkuu, tena hao TCRA niliwasahau aisee, kuna dogo alikuwa anakunja 4m kipindi cha magu, hakuwa hata kwenye supervisory position, sasa kaachiwa kitengo, sijajua bado ana pocket kiasi gani.
Hazina huko, Meal allowances ni 750k
Njaa kali tu!!Maana yake wewe walipwa kuzidi hiyo pesa tajwa?
Nilikuwa napokea 3.9M 2014 plus telephone allowance and other allowance,note hiyo Ni ,2014 leo 2023 hauwezi kunilipa hicho kiasi actually nilishaachana na ajira rasmi 2018 ,wakati naacha hiyo ajira yangu my salary Gross was 6.7MMaana yake wewe walipwa kuzidi hiyo pesa tajwa?
Kaka hautajali nataka nikupe ajira kwa miezi sita tu then ujue tupo tofauti sanaNjaa kali tu!!
Vijana ukiwaambia hawawezi kuelewa hiyoMbona mshahara mbuzi hivyo
Sio poa umeelewa hayo maelezo au unataka tafsiliPoa.
Employees who are not liable to pay local income tax on their Mission salary may have their salaries reduced by the equivalent local income tax amount.Poa.
Sasa hapo huo mshahara una deductions au HaunaEmployees who are not liable to pay local income tax on their Mission salary may have their salaries reduced by the equivalent local income tax amount.
Tafsili isiyo rasmi
Kama haupo kisheria kulipa Kodi ya mapato ya ndani kutoka kwenye huo mshahara Basi mshahara wako utapunguzwa mfanano na hizo Kodi za ndani ,means Kama makata ya ndani ambayo ulitakiwa kulipa Ni laki Saba bus mshahara wako utapunguzwa kutoka 5.3M to 4.6m