Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea kukalili kaka ,nimekwambia 2014 nilikuwa napata hicho kiasi by the way Sina mshahara kwa Sasa hivi but najipa gawio kila mwisho wa mwaka plus allowance ukisema najisifia pia Ni sawa na Nina vijana wakutosha ninao walipa mishaharaSasa unakua muongo jombaa.
Serikali za wenzetu huwa wanaweka wazi Mishahara, Na hiyo sio Organization ni Government Institution(department), hata Wamarekani wanafanya hivyo pia.
So acha kujiproud huo mshahara haunaaa...
Endelea kufikiria hakuna unachokijuaInategemea na Balozi mkuu, kuna ambao janjajanja hakuna mfano hawa U.k au U.S embassy hasa US. pale hata kama unajuana na Balozi huwezi kuingia kijanja janja.
Tatizo haujawahi kufanya hizo kazi Ni ngumu kuelewa kumanage budget ya USD 5.3M sio kazi ndogo brotherHapo kuna ukubwa gani wa Kazi Mkuu.
Working Hours ni 36 per Week??
So hata paye hawakati?,ndio maana nimekwambia hakuna unachokijua hiyo sio international post brother lazima paye wakati,loan board lazima wakati plus nssfHawana makato zaidi ya NSSF
Ngoja nikupe elimu kidogo,kwenye hizi international NGO,kwa mtu ambaye Ni budget holder like kwenye hiyo position huyo candidate atakuwa ana manage almost more than 12B Tsh sio pesa kidogo, yapitie hayo majukumu vizuri utaelewa kwenye NGO mshahara wa 5m Ni wa kawaida Sana.tatizo haujawahi kuwa na mshahara unaoanzia 6 digits .Inasikitisha bado kuna watu wanasema hiyo 5.3M ni kidogo.
Huyo Mwalimu anayelipwa 500k bado anafanya kazi zaidi ya Saa 40 kwa wiki.
Huyu wa 5.3M mara kumi zaidi ya Mwl anafanya kazi kwa Saa 36 tu kwa Wiki.
Ndio point yangu mkuu, tena hao TCRA niliwasahau aisee, kuna dogo alikuwa anakunja 4m kipindi cha magu, hakuwa hata kwenye supervisory position, sasa kaachiwa kitengo, sijajua bado ana pocket kiasi gani.Taasisi kibao kibao wanachukua hiyo tena ndogo kaangalie kama TCRA ,EWURA
Anabisha huyo madogo ni fresh graduates wapo kweny probation wanashika mil 4 eti manager na uzoefu wake akose 5mil anachekesha sana😂😂Ndio point yangu mkuu, tena hao TCRA niliwasahau aisee, kuna dogo alikuwa anakunja 4m kipindi cha magu, hakuwa hata kwenye supervisory position, sasa kaachiwa kitengo, sijajua bado ana pocket kiasi gani.
Hazina huko, Meal allowances ni 750k
Ndo ukweli au tusiseme ukweliMkuu taratibu basi mbona unatumia jiwe zito sana hivi
Tatizo vijana wengi sababu ya kokosa ajira uwezo wa kufikiri umekuwa mdogo ukimwambia 5m anaona nyingi kweli Tena kwenye managerial position,ukweli huo ni mshahara mdogo Sana,Sasa wakitoa hiyo hivi hapo telephone allowance si inaweza kuwa 100kAnabisha huyo madogo ni fresh graduates wapo kweny probation wanashika mil 4 eti manager na uzoefu wake akose 5mil anachekesha sana[emoji23][emoji23]
Ni kweli aisee... Just imagine mtu upo safarini toka january mpaka leo, bado posho zingine za ofisi unazipata kama kawaida, na huko safarini hutumii hata senti, bado mshahara e.t.cAnabisha huyo madogo ni fresh graduates wapo kweny probation wanashika mil 4 eti manager na uzoefu wake akose 5mil anachekesha sana[emoji23][emoji23]
Mbona umekazana na NGO?Ngoja nikupe elimu kidogo,kwenye hizi international NGO,kwa mtu ambaye Ni budget holder like kwenye hiyo position huyo candidate atakuwa ana manage almost more than 12B Tsh sio pesa kidogo, yapitie hayo majukumu vizuri utaelewa kwenye NGO mshahara wa 5m Ni wa kawaida Sana.tatizo haujawahi kuwa na mshahara unaoanzia 6 digits .
Nakupa shule nyingine hiyo position wasingeweka hiyo salary grade wangepokea maombi mengi Sana, but kwa kuweka hiyo grade inalimit watu kuomba kwa huo mshahara hawezi kupata hata project manager kutoka Ngo Kama ,care international,pact,path,plan international and other ngos kuomba sababu hiyo salary
Narudia Tena mshahara wa 5m kwenye international organization Ni mshahara wa chini sana
deduction ndio nini?Kwa organisation kama hio na nature ya kazi ni kweli huo mshahara ni mdogo zikipita deductions na kama hamna posho za hapa na pale.
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣So hata paye hawakati?,ndio maana nimekwambia hakuna unachokijua hiyo sio international post brother lazima paye wakati,loan board lazima wakati plus nssf
Kawaida sana.Tatizo haujawahi kufanya hizo kazi Ni ngumu kuelewa kumanage budget ya USD 5.3M sio kazi ndogo brother
Tatizo haujawahi kufanya Kazi kwenye hizo international organization , international organization like usaids,uk, embassy, refugees council,UN agency , world banks,imf, and other like hizo terms zao huwa hazitofautiani Sana ndio maana narefer Sana kwenye NGO,na Ni very simple kumove within those organization sababu Mara nyingi donors wa funds Ni hao haoMbona umekazana na NGO?
hiyo kazi ni ya NGO?
Umekariri sana jombaa
Sasa hata deductions haujui then umekaza shingo ,kwa huo uwelewa sijui shule ulienda kufanya nini,deduction ndio nini?
Nyie vijana acheni ujuaji!!!