ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Ajenda za chuki na kuleta mgawanyo wa Nchi zimekemewa na kutolewa Onyo Kali na Rais wa Zambia.Wataalam wa Masuala ya Protokali na Katiba ya Nchi tunaomba Maelezo yenu ili tuelewe, Siku tutakuja kuambiwa Mkuu wa Wilaya ya Chakechake au Kizimkazi Kamwakilisha Rais Nchi Fulani.
Ikiwa Makamu wa Rais wa Tanzania yupo na ni mzima wa Afya, inakuwaje mtu asiye na cheo chochote Tanzania amwakilishe Rais wa Tanzania?
View attachment 3083085
Huu ni uzushi ,una uhakika VP amekuwa akienguliwa?Kitendo hiki ni Cha Uvunjaji mkubwa zaidi wa Katiba ya nchi hii ya Tanzania.
Rais wa Zanzibar hana mamlaka ya ki-Urais ya kuweza kumwakilisha Rais wa Tanzania huko nje ya nchi kwani hana mamlaka ya kikatiba kwa upande wa Tanganyika. Aidha, Makamu wa Rais wa Tanzania anayo mamlaka ya kiutendaji u-Rais) hata kwa upande wa Zanzibar, lakini nashangaa ni kwa nini Makamu wa Rais mara nyingi sana amekuwa akienguliwa katika kupewa nafasi ya kumwakilisha Rais wa Tanzania katika ziara za kikazi huko nje ya Tanzania na badala yake nafasi yake imekuwa ikiwaklishwa na Rais wa Zanzibar, mtu ambaye mwenye Cheo kidogo ukilinganisha na cheo Cha Makamu wa Rais.
Nafikiri ndani ya Ikulu ya Rais wa Tanzania kuna tatizo kubwa Sana hususani kuhusiana na Mambo ya masuala ya Itifaki (Protocol). Kuna shuhuda nyingi sana za wazi kabisa ambazo zimedhihirisha kwamba Masuala haya ya Itifaki ndani ya Ikulu ya Rais wa Tanzania yamekuwa hayazingatiwi wala kutiliwa maanani. Mara nyingi Itifaki hii imekuwa ikivunjwa hadharani, na tatizo hili limekuwa likijirudia rudia.
Kwa kuzingatia Muundo wa Utendaji ndani ya Ikulu ya Rais wa Tanzania, Je, mtu mwenye Cheo gani hasa ndani ya Ikulu ambaye anahusika moja kwa moja na Usimamizi wa Itifaki katika nchi hii???
Je, una uhakika kwamba ubongo wako na mikono yako vilikuwa na ushirikiano kabla ya wewe kuamua kuandika comment yako hii???Huu ni uzushi ,una uhakika VP amekuwa akienguliwa?
Hao watu wenu wameamua kwamakusudi kuchochea ajenda za chuki na Mgawanyiko wa jamii kwamba ndio ukosoaji.Dada yangu unaanza kupoteza "focus" [emoji1787][emoji1787]
Rais anaweza kukutuma hata WEWE ukamwakilisha huko nje....ndio "presidential decree" hiyo...
Haya mambo ya kidiplomasia yana mengi....
Waindonesia na utamaduni wao Rais Mwinyi anaweza kuujua kwani kaishi sana " UTURUKI".....
Ningeshangaa tu kama Rais Mwinyi angemwakilisha Rais Italy na isiwe mh.Makamu wa Rais....
Hujiulizi ni kwanini kule DAVOS alikwenda Dr.Mpango badala ya Dr.Mwinyi ?!!
Kwa kuwa DAVOS kunahusisha "mabepari" na Dr.Mpango alikaa nao sana kule IMF.....
#Anyigulile Kyala[emoji7]
Yaani Eti anajizima data kabisa!!Hiyo Channel uliyoichagua Wananchi wakiangalia wanaumia macho
Sina hakika kama Mingi wenu ni mpumbavu yaani awatetee kwenye ajenda za kuleta mgawanyiko? Aisee atakuwa Mungu mpumbavu sanaMungu atuepushe na kutekwa, Amina
Je, unaelewa maana ya Chain of command au Chain of authority???Hao watu wenu wameamua kwamakusudi kuchochea ajenda za chuki na Mgawanyiko wa jamii kwamba ndio ukosoaji.
Ukweli wanaufahamu ila wanafabya makusudi kabisa so badala ya kuwacheka wanatakiwa kushughulikiwa.
Mpanga alikuwa WBDada yangu unaanza kupoteza "focus" [emoji1787][emoji1787]
Rais anaweza kukutuma hata WEWE ukamwakilisha huko nje....ndio "presidential decree" hiyo...
Haya mambo ya kidiplomasia yana mengi....
Waindonesia na utamaduni wao Rais Mwinyi anaweza kuujua kwani kaishi sana " UTURUKI".....
Ningeshangaa tu kama Rais Mwinyi angemwakilisha Rais Italy na isiwe mh.Makamu wa Rais....
Hujiulizi ni kwanini kule DAVOS alikwenda Dr.Mpango badala ya Dr.Mwinyi ?!!
Kwa kuwa DAVOS kunahusisha "mabepari" na Dr.Mpango alikaa nao sana kule IMF.....
#Anyigulile Kyala[emoji7]
1. Je, si kwamba hiyo "constitutional hiararchy" ndiyo inapaswa iwe ni msingi wa kiprotokali ktk utendaji wa Rais wa kila siku....?Kuna vitu viwili kwenye mtiririko wa uongozi, kuna constitutional hierarchy ambapo Rais wa Zanzibar is nobody ndani ya mfumo wa utawala wa nchi,
No.1 ni Rais wa JMT
No.2 ni VP
No.3 ni PM
No.4 ni Spika
No. 5 ni CJ
Rais wa Zanzibar is nobody!, tena katiba ya JMT haiyatambui mabadiliko batili ya katiba ya Zanzibar yalifanywa 2010.
Lakini ki protocol
No. 1 ni Rais wa JMT
No. 2 ni VP
No. 3 ni rais wa Zanzibar
No. 4 ni PM
No. 5 ni DPM
No.6 ni VP 1 ZnZ
No. 7 ni VP 2 ZnZ
No.8 ni Spika
No. 9 ni CJ
No. 10 ni CDF
But when it comes kumwakilisha Rais popote, yeyote anaweza kuteuliwa hata wewe!.
P
KabisaaaaaDkt. Mpango hatoshi??????
Sawa kabisaNdio lakini ni principal assistant wake na ndio maana hao wengine anaweza kuwafukuza at will lakini huyo haiwezi. Pia huyo ni mwakilishi wake kama Waziri na sio kama Raisi wa Zanzibar. Ingesomeka amemtuma mjumbe wa Baraza la Mawaziri ambae pia ni Raisi wa Zanzibar. Kinachompa uwezekano wa kutumwa na Raisi wa Jamhuri ni uwaziri wake na sio Uraisi wake wa Zanzibar. La sivyo angeitwa mjumbe maalum Kwa niaba ya Raisi wa Tanzania.
Vijana wachukue desaKuna vitu viwili kwenye mtiririko wa uongozi, kuna constitutional hierarchy ambapo Rais wa Zanzibar is nobody ndani ya mfumo wa utawala wa nchi,
No.1 ni Rais wa JMT
No.2 ni VP
No.3 ni PM
No.4 ni Spika
No. 5 ni CJ
Rais wa Zanzibar is nobody!, tena katiba ya JMT haiyatambui mabadiliko batili ya katiba ya Zanzibar yalifanywa 2010.
Lakini ki protocol
No. 1 ni Rais wa JMT
No. 2 ni VP
No. 3 ni rais wa Zanzibar
No. 4 ni PM
No. 5 ni DPM
No.6 ni VP 1 ZnZ
No. 7 ni VP 2 ZnZ
No.8 ni Spika
No. 9 ni CJ
No. 10 ni CDF
But when it comes kumwakilisha Rais popote, yeyote anaweza kuteuliwa hata wewe!.
P
Tanganyika ipo na kuna siku tutaidaiUlipotaja tu Tanganyika.....hoja zako zote zikawa "null and void"...
Tanganyika haipo....imeshajiozea huko kaburini...
I. The constitution hierarchy applies in an event rais hayupo nchini, amepata incapacitation or when s/he is no more.1. Je, si kwamba hiyo "constitutional hiararchy" ndiyo inapaswa iwe ni msingi wa kiprotokali ktk utendaji wa Rais wa kila siku....?
2. Unaposema "kumwakilisha Rais popote" inakuwa na maana gani hasa? Je, si kwamba yote hii sehemu ya utendaji wa Rais wa siku kwa siku...?
3. I understand, kwamba, ni kweli inaweza kutokea Rais amealikwa kwenye shughuli fulani huku kwetu Shinyanga. Kwa sababu hii au ile yeye in personal akashindwa kufika. Obviously, anaweza kumwagiza RC na pengine hata DC wa Moja ya wilaya Shinyanga kumwakilisha.
Vipi uwakilishi nje ya nchi..?
Paskali, maelezo yako mengi kwa kiasi fulani fulani siyo ya kweli, unapotosha umma. Ni vyema ukasoma kwanza Nyaraka mbali mbali kuhusiana na suala hili ukianzia na Katiba ya nchi hii ya Tanzania, pamoja na Sheria zingine mbalimbali za nchi hii. Aidha, usome zile Sheria na/au Amri zinazohusu Mamlaka ya Rais wa nchi hii ili upate uelewa wa kutosha zaidi kuhusu suala hili.I. The constitution hierarchy applies in an event rais hayupo nchini, amepata incapacitation or when s/he is no more.
2. Rais ana mamlaka ya kumteua mtu yoyote kumwakilisha popote na sio lazima kwa mtiririko wa constitution hierarch, kuna baadhi ya nchi mabalozi wetu sio Watanzania. Si kila ziara za rais nje ya nchi ni official visit, rais anaposafiri nje ya nchi for official visit, asipokwenda ni lazima kuwakilishwa na constitution hierarchy, lakini kuna ziara za rais nje ya nchi, ni rais anakuwa amealikwa kwenye events, anaweza kumteua yeyote kumwakilisha.
3. You are very right.
P
1. Je, Watu hao wanatambulika kuwa ni Mabalozi rasmi kabisa wa Serikali ya Tanzania kwa mujibu wa Mikataba ya Kimataifa??2. kuna baadhi ya nchi mabalozi wetu sio Watanzania.
Jibuni hoja nyie Wajinga, Vitisho havitakusaidieni, Mtaua Wangapi?Ajenda za chuki na kuleta mgawanyo wa Nchi zimekemewa na kutolewa Onyo Kali na Rais wa Zambia.
Hapa Tanzania naona Machadema wanachekewa sana
Haswaaaaa!Haya Makinikia yako Kaka Pascal haya chenjuliki!