Nafasi ya Makamu wa Rais wa Tanzania ni ipi, Kwanini Rais wa Zanzibar awe Msaidizi wa Rais Samia?

Nafasi ya Makamu wa Rais wa Tanzania ni ipi, Kwanini Rais wa Zanzibar awe Msaidizi wa Rais Samia?

Wataalam wa Masuala ya Protokali na Katiba ya Nchi tunaomba Maelezo yenu ili tuelewe, Siku tutakuja kuambiwa Mkuu wa Wilaya ya Chakechake au Kizimkazi Kamwakilisha Rais Nchi Fulani.

Ikiwa Makamu wa Rais wa Tanzania yupo na ni mzima wa Afya, inakuwaje mtu asiye na cheo chochote Tanzania amwakilishe Rais wa Tanzania?

View attachment 3083085
Ajenda za chuki na kuleta mgawanyo wa Nchi zimekemewa na kutolewa Onyo Kali na Rais wa Zambia.

Hapa Tanzania naona Machadema wanachekewa sana
 
Kitendo hiki ni Cha Uvunjaji mkubwa zaidi wa Katiba ya nchi hii ya Tanzania.

Rais wa Zanzibar hana mamlaka ya ki-Urais ya kuweza kumwakilisha Rais wa Tanzania huko nje ya nchi kwani hana mamlaka ya kikatiba kwa upande wa Tanganyika. Aidha, Makamu wa Rais wa Tanzania anayo mamlaka ya kiutendaji u-Rais) hata kwa upande wa Zanzibar, lakini nashangaa ni kwa nini Makamu wa Rais mara nyingi sana amekuwa akienguliwa katika kupewa nafasi ya kumwakilisha Rais wa Tanzania katika ziara za kikazi huko nje ya Tanzania na badala yake nafasi yake imekuwa ikiwaklishwa na Rais wa Zanzibar, mtu ambaye mwenye Cheo kidogo ukilinganisha na cheo Cha Makamu wa Rais.

Nafikiri ndani ya Ikulu ya Rais wa Tanzania kuna tatizo kubwa Sana hususani kuhusiana na Mambo ya masuala ya Itifaki (Protocol). Kuna shuhuda nyingi sana za wazi kabisa ambazo zimedhihirisha kwamba Masuala haya ya Itifaki ndani ya Ikulu ya Rais wa Tanzania yamekuwa hayazingatiwi wala kutiliwa maanani. Mara nyingi Itifaki hii imekuwa ikivunjwa hadharani, na tatizo hili limekuwa likijirudia rudia.

Kwa kuzingatia Muundo wa Utendaji ndani ya Ikulu ya Rais wa Tanzania, Je, mtu mwenye Cheo gani hasa ndani ya Ikulu ambaye anahusika moja kwa moja na Usimamizi wa Itifaki katika nchi hii???
Huu ni uzushi ,una uhakika VP amekuwa akienguliwa?
 
Dada yangu unaanza kupoteza "focus" [emoji1787][emoji1787]

Rais anaweza kukutuma hata WEWE ukamwakilisha huko nje....ndio "presidential decree" hiyo...

Haya mambo ya kidiplomasia yana mengi....

Waindonesia na utamaduni wao Rais Mwinyi anaweza kuujua kwani kaishi sana " UTURUKI".....

Ningeshangaa tu kama Rais Mwinyi angemwakilisha Rais Italy na isiwe mh.Makamu wa Rais....

Hujiulizi ni kwanini kule DAVOS alikwenda Dr.Mpango badala ya Dr.Mwinyi ?!!

Kwa kuwa DAVOS kunahusisha "mabepari" na Dr.Mpango alikaa nao sana kule IMF.....

#Anyigulile Kyala[emoji7]
Hao watu wenu wameamua kwamakusudi kuchochea ajenda za chuki na Mgawanyiko wa jamii kwamba ndio ukosoaji.

Ukweli wanaufahamu ila wanafabya makusudi kabisa so badala ya kuwacheka wanatakiwa kushughulikiwa.
 
Kulikuwa hakuna haja kuanzisha cheo cha makamu wa Rais ingebaki tu kama awali makamu ni Rais wa Zanzibar na Waziri mkuu basi hata kama ingetokea Zanzibar inaongozwa na Rais kutoka chama tofauti.
 
Dada yangu unaanza kupoteza "focus" [emoji1787][emoji1787]

Rais anaweza kukutuma hata WEWE ukamwakilisha huko nje....ndio "presidential decree" hiyo...

Haya mambo ya kidiplomasia yana mengi....

Waindonesia na utamaduni wao Rais Mwinyi anaweza kuujua kwani kaishi sana " UTURUKI".....

Ningeshangaa tu kama Rais Mwinyi angemwakilisha Rais Italy na isiwe mh.Makamu wa Rais....

Hujiulizi ni kwanini kule DAVOS alikwenda Dr.Mpango badala ya Dr.Mwinyi ?!!

Kwa kuwa DAVOS kunahusisha "mabepari" na Dr.Mpango alikaa nao sana kule IMF.....

#Anyigulile Kyala[emoji7]
Mpanga alikuwa WB
 
Kuna vitu viwili kwenye mtiririko wa uongozi, kuna constitutional hierarchy ambapo Rais wa Zanzibar is nobody ndani ya mfumo wa utawala wa nchi,
No.1 ni Rais wa JMT
No.2 ni VP
No.3 ni PM
No.4 ni Spika
No. 5 ni CJ

Rais wa Zanzibar is nobody!, tena katiba ya JMT haiyatambui mabadiliko batili ya katiba ya Zanzibar yalifanywa 2010.

Lakini ki protocol
No. 1 ni Rais wa JMT
No. 2 ni VP
No. 3 ni rais wa Zanzibar
No. 4 ni PM
No. 5 ni DPM
No.6 ni VP 1 ZnZ
No. 7 ni VP 2 ZnZ
No.8 ni Spika
No. 9 ni CJ
No. 10 ni CDF

But when it comes kumwakilisha Rais popote, yeyote anaweza kuteuliwa hata wewe!.
P
1. Je, si kwamba hiyo "constitutional hiararchy" ndiyo inapaswa iwe ni msingi wa kiprotokali ktk utendaji wa Rais wa kila siku....?

2. Unaposema "kumwakilisha Rais popote" inakuwa na maana gani hasa? Je, si kwamba yote hii sehemu ya utendaji wa Rais wa siku kwa siku...?

3. I understand, kwamba, ni kweli inaweza kutokea Rais amealikwa kwenye shughuli fulani huku kwetu Shinyanga. Kwa sababu hii au ile yeye in personal akashindwa kufika. Obviously, anaweza kumwagiza RC na pengine hata DC wa Moja ya wilaya Shinyanga kumwakilisha.

Vipi uwakilishi nje ya nchi..?
 
Ndio lakini ni principal assistant wake na ndio maana hao wengine anaweza kuwafukuza at will lakini huyo haiwezi. Pia huyo ni mwakilishi wake kama Waziri na sio kama Raisi wa Zanzibar. Ingesomeka amemtuma mjumbe wa Baraza la Mawaziri ambae pia ni Raisi wa Zanzibar. Kinachompa uwezekano wa kutumwa na Raisi wa Jamhuri ni uwaziri wake na sio Uraisi wake wa Zanzibar. La sivyo angeitwa mjumbe maalum Kwa niaba ya Raisi wa Tanzania.
Sawa kabisa
 
Kuna vitu viwili kwenye mtiririko wa uongozi, kuna constitutional hierarchy ambapo Rais wa Zanzibar is nobody ndani ya mfumo wa utawala wa nchi,
No.1 ni Rais wa JMT
No.2 ni VP
No.3 ni PM
No.4 ni Spika
No. 5 ni CJ

Rais wa Zanzibar is nobody!, tena katiba ya JMT haiyatambui mabadiliko batili ya katiba ya Zanzibar yalifanywa 2010.

Lakini ki protocol
No. 1 ni Rais wa JMT
No. 2 ni VP
No. 3 ni rais wa Zanzibar
No. 4 ni PM
No. 5 ni DPM
No.6 ni VP 1 ZnZ
No. 7 ni VP 2 ZnZ
No.8 ni Spika
No. 9 ni CJ
No. 10 ni CDF

But when it comes kumwakilisha Rais popote, yeyote anaweza kuteuliwa hata wewe!.
P
Vijana wachukue desa
 
1. Je, si kwamba hiyo "constitutional hiararchy" ndiyo inapaswa iwe ni msingi wa kiprotokali ktk utendaji wa Rais wa kila siku....?

2. Unaposema "kumwakilisha Rais popote" inakuwa na maana gani hasa? Je, si kwamba yote hii sehemu ya utendaji wa Rais wa siku kwa siku...?

3. I understand, kwamba, ni kweli inaweza kutokea Rais amealikwa kwenye shughuli fulani huku kwetu Shinyanga. Kwa sababu hii au ile yeye in personal akashindwa kufika. Obviously, anaweza kumwagiza RC na pengine hata DC wa Moja ya wilaya Shinyanga kumwakilisha.

Vipi uwakilishi nje ya nchi..?
I. The constitution hierarchy applies in an event rais hayupo nchini, amepata incapacitation or when s/he is no more.
2. Rais ana mamlaka ya kumteua mtu yoyote kumwakilisha popote na sio lazima kwa mtiririko wa constitution hierarch, kuna baadhi ya nchi mabalozi wetu sio Watanzania. Si kila ziara za rais nje ya nchi ni official visit, rais anaposafiri nje ya nchi for official visit, asipokwenda ni lazima kuwakilishwa na constitution hierarchy, lakini kuna ziara za rais nje ya nchi, ni rais anakuwa amealikwa kwenye events, anaweza kumteua yeyote kumwakilisha.
3. You are very right.

P
 
I. The constitution hierarchy applies in an event rais hayupo nchini, amepata incapacitation or when s/he is no more.
2. Rais ana mamlaka ya kumteua mtu yoyote kumwakilisha popote na sio lazima kwa mtiririko wa constitution hierarch, kuna baadhi ya nchi mabalozi wetu sio Watanzania. Si kila ziara za rais nje ya nchi ni official visit, rais anaposafiri nje ya nchi for official visit, asipokwenda ni lazima kuwakilishwa na constitution hierarchy, lakini kuna ziara za rais nje ya nchi, ni rais anakuwa amealikwa kwenye events, anaweza kumteua yeyote kumwakilisha.
3. You are very right.

P
Paskali, maelezo yako mengi kwa kiasi fulani fulani siyo ya kweli, unapotosha umma. Ni vyema ukasoma kwanza Nyaraka mbali mbali kuhusiana na suala hili ukianzia na Katiba ya nchi hii ya Tanzania, pamoja na Sheria zingine mbalimbali za nchi hii. Aidha, usome zile Sheria na/au Amri zinazohusu Mamlaka ya Rais wa nchi hii ili upate uelewa wa kutosha zaidi kuhusu suala hili.
2. kuna baadhi ya nchi mabalozi wetu sio Watanzania.
1. Je, Watu hao wanatambulika kuwa ni Mabalozi rasmi kabisa wa Serikali ya Tanzania kwa mujibu wa Mikataba ya Kimataifa??
2. Je wanazo sifa stahili za kuweza kuitwa kuwa ni Mabalozi halali wa Serikali ya Tanzania huko nje ya nchi kwa mujibu wa Vienna Convention???


Vile vile, Nakushauri usome ule Mkataba wa Kimataifa (Vienna Convention) ili kujijengea uelewa mpana zaidi kuhusu suala hili.

Aidha, Nakusaidia katika kukuwekea baadhi ya Nyaraka (PDF) kuhusiana na suala hili. Mwisho, , nakushauri pia kwamba uwe unafanya kwanza utafiti wako wa kina kabla ya kuamua ku-post mabandiko yako humu mtandaoni.

"No research no right to speak."
Mao Zedong.
 

Attachments

Ajenda za chuki na kuleta mgawanyo wa Nchi zimekemewa na kutolewa Onyo Kali na Rais wa Zambia.

Hapa Tanzania naona Machadema wanachekewa sana
Jibuni hoja nyie Wajinga, Vitisho havitakusaidieni, Mtaua Wangapi?
 
Back
Top Bottom