Ni haohao walimu ndio waliokuwezesha mpaka leo umeweza ku-type huu utumbo uliouandika hapa. Bila mwalimu ungekuwa kwenye kiza kinene. Waheshimu sana hawa.Niwashamba sana hawajawahi kuwa na ustarabu ndio maana maendeleo yao huja uzeeni hawana utofauti na mipolisi sijui ni laana.
Jamaa anahasira sanaaa[emoji28][emoji28][emoji28]Wanataka kuchukua nafasi yake ktk sensa
Mambo ya anuani ya makazi yalikuwaje? Maana unalosema linaweza likawa kweliKwa mtazamo wangu ninavyo ona watu wote mnaosema kwamba kazi ya sensa wapewe watumishi wa serikari kwa kigezo eti itakuwa rahisi kuwapata sio sahihi kwa sababu zifutazo.
1.Kazi ya sensa safari hii inatumia vifaa vya kielectronic kwa hiyo sio walimu au watumishi wote wenye uwezo wa kutumia vifaa hivyo ipasavyo wapo vijana wengi walio maliza vyuo wanauwezo huo pia, kwanza nina ushahidi wa baadhi ya watumishi wa serikali walipo sikia maswala ya electrictonic, na interview waka kata tamaa hawakuomba.
2.Kwenye ile fomu iliyo kuwa ikijazwa kuna sehemu yalihitajika majina ya wadhamini wawili, namba zao za simu, Email na fingerprint. Pia muhuli na signature ya mtendaji wa kijiji ilihitajika, hawa watu wanatosha sana kama wakitaka kukutafuta, ingawa kwa taarifa za muhusika mkuu ni rahisi sana kukupata kama wakikuhitaji.
Kikubwa hapa tusubilie majina yatoke jamani, then tukanyooshane kwenye interview, maana kwa mujibu wa Msimamizi mkuu wa sensa mama Anna Makinda alisema watakao simamia ni wakufunzi(lecturers) kutoka vyuoni, tuombee yale mambo ya anwani ya makazi yasijirudie.
Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Hapana bora kata ndugu,usimamizi ni pagumu zaidi, unahisi unaweza mzidi mwalimu connection hapo halmashauri ?[emoji23][emoji23] tumekwisha bora ningeomba usimamizi
Hizi taarifa ramsi kweli?sensa mwezi wa 8,nyie mnaulizia majina leo? wakiwafundisha sahizi hadi muda huo si mtasahau?
majina yanatoka tarehe 15 mwezi wa 7 then semina.
unamaliza semina leo siku ya tatu yake unaingia barabarani.
hizo ndo taarifa rasmi.
Nikumbushe hapa jukwaani ntakwambia kama nimepata au nimekosa.KARENDA???
Ushakosa nafasi ndugu
Majina ya walimu wote walio omba tayari yametumwa halmashaurimwigulu ashasema wanaenda kutumia waalimu sisi majobless tuendelee kubeti
Sent using Jamii Forums mobile app
Walimu na watumishi wengine wanaogopa watanyooshwa kwenye interview na fresh graduates [emoji3][emoji1787] ndio maana wanataka wao tu .Kwa mtazamo wangu ninavyo ona watu wote mnaosema kwamba kazi ya sensa wapewe watumishi wa serikari kwa kigezo eti itakuwa rahisi kuwapata sio sahihi kwa sababu zifutazo.
1.Kazi ya sensa safari hii inatumia vifaa vya kielectronic kwa hiyo sio walimu au watumishi wote wenye uwezo wa kutumia vifaa hivyo ipasavyo wapo vijana wengi walio maliza vyuo wanauwezo huo pia, kwanza nina ushahidi wa baadhi ya watumishi wa serikali walipo sikia maswala ya electrictonic, na interview waka kata tamaa hawakuomba.
2.Kwenye ile fomu iliyo kuwa ikijazwa kuna sehemu yalihitajika majina ya wadhamini wawili, namba zao za simu, Email na fingerprint. Pia muhuli na signature ya mtendaji wa kijiji ilihitajika, hawa watu wanatosha sana kama wakitaka kukutafuta, ingawa kwa taarifa za muhusika mkuu ni rahisi sana kukupata kama wakikuhitaji.
Kikubwa hapa tusubilie majina yatoke jamani, then tukanyooshane kwenye interview, maana kwa mujibu wa Msimamizi mkuu wa sensa mama Anna Makinda alisema watakao simamia ni wakufunzi(lecturers) kutoka vyuoni, tuombee yale mambo ya anwani ya makazi yasijirudie.
Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Kiufupi walimu wamepewa kipaumbele kwa baadhi ya halmashauri ila haimaanishi hawajachukua watu wengineMajina ya walimu wote walio omba tayari yametumwa halmashauri
Tupia apa mkuuMliomba Sensa,mkeka tayari
Inahuzunisha sana, watendaji waliandaa watu wao, tena kwa hongoMambo ya anuani ya makazi yalikuwaje? Maana unalosema linaweza likawa kweli
Weka huo mkekaaMliomba Sensa,mkeka tayari
Ngoja tukaoneshane makaliWalimu na watumishi wengine wanaogopa watanyooshwa kwenye interview na fresh graduates [emoji3][emoji1787] ndio maana wanataka wao tu .
Na graduates hawana kazi walivyokamia kumuangusha kwenye usaili inahitaji jitihada kweli