Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Kwa mamlaka waliyopewa Nbs kutengeneza recruitment portal watu wakaomba nafasi kilichofuata ni nbs kukabidhi uandaaji wa majina kwa Kamati ya wilaya.. Sasa nini kikechelewesha majina kutoka?! Mpaka sasa kamati ime delay kutoa majina na wameandikiwa barua jana,

Plus kuna hili litawashtua wengi, kuna possibility kubwa ya vijana wengi kuliwa vichwa, why?! Ni kwamba kati ya watu wamepewa kipaumbele baadhi yao ni walishiriki sensa iliyopita na walio shiriki zoezi la postcode... Although haimaanishi watu watakosa no ila vichwa vitaliwa vingi..

Wamepewa wiki moja kukamilisha majina..

Naomba, yaishia hapa haya..
Ngazi ya wilaya si ndiyo halmashauri hiyo?
 
Kwa mamlaka waliyopewa Nbs kutengeneza recruitment portal watu wakaomba nafasi kilichofuata ni nbs kukabidhi uandaaji wa majina kwa Kamati ya wilaya.. Sasa nini kikechelewesha majina kutoka?! Mpaka sasa kamati ime delay kutoa majina na wameandikiwa barua jana,

Plus kuna hili litawashtua wengi, kuna possibility kubwa ya vijana wengi kuliwa vichwa, why?! Ni kwamba kati ya watu wamepewa kipaumbele baadhi yao ni walishiriki sensa iliyopita na walio shiriki zoezi la postcode... Although haimaanishi watu watakosa no ila vichwa vitaliwa vingi..

Wamepewa wiki moja kukamilisha majina..

Naomba, yaishia hapa haya..
Na je kama kamati ya wilayani itajuaje kama hawa walifanya postkodi hawa hawajafanya na walifanya sensa 2012 au kamati ya postkodi ndiyo kamati ya sensa
 
Mama makinda kaamua awatoe vijana kimaso maso zoezi lenyewe ni miaka kumi kwa miaka kumi ilo linawezakan semina ikawa ivo ili watu wale kwa urefu wa kamba ila kiuhalisia wiki ingetosha kabisa ,
hukuo ktk semina unaweza fundishwa jinsi ya kuwasha kishkwambi kukichaji iyo topic ya siku nzima watu wanavuta chao, kesho tena jinsi ya kuvaa kisensa sensa siku inakata, kesho tena jinsi ya kusoma google earth na mipaka iyo topic siku nne hahaa siku 21 inawezekana alooo vijana wapate mitaji na ela ya kumwagilia moyo
We jamaa ukipewa nchi wewe utawala wako utaupeleka kiustigness sana siku 21 unataka kuzieliminate zibaki siku 7 umeona majobless tukikaa siku 21 na posho ya 50k everyday tutafaidi sana!!
 
We jamaa ukipewa nchi wewe utawala wako utaupeleka kiustigness sana siku 21 unataka kuzieliminate zibaki siku 7 umeona majobless tukikaa siku 21 na posho ya 50k everyday tutafaidi sana!!
sana yani hii issue Angekuwepo Magu sijui ingekuwaje walai
 
kuna watu wanaonekana kwa mtendaji na vibaasha vya khaki sijajuwa kunani uko picha sina
 
Kwa mamlaka waliyopewa Nbs kutengeneza recruitment portal watu wakaomba nafasi kilichofuata ni nbs kukabidhi uandaaji wa majina kwa Kamati ya wilaya.. Sasa nini kikechelewesha majina kutoka?! Mpaka sasa kamati ime delay kutoa majina na wameandikiwa barua jana,

Plus kuna hili litawashtua wengi, kuna possibility kubwa ya vijana wengi kuliwa vichwa, why?! Ni kwamba kati ya watu wamepewa kipaumbele baadhi yao ni walishiriki sensa iliyopita na walio shiriki zoezi la postcode... Although haimaanishi watu watakosa no ila vichwa vitaliwa vingi..

Wamepewa wiki moja kukamilisha majina..

Naomba, yaishia hapa haya..
Inasikitisha sana na tutasikia mengi tuambie hizi ni taarifa ni za ndani au za nje?
 
kuna watu wanaonekana kwa mtendaji na vibaasha vya khaki sijajuwa kunani uko picha sina
Ni makada watiifu. Wanapeleka barua za utambulisho, michango ya chama na ya mwenge.

Tarehe ni zilezile hazijabadilika 29±3
 
kipi special wanaelekezwa uko kichukue wiki tatu nzima kama si kufuja pesa za umma, kama vishkwambi vinakuja vipo na taarifa ni kujaza dodoso basi, inategemea dodoso linahitaji nini , ugumu wa hii kazi upo ktk kuwahesabu watu na sio kufundishwa wiki zote izo, tena nikuambie hawa makarani wao kazi yao ni kwenda kujaza taarifa tu kwamba nyumba namba flani ina watu wangapi me kiasi gani na ke kiasi gani,
walemavu, n.k kwaiyo kitakachofanyika

kutakuwapo na wenyeji wa mtaa husika watashirikana na mjumbe wa eneo husika kupita nyumba hadi nyumba kucolect idadi ya watu na kuleta kwa makarani ambao watajaza ktk platform then makarani wa kila mtaa watawasilisha taarifa kata zinachakatwa zinaenda wilaya mkoa nakuendelea

kwa uelewa wangu wa elimu ya uraia kwaiyo
uko baadae taarifa zinakuwa ktk mfumo Gps inakuwa inakupa taarifa kwamba mtaa flani ,mipaka yake, idadi ya watu eneo ilo na makazi nyumba idadi yake, kwaiyo mtu akifa lazima mjumbe apate taarifa then idadi ya uyo mtu iwe isolated mtu kazaliwa lazima mjumbe ajue ktk mtaa wake apate ushuru wa kumuingiza ktk idadi

kwaiyo itafika mahala kila mtu atataikiwa taarifa zake ziwe ktk GPS , mjumbe kushirikiana na vijana , kama namba ya NIDA UNayo ikijazwa taarifa ina display, au hauna nida basi unapigwa picha unaweka na fingerprint

kwaiyo taarifa zinakuwa hivi ukiingiza jina
inakuja mahali anapokaa. namba ya nyumba, picha yake, umri, kazi, au akiweka fingerprint. taarifa zinakuwa ktk mifumo ya serikali

sijajuwa kama ndo ivo au laaa, ila uko baadae inatakiwa mtu akitizama camera tu anajulikana huyu ni nani anaishi wapi je anakesi je anacv gani

kwaiyo ukipost kitu mitandaoni picha yako ikionekana wanajuwa wanakupata wapi au watakupata vipi
Kama itakua hivyo basi kazi itakua ngumu kichizi.

Ile kutoa tu ushirikiano kwa sensa ya 2012 ilikua mbinde baadhi ya kaya ndo uje na hii ya kupigwa picha + dole gumba aisee watu watatoana ngeu hapo.
 
Na je kama kamati ya wilayani itajuaje kama hawa walifanya postkodi hawa hawajafanya na walifanya sensa 2012 au kamati ya postkodi ndiyo kamati ya sensa
Yeah ipo ivyo postkodi ni iyo iyo kamati itakua kwnye sensa maana kazi zipo similar.
Ila mzee mwenye alifanya sensa 2012 itakua na miaka mingapi? Hahahaha akafanye kazi zingine bhana
 
sana yani hii issue Angekuwepo Magu sijui ingekuwaje walai
Angekubali trust me,kazi hamna na yeye anategemea vijana plus uchaguzi unakuja kuna factor nyingi za kisiasa
Alafu magu ni alikua mwanadamu tu anaweza shawishika vizuri tu.
 
Back
Top Bottom