Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Nashkuru mungu usaili ulikwenda Vizuri sana kwa upande wangu nilijibu clearly maswali yote na nilistuka na kufurahi zaidi pale baada ya kumaliza msimamizi mkuu alivyonambia umechangamka Sana hajamaliza akaniambia tena you have a lots of confindence, Mungu ni mwema Sana,msaili alitokea kunikubali nilikuwa mcheshi nimejibu maswali bila kufukiria na nilikuwa nikijibu huku nikitabasamu
 
Wameanza ku release
IMG-20220723-WA0078.jpg
 
Nashkuru mungu usaili ulikwenda Vizuri sana kwa upande wangu nilijibu clearly maswali yote na nilistuka na kufurahi zaidi pale baada ya kumaliza msimamizi mkuu alivyonambia umechangamka Sana hajamaliza akaniambia tena you have a lots of confindence, Mungu ni mwema Sana,msaili alitokea kunikubali nilikuwa mcheshi nimejibu maswali bila kufukiria na nilikuwa nikijibu huku nikitabasamu
Utajiskiaje jina lako lisipoonekana?
 
Nashkuru mungu usaili ulikwenda Vizuri sana kwa upande wangu nilijibu clearly maswali yote na nilistuka na kufurahi zaidi pale baada ya kumaliza msimamizi mkuu alivyonambia umechangamka Sana hajamaliza akaniambia tena you have a lots of confindence, Mungu ni mwema Sana,msaili alitokea kunikubali nilikuwa mcheshi nimejibu maswali bila kufukiria na nilikuwa nikijibu huku nikitabasamu
je,utajisikiaje jina lako lisipoonekana??
na matokeo yakitoka ulete mrejesho,

na kila mtu jamani alete mrejesho uliosahihi?? tujuane wale watakaoenda kwenye mafundisho.
 
Bad luck nipo Tanga City council,tupo pamoja kiongozi
napapendaa sanaa tanga maana sijawahi fika ,nataka huko nije kula demu kimasihara maana huko nasikia mambo si mambo pisi kali za kutoshaaa na wajuzi wa mambo nikipata pesa nitakuja kujivinjari kidogo huko aisee nione dunia ya huko inakwendaje.
 
napapendaa sanaa tanga maana sijawahi fika ,nataka huko nije kula demu kimasihara maana huko nasikia mambo si mambo pisi kali za kutoshaaa na wajuzi wa mambo nikipata pesa nitakuja kujivinjari kidogo huko aisee nione dunia ya huko inakwendaje.
Ukienda haurudi huko
 
Back
Top Bottom