SaulGoodman
JF-Expert Member
- Nov 12, 2020
- 418
- 906
Mzee we ulikua mwaka gani na Kombania ipi?Afande veno.. ruti embakasi, magagula fatiki ya kuzima moto. ππ
Kwata lina pigwa usiku huku iveco imewashwa taa full
Prv Milito na somo la Uvumilivu
Prv Asa Mwite huyo Mungu wako aje akuokoeeeπππππ
Prv pilato mzee wa kupima joto la ardhii
Prv manyama anakwambia iyo rutmach mtatembea mpaka pumbu zipasukeπ π π
Alafu kulikuwa na prv 1 iv anakwambia kuruti mnataka pima uzito wa pumbu zangu mjue zina gram ngapi tuonane baadae..
Mlale kikosi kazi big upcomrd..
Tutajadili baadae hizi mambo sahv tusikilizie kwanza lonja mkuu wangu ama niniTulikuwa tunabishana na wadau hapa kwamba mjeda asiye na cheo anaweza msalimia koplo wa police au nyota moja polisi, vile vile kwa vyombo vingine magereza, hii imekaaje wadau
SIO poa.Wiki moja ya mwisho ndio huwa mnarushiwa taulo
Mshajuana tayariMzee we ulikua mwaka gani na Kombania ipi?
Huwa wana mshati wa kozi ule huwa unapauka sana, afu kuna mshati wanapewa mwishoni karibu na kuapa.Inatagemea lkn mara nyingi mshati mwishoni ndo maana wakitoka kule wakipata likizo mshati unang'aa bdo mpya
Hakuna tatzo mkuuTutajadili baadae hizi mambo sahv tusikilizie kwanza lonja mkuu wangu ama nini
Kikwete Babaaa Coy inajielezaππMzee we ulikua mwaka gani na Kombania ipi?
Hivi baada ya miezi mitatu ya mwanzo huwa wanalikizo au huwa wanaunganisha kumaliza sita yoteJW siku 120 unauma meno unaanza kula maisha
Hapa sahihi mkuuHuwa wana mshati wa kozi ule huwa unapauka sana, afu kuna mshati wanapewa mwishoni karibu na kuapa.
Mara nyingi kikosi utakachopangiwa ndio utapata likizo kule japo aziwea nyingi mkuuHivi baada ya miezi mitatu ya mwanzo huwa wanalikizo au huwa wanaunganisha kumaliza sita yote
Huyu mpuuzi aache siasa kwnye Mambo ya ulinzi na usalama
Scale tuloikuta pale baba achaaNakumbuka hii miaka hiyo mpaka Meja general Tuilinde (Twiilinde) alikuja kuwaambia maafande wa hapo wapunguze doze
Nilisikia ni 150kPosho yake ikoje huko ?
Eeeh inaweza fika hapoNilisikia ni 150k
Hata mie nisingerudi ndugu yanguKuna kiwanda pale temeke kile cha nondo, yaani kwa siku elfu 15 lakini mziki wake sio poa...nilikimbia kuogopa kutoka unfit maana mijamaaa ina sura ngumu wengine wametoboka, siku ya kwanza kwenda wakanipangia chini kule wanakoyeyusha kwenye uji uji, siku iliyofuata hawakuniona mpaka leo
sahizi kozi ya jw inavaliwa karanga mpaka muape mnapewa bakaHuwa wana mshati wa kozi ule huwa unapauka sana, afu kuna mshati wanapewa mwishoni karibu na kuapa.
Kaka sio poa ukikutana na watu wa mule ndani wengi unfit, sasa ukienda kuingia kwa mara kwanza lazima wakupelek kwenye vitengo vigumu....chini kule kwenye uji uji au kwenye kutoa nondo za moto ili ukimbie tu usirudi tena, na kweli muhuni nilikubali yaisheHata mie nisingerudi ndugu yangu
Uwa wanavaa karanga kaka nakumbuka kuna mwanng alinionyesha pic Moja walipigwa night kali wameloa tope wamelala kama wakimbizi.JW unakula kozi na mshati, ingawa kuna watu huwa naona wanakula kozi na karanga sijajua huwa inakuaje japo.
Eeeh hamuwezi kuapa baka likiwa limepauka kwa ajili ya kupita kwenye mifereji ya maji machafusahizi kozi ya jw inavaliwa karanga mpaka muape mnapewa baka
Et wamelala kama wakimbizi hahahahahaUwa wanavaa karanga kaka nakumbuka kuna mwanng alinionyesha pic Moja walipigwa night kali wameloa tope wamelala kama wakimbizi.