methodinho
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 489
- 549
Dah braza wakubwa wanakunja hatuelewi...tunaendelea kusikilizia tu Mungu afungue njia popote paleWanajeshi mmekuja tena, vipi msata hapaingiliki !
Yaaani hata sielew mkuu mara naambiwa watu wanaingia, mara naambiwa hakuna usaili kule, kuna kozi ndo kwanza week ya kwanza bhas mfarakano tuWanajeshi mmekuja tena, vipi msata hapaingiliki !
nilitoa updates humu jamaa alinichana kuwa pana ugumu sana ,hsa kutoka uraiani kwenda jwtzDah braza wakubwa wanakunja hatuelewi...tunaendelea kusikilizia tu Mungu afungue njia popote pale
nchi ngumu hiiYaaani hata sielew mkuu mara naambiwa watu wanaingia, mara naambiwa hakuna usaili kule, kuna kozi ndo kwanza week ya kwanza bhas mfarakano tu
Bado taarifa hazielewek kabisaYaaani hata sielew mkuu mara naambiwa watu wanaingia, mara naambiwa hakuna usaili kule, kuna kozi ndo kwanza week ya kwanza bhas mfarakano tu
Ni kweli sio rahisi kabisanilitoa updates humu jamaa alinichana kuwa pana ugumu sana ,hsa kutoka uraiani kwenda jwtz
Nawe kumbe ni wale wa majeshisahizi kozi ya jw inavaliwa karanga mpaka muape mnapewa baka
Utumishi wamenikata moto kabisa yan sitak kabisa kuwasikia. Umeapply vizur kila kitu kipo wanakuambia hujaattach kitu fulan. Yan nimewqchoka nitapambana hukuhuku tuUtumishi nako changamoto nauli na post chache kuliko hata za haya majeshi, nafasi 65 za mchumi. sasa cheki nyomi iliyoitwa kwenye usahili karibia kanda zote za nchi. Jah bless tu tobolee huku.
Hao wa 1 na 2 waende A level au vyuo. Halafu wakiajiriwa tu wanalianxisha kwenda kusoma! HawakamatikiAwe na ufaulu wa div 4 au 3 tuu sasa Kwa wale wenye div 1 na 2 hawatakiwi au inakuwaje
Hahaaaaaa ,noma sana na safety zero kwenye hivi viwanda vya bongo ,unaweza toka marehemu mule , kamanda ukala mabio au sio ?Kuna kiwanda pale temeke kile cha nondo, yaani kwa siku elfu 15 lakini mziki wake sio poa...nilikimbia kuogopa kutoka unfit maana mijamaaa ina sura ngumu wengine wametoboka, siku ya kwanza kwenda wakanipangia chini kule wanakoyeyusha kwenye uji uji, siku iliyofuata hawakuniona mpaka leo
DuhJW viboko ndio vimezaliwa mkuu.
Walio piga kozi mwaka jana wanakuambia ilikuja karandinga imejaa viboko.
Noma kaka navyokwambia nipo na picha yao kwa gallery.Et wamelala kama wakimbizi hahahahaha
Hahaaaa bado mkando wa usahiliUtumishi nako changamoto nauli na post chache kuliko hata za haya majeshi, nafasi 65 za mchumi. sasa cheki nyomi iliyoitwa kwenye usahili karibia kanda zote za nchi. Jah bless tu tobolee huku.
Wa mwaka jana walipiga miezi sita mkuuKila jeshi lina ugumu wake, JW pamoja na ugumu miez 4 dundo linakata, PT sasa ndio fujo miezi 9 huijui hata simu wala jf, au huwa kuna muda wanaruhusu mkuu wakati wa kozi?