methodinho
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 489
- 549
Sema hivi vyombo ukifata maelekezo kidogo inakuwa ahueni hata kupigwa pigwa kunapungua, maana nakumbuka mwanangu mmoja jkt siku ya intro tulipitishwa darajani chini mqji kama yote, yule mwamba alitoka akiwa ameloa kidogo weeeh wakamuona alipigwa stiki kama mtoto