Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Hiz lonja ni za kutishana.. jumatatu nimemuona mtu kabisa kapgiwa simu kutoka makao makuu kwamba amesahau kuambatanisha transcript so aitume.. nikajiuliza kwamba jamaa ni potential sanaa au watu ni wachache kiasi hicho walioapply[emoji23]
Hahaha
 
Hua wanataarifu nakumbuka hata mm wakati naaply kiambatisho B niliunganisha na documents zingine wakanitumia message kwa email wakaniambia nikitenganishe inshort there not complicated
 
Hii ni kwa uhamiaji au polisi kwa ujumla na ni kawaida!? Maana nikasema labda jamaa ndio choosen one
Wewe si umeongelea PT mzee? Maana UT ilikuw njia ya posta. PT ndio ulikuw unaweza kuambiwa utume kama vitu vyako havijakamika.
 
Hua wanataarifu nakumbuka hata mm wakati naaply kiambatisho B niliunganisha na documents zingine wakanitumia message kwa email wakaniambia nikitenganishe inshort there not complicat
Nmeelewa sasa japo yy alitumiwa ujumbe whatsapp halaf wakampgia.. nikasema namna gani hii.. kama umekosea unakumbushwa.. me nikajua unapigwa machini mazima
 
Me nimejifunzaga Sana toka mwaka jana/juzi.maisha yana Siri kubwa Sana me nimeshuhudia watu waliokuwa wanaishi bad Life sahivi wanapesa na still ni vijana Bado
Kweli aise, afu kuna wengine mungu kaamuaga wasipate kabisa, yaan hata ahustle vipi, anapata kidogo hakimtishi(ufukara).

Kwahyo tule mtori nyama zipo chini, wale machei chei kama mimi nishajipa 85 za kukosa hizi nafasi
 
Back
Top Bottom